Nitakuwa Dar kuanzia Desemba 1

Nitakuwa Dar kuanzia Desemba 1

Nitakuwa jijini dar kwa wiki 2 ,kuanzia disemba 1, kwa safari ya kibinafsi,ambae ni mwanachama wa jf na angependa tukutane ntafurahi sana.
Wasalaam
Fimboyaukwaju
Mkuu we taja sehemu utakayofikia tu maana najua mishangazi ya dar ambayo haijapata kufikishwa kileleni yangu kizaliwa kwao itakuja tu ili ipate kuonja utamu wa fimboyaukwaju.

Mishangazi inakusubiri kwa hamu na gamu.
 
Dahhhh....
Umenikumbusha mbali sana mkuu...🀣
Nyuzi za hivi tulikua tunaziandika 10 yrs back, na kweli tulikua tunaonana na wings za mikoa husika...πŸ˜‹
But kwasasa trust imepungua sana Jf, upendo umepungua, matapeli wametamalaki, waongo wameongezeka, watoto wamekua wengi na mnatutangaza sana....🀨
ok sikujua kama hali ni hiyo wala nisingeandika huu uzi
 
Back
Top Bottom