Nitajiie baahi ya Maneno ya wanasiasa yanayokukera!

Nitajiie baahi ya Maneno ya wanasiasa yanayokukera!

Aiseee....Mimi nachukizwa na neno kwa sasa tupo katika mchakato,au hili neno Vijana inabidi mkajiajiri msisubiri ajira serikalini!!
Haya ni maneno yanayoumiza moyo wangu kwani ni maneno yasiyokuwa na akiba ya huruma kwa vijana pia kwa wapiga kura!Ongezea na wewe!
1."Mheshimiwa Raisi anafanya kazi kubwa sana"

2" Mamá amaetoa fedha kuwajengea barabara "

3"Kizmkazi"
 
Kwenye kiapo wanamhusisha Mungu kwa kusema "ewe Mwenyezi Mungu nisaidie", halafu kwenye utendaji wao wanafanya madudu ovyo sana wanasiasa
 
"Tanzania sio ya kwanza,hata huko kwa wenzetu nchi za Ulaya wanatumia utaratibu huu.."
Ukisikia kauli kama hii ujue tunaenda kupigwa😀😀
 
Unasikia mwanasiasa au msomi tz anakisifia kiswahili

Oooh hii ni lugha kubwa inawavutia watu wengi duniani

Serikali ina mpango wa kuzalisha walimu wa kiswahili wa kutosha ili kukidhi mahitaj ya kimataifa,utazani hakuna walimu kweli,wakat vijana wapo tu mtaan

Afu hao hao wajinga kwenye ajira unakuta wanakupgisha interview kwa kiingereza ila hii nchi ina wanafiki wakubwa,naomba mungu angeshusha moto atuangamize tu
 
Aiseee....Mimi nachukizwa na neno kwa sasa tupo katika mchakato,au hili neno Vijana inabidi mkajiajiri msisubiri ajira serikalini!!
Haya ni maneno yanayoumiza moyo wangu kwani ni maneno yasiyokuwa na akiba ya huruma kwa vijana pia kwa wapiga kura!Ongezea na wewe!
Kama hamtaki nendeni Burundi!
 
Wanasiasa wa chama tawala utasikia wanasema vijana hacheni kutumiwa na wanasiasa ila ndio wakwanza kuwatumia vijana wetu kuwadhuru wenzao.
 
Aiseee....Mimi nachukizwa na neno kwa sasa tupo katika mchakato,au hili neno Vijana inabidi mkajiajiri msisubiri ajira serikalini!!
Haya ni maneno yanayoumiza moyo wangu kwani ni maneno yasiyokuwa na akiba ya huruma kwa vijana pia kwa wapiga kura!Ongezea na wewe!
samia must go 🐒
 
Kuna ule msemo;
01. ......anaupiga mwingi.
02. Nipende kumshukuru mheshimiwa ......!
🚮🚮
Aiseee....Mimi nachukizwa na neno kwa sasa tupo katika mchakato,au hili neno Vijana inabidi mkajiajiri msisubiri ajira serikalini!!
Haya ni maneno yanayoumiza moyo wangu kwani ni maneno yasiyokuwa na akiba ya huruma kwa vijana pia kwa wapiga kura!Ongezea na wewe!
 
Back
Top Bottom