The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
1."Mheshimiwa Raisi anafanya kazi kubwa sana"Aiseee....Mimi nachukizwa na neno kwa sasa tupo katika mchakato,au hili neno Vijana inabidi mkajiajiri msisubiri ajira serikalini!!
Haya ni maneno yanayoumiza moyo wangu kwani ni maneno yasiyokuwa na akiba ya huruma kwa vijana pia kwa wapiga kura!Ongezea na wewe!
2" Mamá amaetoa fedha kuwajengea barabara "
3"Kizmkazi"