BARA BARA YA 5
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,174
- 835
Sasa ww ndio mpe barua ya wito kabla hujamripoti manake namba yake unayoNdg, mimi ni mtumishi wa Umma kwenye taasisi nyeti hapa Dar,hata hivyo juzi nilipigiwa simu na mtua aliejitambulisha yupo Dodoma,akinitaka nifike ofisini kwao kesho kutwa yake kwa ajili ya mahojiano,nikakubali ila baadae nikamwambia naomba anitumie barua ya wito kupitia kwa mwajiri wangu, akakubali. Hata hivyo hakutuma hadi jana asubuhi nikampigia akaniambia nipo mahakamni kwa sauti ndogo,jioni nikamtumia text vipi mbona barua haijafika,akasema nipe muda kidogo.Sasa leo muda wote nampigia simu hapatikani tena, sasa nataka kuthibitisha kama ni kweli PCCB au wamachinga wameanza usumbufu..
Mkuu unyeti wa Ofisi yangu hauko karibu na PCCB,mimi nahusika na vitu vingine kabisa ila ni nyetiUpo ofisi nyeti, alafu unambwela
Duuh...itakuwa Machinga hawaUkiitiwa fursa ujue wewe ndo fursa yenyewe
napiga 113 hawapokea mkuu..au kuna namba zingineRipoti hiyo namba Ofisi za Takukuru iliyo karibu
nataka kujiridhisha, nisije nikapuuza amri halali ya mamlakaKuwa mtu mzima basi.
Kwanini unahangaika na huyo mpuuzi?
113 hawapokei, au una namba nyingie unisaidie??Ripoti hiyo namba Ofisi za Takukuru iliyo karibu
Usiite nyeti, wewe mwenyewe umekuja na mkwara kuwa upo ofisi nyeti .. pambana nae mkuuMkuu unyeti wa Ofisi yangu hauko karibu na PCCB,mimi nahusika na vitu vingine kabisa ila ni nyeti
Kama hana barua wala official request ya kuitwa, utakutana na matapeliNdg, mimi ni mtumishi wa Umma kwenye taasisi nyeti hapa Dar, hata hivyo juzi nilipigiwa simu na mtu aliejitambulisha yupo Dodoma. Akinitaka nifike ofisini kwao kesho kutwa yake kwa ajili ya mahojiano, nikakubali ila baadae nikamwambia naomba anitumie barua ya wito kupitia kwa mwajiri wangu, akakubali.
Hata hivyo hakutuma hadi jana asubuhi nikampigia akaniambia nipo mahakamni kwa sauti ndogo, jioni nikamtumia text vipi mbona barua haijafika, akasema nipe muda kidogo.
Sasa leo muda wote nampigia simu hapatikani tena, sasa nataka kuthibitisha kama ni kweli PCCB au wamachinga wameanza usumbufu..
Ukikaa vibaya unapigwaNdg, mimi ni mtumishi wa Umma kwenye taasisi nyeti hapa Dar, hata hivyo juzi nilipigiwa simu na mtu aliejitambulisha yupo Dodoma. Akinitaka nifike ofisini kwao kesho kutwa yake kwa ajili ya mahojiano, nikakubali ila baadae nikamwambia naomba anitumie barua ya wito kupitia kwa mwajiri wangu, akakubali.
Hata hivyo hakutuma hadi jana asubuhi nikampigia akaniambia nipo mahakamni kwa sauti ndogo, jioni nikamtumia text vipi mbona barua haijafika, akasema nipe muda kidogo.
Sasa leo muda wote nampigia simu hapatikani tena, sasa nataka kuthibitisha kama ni kweli PCCB au wamachinga wameanza usumbufu..
Watumie SMS Kisha relax wasipokujibu tulia waweza kuwa wanamsaka huyo mwenye namba113 hawapokei, au una namba nyingie unisaidie??