Nitajie viongizi watatu tu wa Upinzani waliopigana vita ya Kagera kwa namna yoyote ile ukimuondoa mzee Mrema!

Safi sana mkuu!
 
Huu unabii wa uongo peleka Lumumba watakusikiliza.
 
Wakati wa hivyo vita Mbowe alikuwa na miaka 20 na alikuwa mwanafunzi, Lisu miaka 12, na Zito miaka mitano.
Maalim, Safari, Rungwe, Mtei nk?
 

Kama hajachukua hela Kabudi analia nini kudhalilishwa kwa sababu ya pesa? Muombeni huyo Mungu wenu amalize na ukimwi.
 
Hebu niambie hiyo vita ya Kagera imetusaidia nini kama sio kutuletea umasikini na magonjwa.
Jiulize ukimwi uliingia bongo mwaka gani na ulitokea wapi kama sio hiyo vita kuchangia ukimwi kusambaa Tanzania nzima ili hili mpaka kesho hawata kubali.
Vita hii ilileta hasara kubwa katika uchumi wa Tz na kusababisha kuzaliwa kwa watoto wasio kuwa na baba huko Uganda kwa kubaka wanawake wa watu.
Kwanza hii vitu ilikuwa haituhusu na wala chanzo cha hiyo vita ni sisi wenyewe choko choko zetu. Sio kama inavyosemwa kuwa Iddi Amini alituanza ugomvi.
Haya angalia kilicho kuja kutokea mmemtoa Iddi Amini mkamuweka Obote kaponduliwa na M7 ndo nini sasa.
Ukiona mtu ana shadadia vita ya Kagera akili hana
 
Makongoro alikuwa mwanajeshi, Mangula umri ilimruhusu. Inaonekana umeishiwa hoja.
Nilikuwa nakukumbusha tu kuhusu misingi ya uzalendo.

Sasa Lema anajiita mzalendo, kweli?!!!
 
Maalim, Safari, Rungwe, Mtei nk?

Hivyo vita watanzania wote walienda? Baba yangu mbona hakwenda kwenye hivyo vita na alikuwa 30+ by then?
 
Kamasy kabisa!! Polepole, magufuli, Kabudi walipigana??? Uchafu huu pelekea Lumumba
 
Hivyo vita watanzania wote walienda? Baba yangu mbona hakwenda kwenye hivyo vita na alikuwa 30+ by then?
Ndio hao waliokosa uzalendo walipofuatwa wajiunge na jeshi la mgambo wao walikimbilia migombani upande wa Kenya kujificha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…