MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
ππWatu wa dar mnaringa kama hakuna wanaoshinda na miguu ya kuku vileπ π π π π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππWatu wa dar mnaringa kama hakuna wanaoshinda na miguu ya kuku vileπ π π π π
Mkuu we taja sehemu utakayofikia tu maana najua mishangazi ya dar ambayo haijapata kufikishwa kileleni yangu kizaliwa kwao itakuja tu ili ipate kuonja utamu wa fimboyaukwaju.Nitakuwa jijini dar kwa wiki 2 ,kuanzia disemba 1, kwa safari ya kibinafsi,ambae ni mwanachama wa jf na angependa tukutane ntafurahi sana.
Wasalaam
Fimboyaukwaju
ok nikipathibitisha hapo napofikia ntapatajaMkuu we taja sehemu utakayofikia tu maana najua mishangazi ya dar ambayo haijapata kufikishwa kileleni yangu kizaliwa kwao itakuja tu ili ipate kuonja utamu wa fimboyaukwaju.
Mishangazi inakusubiri kwa hamu na gamu.
sawaSiku ukija huku chalangwa usisahau kunitag
Wasalimie vijana wa daslam wape na pole pia .
ok sikujua kama hali ni hiyo wala nisingeandika huu uziDahhhh....
Umenikumbusha mbali sana mkuu...π€£
Nyuzi za hivi tulikua tunaziandika 10 yrs back, na kweli tulikua tunaonana na wings za mikoa husika...π
But kwasasa trust imepungua sana Jf, upendo umepungua, matapeli wametamalaki, waongo wameongezeka, watoto wamekua wengi na mnatutangaza sana....π€¨
fimbo ya nyerele?Fimbo ya ukwaju unatakiwa kukutana na FIMBO YA NYERELE π
Ndo maana yake πfimbo ya nyerele?
Nzuri hiyooooUsijari mkuu jamaa katualika mwenyewe