The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
1."Mheshimiwa Raisi anafanya kazi kubwa sana"Aiseee....Mimi nachukizwa na neno kwa sasa tupo katika mchakato,au hili neno Vijana inabidi mkajiajiri msisubiri ajira serikalini!!
Haya ni maneno yanayoumiza moyo wangu kwani ni maneno yasiyokuwa na akiba ya huruma kwa vijana pia kwa wapiga kura!Ongezea na wewe!
Mama katoa..Aiseee....Mimi nachukizwa na neno kwa sasa tupo katika mchakato,au hili neno Vijana inabidi mkajiajiri msisubiri ajira serikalini!!
Haya ni maneno yanayoumiza moyo wangu kwani ni maneno yasiyokuwa na akiba ya huruma kwa vijana pia kwa wapiga kura!Ongezea na wewe!
Napenda kumshukuru mama...Utasikia Mwanasiasa/Kiongozi anasema; "Katika hili jambo tuwe serious, tuache siasa."
Hapo ndiyo utagundua kweli siasa ni mchezo mchafu na ni kikwazo cha maendeleo, haki na usawa.
Kama hamtaki nendeni Burundi!Aiseee....Mimi nachukizwa na neno kwa sasa tupo katika mchakato,au hili neno Vijana inabidi mkajiajiri msisubiri ajira serikalini!!
Haya ni maneno yanayoumiza moyo wangu kwani ni maneno yasiyokuwa na akiba ya huruma kwa vijana pia kwa wapiga kura!Ongezea na wewe!
Kujiita mama Samia wakati wewe ni me inanikera sana, ingawa kwenye comments uko vizuri mkuu!"CHADEMA ni mpango wa Mungu"..... kumhusisha Mungu na wala rushwa wa CHADEMA inanikera sana.
samia must go 🐒Aiseee....Mimi nachukizwa na neno kwa sasa tupo katika mchakato,au hili neno Vijana inabidi mkajiajiri msisubiri ajira serikalini!!
Haya ni maneno yanayoumiza moyo wangu kwani ni maneno yasiyokuwa na akiba ya huruma kwa vijana pia kwa wapiga kura!Ongezea na wewe!
Aiseee....Mimi nachukizwa na neno kwa sasa tupo katika mchakato,au hili neno Vijana inabidi mkajiajiri msisubiri ajira serikalini!!
Haya ni maneno yanayoumiza moyo wangu kwani ni maneno yasiyokuwa na akiba ya huruma kwa vijana pia kwa wapiga kura!Ongezea na wewe!
🤣 🤣 😂 Kumbe ni mpango wa ulaji. Mwenyekiti hataki kuachia kiti.CHADEMA ni mpango wa Mungu".....