Nitakuwa wa mwisho kuamini kama Mwigulu atatumbuliwa

Nitakuwa wa mwisho kuamini kama Mwigulu atatumbuliwa

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Huyu ni miongoni mwa trusted lieutnants wa Rais Samia. Kuna sakata la wafanyabiashara linaendelea hapo kariakoo.

Wafanyabiashara wametoa ya moyoni, wamemkaanga kisawasawa na kumtuhumu Waziri wa Fedha kama kikwazo katika biashara zao.

Wafanyabiashara wakaenda mbali sana na kudai waziri huyo ni jeuri sana na ana dharau za kutosha.

Sasa turudi upande wa pili wa shilingi, Mwigulu ametikiswa na Serikali imetikisika. Wananchi wanasubiria kama atatumbuliwa na Rais Samia.

Tupunguze matarajio hayo, sidhani kama Mwigulu ataondolewa hapo, kwakuwa yupo hapo kwa kazi maalum hivyo ni ngumu kumuondoa, kama unabisha muda ni mwalimu mzuri utatuambia.
 
Mwigulu, Nape na January ndio injini pekee za Samia za kupambana na Tundu Lissu.

Kwa dharau na majivuno mawaziri wote wa fedha huwa hivyo.

Ila pia kukusanya kodi sio lelemama ukicheka na nyani utavuna mabua.

Yote kwa yote CCM ishaishiwa watu amtoe Mwigulu katika kundi la fisi atampata nani mwenye angalau?
 
Huyu ni miongoni mwa trusted lieutnants wa Rais Samia. Kuna sakata la wafanyabiashara linaendelea hapo kariakoo.

Wafanyabiashara wametoa ya moyoni, wamemkaanga kisawasawa na kumtuhumu Waziri wa Fedha kama kikwazo katika biashara zao.

Wafanyabiashara wakaenda mbali sana na kudai waziri huyo ni jeuri sana na ana dharau za kutosha.

Sasa turudi upande wa pili wa shilingi, Mwigulu ametikiswa na Serikali imetikisika. Wananchi wanasubiria kama atatumbuliwa na Rais Samia.

Tupunguze matarajio hayo, sidhani kama Mwigulu ataondolewa hapo, kwakuwa yupo hapo kwa kazi maalum hivyo ni ngumu kumuondoa, kama unabisha muda ni mwalimu mzuri utatuambia.
Kwanza atumbuliwe Kwa lipi? Kwa kuwa mfanyabishara amesema TRA wanapata kiburi kutoka kwake?

Yaani binafsi hata nikiwa Rais kamwe siwezi kukubali Kuendesha na watu Bali nachoona kinafaa Kwa maslahi ya Nchi..

Shida za TRA haziwezi kuletwa na Waziri hizo ni allegations za Kisiasa zisizo na msingi..
 
Huyu ni miongoni mwa trusted lieutnants wa Rais Samia. Kuna sakata la wafanyabiashara linaendelea hapo kariakoo.

Wafanyabiashara wametoa ya moyoni, wamemkaanga kisawasawa na kumtuhumu Waziri wa Fedha kama kikwazo katika biashara zao.

Wafanyabiashara wakaenda mbali sana na kudai waziri huyo ni jeuri sana na ana dharau za kutosha.

Sasa turudi upande wa pili wa shilingi, Mwigulu ametikiswa na Serikali imetikisika. Wananchi wanasubiria kama atatumbuliwa na Rais Samia.

Tupunguze matarajio hayo, sidhani kama Mwigulu ataondolewa hapo, kwakuwa yupo hapo kwa kazi maalum hivyo ni ngumu kumuondoa, kama unabisha muda ni mwalimu mzuri utatuambia.
SSH amtoe kwani yeye ndiye alimteua?
Rimoti ipo Msoga
 
Huyu ni miongoni mwa trusted lieutnants wa Rais Samia. Kuna sakata la wafanyabiashara linaendelea hapo kariakoo.

Wafanyabiashara wametoa ya moyoni, wamemkaanga kisawasawa na kumtuhumu Waziri wa Fedha kama kikwazo katika biashara zao.

Wafanyabiashara wakaenda mbali sana na kudai waziri huyo ni jeuri sana na ana dharau za kutosha.

Sasa turudi upande wa pili wa shilingi, Mwigulu ametikiswa na Serikali imetikisika. Wananchi wanasubiria kama atatumbuliwa na Rais Samia.

Tupunguze matarajio hayo, sidhani kama Mwigulu ataondolewa hapo, kwakuwa yupo hapo kwa kazi maalum hivyo ni ngumu kumuondoa, kama unabisha muda ni mwalimu mzuri utatuambia.
Mwigulu ni annointed!
 
Huyu ni miongoni mwa trusted lieutnants wa Rais Samia. Kuna sakata la wafanyabiashara linaendelea hapo kariakoo.

Wafanyabiashara wametoa ya moyoni, wamemkaanga kisawasawa na kumtuhumu Waziri wa Fedha kama kikwazo katika biashara zao.

Wafanyabiashara wakaenda mbali sana na kudai waziri huyo ni jeuri sana na ana dharau za kutosha.

Sasa turudi upande wa pili wa shilingi, Mwigulu ametikiswa na Serikali imetikisika. Wananchi wanasubiria kama atatumbuliwa na Rais Samia.

Tupunguze matarajio hayo, sidhani kama Mwigulu ataondolewa hapo, kwakuwa yupo hapo kwa kazi maalum hivyo ni ngumu kumuondoa, kama unabisha muda ni mwalimu mzuri utatuambia.
Eti hamieni Burundi, hiki kiburi anatoa wapi?! Hadi kuita wenzake waganga wa kienyeji, yeye ndio anajua
 
Mwigulu, Nape na January ndio injini pekee za Samia za kupambana na Tundu Lissu.

Kwa dharau na majivuno mawaziri wote wa fedha huwa hivyo.

Ila pia kukusanya kodi sio lelemama ukicheka na nyani utavuna mabua.

Yote kwa yote CCM ishaishiwa watu amtoe Mwigulu katika kundi la fisi atampata nani mwenye angalau?
Wapo wengi sana. Amelaaniwa amtegemeaye binadamu.
 
Huyo ni mbuzi wa kafara tu.
Sadaka ikishatolewa karamu kwa BWANA inakuwa imekwisha.
 
Huyu ni miongoni mwa trusted lieutnants wa Rais Samia. Kuna sakata la wafanyabiashara linaendelea hapo kariakoo.

Wafanyabiashara wametoa ya moyoni, wamemkaanga kisawasawa na kumtuhumu Waziri wa Fedha kama kikwazo katika biashara zao.

Wafanyabiashara wakaenda mbali sana na kudai waziri huyo ni jeuri sana na ana dharau za kutosha.

Sasa turudi upande wa pili wa shilingi, Mwigulu ametikiswa na Serikali imetikisika. Wananchi wanasubiria kama atatumbuliwa na Rais Samia.

Tupunguze matarajio hayo, sidhani kama Mwigulu ataondolewa hapo, kwakuwa yupo hapo kwa kazi maalum hivyo ni ngumu kumuondoa, kama unabisha muda ni mwalimu mzuri utatuambia.
Ukizungumzia Mwigulu unazungumzia Msoga line, ukizungumzia Msoga unazungumzia Pemba
 
Huyu ni miongoni mwa trusted lieutnants wa Rais Samia. Kuna sakata la wafanyabiashara linaendelea hapo kariakoo.

Wafanyabiashara wametoa ya moyoni, wamemkaanga kisawasawa na kumtuhumu Waziri wa Fedha kama kikwazo katika biashara zao.

Wafanyabiashara wakaenda mbali sana na kudai waziri huyo ni jeuri sana na ana dharau za kutosha.

Sasa turudi upande wa pili wa shilingi, Mwigulu ametikiswa na Serikali imetikisika. Wananchi wanasubiria kama atatumbuliwa na Rais Samia.

Tupunguze matarajio hayo, sidhani kama Mwigulu ataondolewa hapo, kwakuwa yupo hapo kwa kazi maalum hivyo ni ngumu kumuondoa, kama unabisha muda ni mwalimu mzuri utatuambia.
Mwigulu hana kosa lolote kwa suala la kariakoo
 
Binadamu ni raisi sana kuridhishwa..., yaani kama vile mtoto akilia unampa peremende ananyamaza siku zinasogea na mambo yanaendelea kama kawaida (hivyo ukiwa na peremende za kutosha huenda ukaendelea na uzembe wako wa kutomtimizia majukumu mtoto)

Kwahio Mwigulu akitumbuliwa huenda watu wakashangilia akaingia mwingine akafanya madudu mpaka tukilalamika tena ataingia mwingine (ila kwenye mzizi / shina; hakuna kinachobadilika); Na mtoa Peremende kwa muktadha huu anazo za kutosha.....
 
Huyu ni miongoni mwa trusted lieutnants wa Rais Samia. Kuna sakata la wafanyabiashara linaendelea hapo kariakoo.

Wafanyabiashara wametoa ya moyoni, wamemkaanga kisawasawa na kumtuhumu Waziri wa Fedha kama kikwazo katika biashara zao.

Wafanyabiashara wakaenda mbali sana na kudai waziri huyo ni jeuri sana na ana dharau za kutosha.

Sasa turudi upande wa pili wa shilingi, Mwigulu ametikiswa na Serikali imetikisika. Wananchi wanasubiria kama atatumbuliwa na Rais Samia.

Tupunguze matarajio hayo, sidhani kama Mwigulu ataondolewa hapo, kwakuwa yupo hapo kwa kazi maalum hivyo ni ngumu kumuondoa, kama unabisha muda ni mwalimu mzuri utatuambia.
Itatubidi tugome tena hadi huyu madelu aondolewe,hakuna namna.
 
Back
Top Bottom