cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Sasa hili povu lako hadi mishipa inakusimama tatizo nn? Au unakwamaa wapiiii??si utulie kmyaa tyuuh.Msaidie wewe. Mimi sina hela ya kumchangia.
Au wee kuhemkwa kwako hapa jamvini kutasaidia nn? Hizi kelele unazotoa hapa zigeuze kuwa ushauri wako kwa Takadini mbna mtafanikiwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] byuti byuti.