Ni wivu ,hasira na chuki tu ...
Ukiwabana kuelezea hiyo sheria na adhabu kubwa namna hio hawana la kusema ..!
Mkuu mbona simpo tu. Kanuni inasema atahukumiwa kifungo si chini y mwaka mmoja. Ina maana ni kuanzia mwaka kwenda mbele. na faini si chini ya milioni 3Natamani angetokea mdau kutoka kamati ya maadili ya huko TFF ili atuwekee hiyo kanuni inayotoa adhabu ya kufungiwa miaka 2 na faini ya milioni 20 kwa mdau fulani wa michezo, kutunishiana misuli na rais wa TFF.
Maana milioni 20 siyo hela ya kitoto! Ni mtaji kabisa huo! Halafu kirahisi tu niwape hao TFF kwa sababu nilimkoromea rais wake anayejiona ni mungu mtu! Halafu wataifanyia nini! Waitumbukize kwenye matumbo yao! Ningekuwa mimi nisingelipa.
All in all, adhabu haiendani na kosa. Angekuwa amefanya uharibifu wa mali kwenye zile ofisi zao pale Karume, ningekubaliana na hiyo adhabu.Mkuu mbona simpo tu. Kanuni inasema atahukumiwa kifungo si chini y mwaka mmoja. Ina maana ni kuanzia mwaka kwenda mbele. na faini si chini ya milioni 1.
Sasa kama yupo sana una wasiwasi gani mkuu si ungekaa kwa kutulia tu?Haya sio mayowe najaribu kuwambia ukweli na Dunia yote ijue kuwa Manara bado yupo sanaa
Mimi mwenyewe nashangaa eti mtu awe mkubwa kuliko TFF iweje apigwe nyundo nzito kiasi hicho.Sasa Kama ni mkubwa kuliko TFF imekuwaje Kamatii iliyo chini ya TFF impe adhabu mtu Alie mkubwa kuizidi?
Ona hili ShogaHAYA MATAKATAKA NDIO MAANA LUC EYMAEL ALIAYAITA MAUMBWA.
YANGWA SIPOSI CHILABU MBELE MWIKO NYUMA KUNA MWIKO.
inacheza kwenda juu kutokana na kiburi yakoAdhabu inasema “sio chini ya mwaka mmoja”
Kiasi kisichopungua milioni 3
So kamati inacheza kwenda juu itakavyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Angekuwa yuko Simba usingetia neno. Kumbuka alishawahi kufungiwa miaka mitano enzi za Jamal Malinzi lakini hamkusema neno.All in all, adhabu haiendani na kosa. Angekuwa amefanya uharibifu wa mali kwenye zile ofisi zao pale Karume, ningekubaliana na hiyo adhabu.
Ila kwa kufokeana tu; ndiyo umtoze mtu faini ya milioni 20! Moja kwa moja unaona kabisa kamati imejiongeza ili kumfurahisha bosi wao.
Tatizo mmemgeuza Manara mungu mtu wenu, halafu mnashangaza mnamlaumu mungu mtu wa TFF wakati nanyi mna wa kwenu.Natamani angetokea mdau kutoka kamati ya maadili ya huko TFF ili atuwekee hiyo kanuni inayotoa adhabu ya kufungiwa miaka 2 na faini ya milioni 20 kwa mdau fulani wa michezo, kutunishiana misuli na rais wa TFF.
Maana milioni 20 siyo hela ya kitoto! Ni mtaji kabisa huo! Halafu kirahisi tu niwape hao TFF kwa sababu nilimkoromea rais wake anayejiona ni mungu mtu! Halafu wataifanyia nini! Waitumbukize kwenye matumbo yao! Ningekuwa mimi nisingelipa.
Watanyooka tu, unafiki ni adui mkubwa wa mpira wetuila watanzania tumejaa unafki sana walahi, Yani wale waliokuwa wanaombea kila siku Manara afungiwe wakati yupo Simba Kwa hoja kuwa anavuka mipaka ya utani ndio hao hao leo wako bize kumtetea
Ni mwaka Jana tu hapo Yanga waliitisha press wakielezea kumshtaki Haji Manara TFF Kwa kuwadharirisha wachezaji wao Kwa kuwaita wa kuokotwa okotwa na kumwita mwakalebela kilo 800
ila cha ajabu wale wale ambao walikuwa wanamshtaki jamaa Kwa kuvuka mipaka na kuropoka Sana wanashinda jf tangu Jana kumtetea jamaa, Ama kweli Maisha bila unafki hayaendi, Acha mie nikae zangu paleeee niendelee kuangalia hii movie ya unafki itaishaje [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Manara ni mtu mdogo sana kwenye klabu ya Yanga! Na kamwe haitatokea siku akafikia hiyo hatua ya umungumtu kama Wallace Karia.Tatizo mmemgeuza Manara mungu mtu wenu, halafu mnashangaza mnamlaumu mungu mtu wa TFF wakati nanyi mna wa kwenu.
Manara ni mropokaji tu, hana lolote; hiyo adhabu ni saizi yake kabisa, kama nawe unaona mambo ni simple jaribu kumtukana Samia au bosi wako hapo kazini kwako halafu uone kitachokupata...
Mtoe mzee manara na kikwete mkuu waliobaki wote Kama hamnazo hamnazo vileMimi mwenyewe nashangaa eti mtu awe mkubwa kuliko TFF iweje apigwe nyundo nzito kiasi hicho.
Tatizo amefokeana na nan?All in all, adhabu haiendani na kosa. Angekuwa amefanya uharibifu wa mali kwenye zile ofisi zao pale Karume, ningekubaliana na hiyo adhabu.
Ila kwa kufokeana tu; ndiyo umtoze mtu faini ya milioni 20! Moja kwa moja unaona kabisa kamati imejiongeza ili kumfurahisha bosi wao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]HAYA MATAKATAKA NDIO MAANA LUC EYMAEL ALIAYAITA MAUMBWA.
YANGWA SIPOSI CHILABU MBELE MWIKO NYUMA KUNA MWIKO.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa mnooo. Khaaaahila watanzania tumejaa unafki sana walahi, Yani wale waliokuwa wanaombea kila siku Manara afungiwe wakati yupo Simba Kwa hoja kuwa anavuka mipaka ya utani ndio hao hao leo wako bize kumtetea
Ni mwaka Jana tu hapo Yanga waliitisha press wakielezea kumshtaki Haji Manara TFF Kwa kuwadharirisha wachezaji wao Kwa kuwaita wa kuokotwa okotwa na kumwita mwakalebela kilo 800
ila cha ajabu wale wale ambao walikuwa wanamshtaki jamaa Kwa kuvuka mipaka na kuropoka Sana wanashinda jf tangu Jana kumtetea jamaa, Ama kweli Maisha bila unafki hayaendi, Acha mie nikae zangu paleeee niendelee kuangalia hii movie ya unafki itaishaje [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Tatizo umejaza hisia, hata ukieleweshwa huwezi kuelewaaaAll in all, adhabu haiendani na kosa. Angekuwa amefanya uharibifu wa mali kwenye zile ofisi zao pale Karume, ningekubaliana na hiyo adhabu.
Ila kwa kufokeana tu; ndiyo umtoze mtu faini ya milioni 20! Moja kwa moja unaona kabisa kamati imejiongeza ili kumfurahisha bosi wao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeeh.Sasa kama yupo sana una wasiwasi gani mkuu si ungekaa kwa kutulia tu?
Itakuwa sindano imefika kwenye mfupa. Mwambie ajichanganye aone nyundo nyingine itakavyotua kichwani hatasahau maishani mwake.
Amefokea na Wallace Karia. Na ifahamike huyo Wallace Karia ukiondoa urais wake wa TFF, bado ni mwanchama wa Coastal Union! Na alishawahi kuwa Kiongozi.Tatizo amefokeana na nan?
Msaidie wewe. Mimi sina hela ya kumchangia.Tatizo umejaza hisia, hata ukieleweshwa huwezi kuelewaaa
Sana nikushauri msaidieni kukata rufaa, au msaidieni kulipa faini.
Kwann mtoe kelele? Kanuni na taratibu zipooo. Zifuateni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] byuti byuti.