Nitakuwa wa mwisho kuamini kama Aunty Ezekiel hajatengeneza shepu yake

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Muonekano wa sasa wa Aunty Ezekiel umetushtua watu wengi sana

Japo Aunty alikuwa na kishepu fulani hivi tangu hapo awali ila kwa sasa mmmmmmmmmmh surgery imehusika hapa tusidanganyanee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Aunty Kawa na mshepu wa haja ghafla na kuonesha msisistizo katuonesha liiiive ili tusije tukasema ni kigodoro.

Ila yote kwa yote muonekano huu umempendeza sana, hongera yake.

 
ni miongoni mwa wa dada wa kawaida sana town, huwezi umia akikutolea nje mbususu
 
Wewe kwa nini usitengeneze shepu ya makalio yako?πŸ™„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…