Nitajuaje kama ni Afisa wa TAKUKURU au anataka kuniibia?

Nitajuaje kama ni Afisa wa TAKUKURU au anataka kuniibia?

BARA BARA YA 5

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2009
Posts
1,174
Reaction score
835
Ndg, mimi ni mtumishi wa Umma kwenye taasisi nyeti hapa Dar, hata hivyo juzi nilipigiwa simu na mtu aliejitambulisha yupo Dodoma. Akinitaka nifike ofisini kwao kesho kutwa yake kwa ajili ya mahojiano, nikakubali ila baadae nikamwambia naomba anitumie barua ya wito kupitia kwa mwajiri wangu, akakubali.

Hata hivyo hakutuma hadi jana asubuhi nikampigia akaniambia nipo mahakamni kwa sauti ndogo, jioni nikamtumia text vipi mbona barua haijafika, akasema nipe muda kidogo.

Sasa leo muda wote nampigia simu hapatikani tena, sasa nataka kuthibitisha kama ni kweli PCCB au wamachinga wameanza usumbufu..
 
Ndg, mimi ni mtumishi wa Umma kwenye taasisi nyeti hapa Dar,hata hivyo juzi nilipigiwa simu na mtua aliejitambulisha yupo Dodoma,akinitaka nifike ofisini kwao kesho kutwa yake kwa ajili ya mahojiano,nikakubali ila baadae nikamwambia naomba anitumie barua ya wito kupitia kwa mwajiri wangu, akakubali. Hata hivyo hakutuma hadi jana asubuhi nikampigia akaniambia nipo mahakamni kwa sauti ndogo,jioni nikamtumia text vipi mbona barua haijafika,akasema nipe muda kidogo.Sasa leo muda wote nampigia simu hapatikani tena, sasa nataka kuthibitisha kama ni kweli PCCB au wamachinga wameanza usumbufu..
Sasa ww ndio mpe barua ya wito kabla hujamripoti manake namba yake unayo
 
Ndg, mimi ni mtumishi wa Umma kwenye taasisi nyeti hapa Dar, hata hivyo juzi nilipigiwa simu na mtu aliejitambulisha yupo Dodoma. Akinitaka nifike ofisini kwao kesho kutwa yake kwa ajili ya mahojiano, nikakubali ila baadae nikamwambia naomba anitumie barua ya wito kupitia kwa mwajiri wangu, akakubali.

Hata hivyo hakutuma hadi jana asubuhi nikampigia akaniambia nipo mahakamni kwa sauti ndogo, jioni nikamtumia text vipi mbona barua haijafika, akasema nipe muda kidogo.

Sasa leo muda wote nampigia simu hapatikani tena, sasa nataka kuthibitisha kama ni kweli PCCB au wamachinga wameanza usumbufu..
Kama hana barua wala official request ya kuitwa, utakutana na matapeli
 
Mkuu ufahi kua Ofisi nyeti ukiwa situation ndogo hii unashindwa kuhandle.

Relax, fanya kazi zako. Wakikuitaji watafata utaratibu
 
Ndg, mimi ni mtumishi wa Umma kwenye taasisi nyeti hapa Dar, hata hivyo juzi nilipigiwa simu na mtu aliejitambulisha yupo Dodoma. Akinitaka nifike ofisini kwao kesho kutwa yake kwa ajili ya mahojiano, nikakubali ila baadae nikamwambia naomba anitumie barua ya wito kupitia kwa mwajiri wangu, akakubali.

Hata hivyo hakutuma hadi jana asubuhi nikampigia akaniambia nipo mahakamni kwa sauti ndogo, jioni nikamtumia text vipi mbona barua haijafika, akasema nipe muda kidogo.

Sasa leo muda wote nampigia simu hapatikani tena, sasa nataka kuthibitisha kama ni kweli PCCB au wamachinga wameanza usumbufu..
Ukikaa vibaya unapigwa

Ila umedhihilisha kua una vimeo vyako ndio maana umetikisika.
Nikutahadharishe tuu.. vimeo vyako vinajulikana na ndiomaana hata matapeli wamejua jinsi ya kukutikisa.

Siku moja meneja akiwa na subordinate wake walihandle ishu flan. Ilikua nzito kiasi chake. In the end walichezesha wakapata milioni Sita mambo yaishe.. Nakumbuka hizo hela zilienda kupokelewa umbali wa kilometer 80. Mimi nilijua kwa njia zangu tuu, ila sikushilikishwa.
Bwana wee.. baada ya siku 4, wakapokea simu kama uliyopokea wewe. Ofisini hapakukalika.

Kila baada ya nusu saa wanaitana kwa meneja.
Mara wawashe gari waende mjini. Mara watafute polisi watakae mtrust wamwambie ukweli af awasaidie kumtafuta aliyewapigia simu, ikawa taflani.
Shortly, jamaa alikua tapeli ila waliyumba kwasababu wana vimeo vyao.

Wewe umepewa ishara ya kujirekebisha, upanga kwaajili yako unanolewa.
 
Back
Top Bottom