Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Kitendo cha kumtoa kwa mkopo beki David Kameta Duchu, kwenda Biashara United, na hatimaye sasa anaichezea timu ya Geita Gold na kumpisha Israel Patrick Mwenda mwaka 2021, kwa maoni yangu suala hili Viongozi wa Simba SC hawakulitazama kwa upana wake.
Nithubutu kusema kwamba nitakuwa wa mwisho kuamini kwamba Israel Patrick Mwenda ni beki bora kwa upande wa kulia kuliko David Kameta Duchu na kuamini kuwa ni masaidizi sahihi wa Shomari Kapombe ambaye ni beki bora kuliko wote Tanzania kwa wakati huu.
Duchu Performance yake ni nzuri sana uwanjani, anakaba na kushambulia, na Krosi nzuri, energy ya kutosha kabisa, kuliko Mwenda ambaye back pass ni nyingi na Krosi ambayo asilimia kubwa zinapotea.
Ni wakati umefika sasa kwa Kijana kurudi kwake Unyamani, Simba SC.
Nithubutu kusema kwamba nitakuwa wa mwisho kuamini kwamba Israel Patrick Mwenda ni beki bora kwa upande wa kulia kuliko David Kameta Duchu na kuamini kuwa ni masaidizi sahihi wa Shomari Kapombe ambaye ni beki bora kuliko wote Tanzania kwa wakati huu.
Duchu Performance yake ni nzuri sana uwanjani, anakaba na kushambulia, na Krosi nzuri, energy ya kutosha kabisa, kuliko Mwenda ambaye back pass ni nyingi na Krosi ambayo asilimia kubwa zinapotea.
Ni wakati umefika sasa kwa Kijana kurudi kwake Unyamani, Simba SC.