Nitakuwa wa mwisho kuamini kwamba Yanga ameondoshwa kwenye michuano kama baadhi ya mashabiki wanavyofikiria

Nitakuwa wa mwisho kuamini kwamba Yanga ameondoshwa kwenye michuano kama baadhi ya mashabiki wanavyofikiria

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Nimeona baadhi ya mashabiki wa Yanga na wengine wa upande wa pili wakiwaponda Yanga kwamba tayari wametolewa kwenye mashindano na Al hilal. Mpira hauko hivyo waungwana, bado Yanga anayo nafasi ya kusonga mbele tena kubwa sana.

Katika mechi ya Jumamosi sikuona kitu cha ziada ambacho Al hilal aliizidi Yanga ndani ya uwanja. Tamaa ya yanga kutaka kufunga goli la 2, kuliwafanya wajisahau kuwa makini katika ulinzi. Wametengeneza nafasi 3 za wazi wakashindwa kuzitumia, hiyo tu ni ishara ya timu ambayo inaweza kufanya lolote kwa wakati wowote ndani ya dk. 90.

Yanga anakwenda Sudan akiwa na chaguo la kushambulia mwanzo mwisho, na sitegemei kwamba Al Hilal watakaa nyuma muda mwingi kufanya mashambulizi kama walivyofanya kwa Mkapa. Watafunguka wakiwa kwao na mianya itapatikana, na kwa namna ambavyo nimewaona wanacheza Yanga wanayo nafasi ya kufunga magoli.

Kumbuka ushindi kwa Yanga utawavusha, na sare yoyote ya kuanzia goli 2 unawavusha, kwaiyo Al Hilal ndiyo wenye kibarua aidha walinde goli lao la ugenini ama wafunguke kutafuta goli jingine. Na hapo ndipo ilipo faida kwa Yanga.

Na mechi ijayo nafikiri Nabi amrejeshe kwenye kikosi Mwamnyeto halafu Bangala arudi kucheza namba 6 yake, Aucho asogee 8 na Aziz Ki aanzie benchi. Aanze Fei Toto namba 10 maana ni mechi ya kutafuta matokeo na si vinginevyo.

Binafsi yangu bado naiona nafasi ya Yanga kutinga makundi, kwani bado naziona dk. 90 za moto pale Omdurman, Sudan.
 
Kwa maana iyo uoni nafasi y Al Hilal kupita? Nakushauri wafatilie w sudani hawa wakiwa uwanja wa nyumbani ndio utajua ujui.
Unajua vizuri Al hilal wakiwa kwao . Au unazani kundi kubwa kubwa la wanayanga kukata tamaa ni waninga ebu jaribu ata kuingia Google uione hio timu
 
Kwamba wasudan lile goli walipata kwa kubahatisha? Uto bwana! Yaani majamaa yamekukosakosa magoli mpaka ukawa unatamani mpira uishe! Na tena ulikua nyumban kwako! Aaf leo unasema wasudan ndo wanakazi ya kulinda goli walilopata ugenini? Haupo siriaz mzee! Mtapigwa kama ngoma kule hamtaamini!
 
Nimeona baadhi ya mashabiki wa yanga na wengine wa upande wa pili wakiwaponda yanga kwamba tiyali wametolewa kwenye mashindano na Al hilal, Mpira auko ivyo waungwana, bado yanga anayo nafasi ya kusonga mbele tena kubwa sana, katika mechi ya jumamosi sikuona kitu cha ziada ambacho Al hilal aliizidi yanga ndani ya pitch, Tamaa ya yanga kutaka kufunga goli la 2 kuliwafanya wajisahau kuwa makini ktk ulinzi, Wametengeneza nafasi 3 za wazi wakashindwa kuzitumia iyo tu ni ishara ya timu ambayo inaweza kufanya lolote kwa wakati wowote ndani ya dk 90, Yanga anakwenda sudan akiwa na option ya kushambulia mwanzo mwisho, na sitegemei kwamba Al hilal watakaa nyuma muda mwingi kufanya counter attack kama walivyofanya kwa mkapa, watafunguka wakiwa kwao na mianya itapatikana, na kwa namna ambavyo nimewaona wanacheza yanga wanayo nafasi ya kufunga magoli, kumbuka ushindi kwa yanga utawavusha, na sare yoyote ya kuanzia goli 2 unawavusha, kwaiyo Al hilal ndio wenye kibarua aidha walinde goli lao la ugenini ama wafunguke kutafuta goli jingine, na hapo ndipo ilipo advantage ya yanga, Na mechi ijayo nafikiri Nabi amrejeshe kwenye kikosi Mwamnyeto alafu bangala arudi kuchexa no.6 yake, aucho asogee 8 na Aziz ki aanzie bench aanze fei toto no.10 maana ni mechi ya kutafuta matokeo na si vinginevyo, binafsi yangu bado naiona nafasi ya yanga kutinga makundi kwani bado naziona dk 90 za moto pale omdurman sudan
Bahati mbaya sana umeongelea kwa upande wa Yanga tu.
Umesema Yanga wametengeneza nafasi za wazi 3 wakakosa.
Ajabu ni kuwa umesahau pia kuwa Al hilali nao wamekosa nafasi za wazi 3 vilevile.
Sare nzuri kwa Yanga ilikua sare ya 0-0 sio hiyo ya 1-1.
Yanga wakifunguka wanakua matatani sana.
Wakitaka wafuzu waende wakajilinde kwanza then washambulie kwa kuvizia. Hiyo kauli yako kuwa wakafunguke kutafuta goli watapigwa nyingi mpaka utawakataa.
Sudan kule kuna mawili 1. Fitina 2. Mpira uwanjani.
Mpira unadunga ngoja tusubiri tuone
 
Unajua vizuri Al hilal wakiwa kwao . Au unazani kundi kubwa kubwa la wanayanga kukata tamaa ni waninga ebu jaribu ata kuingia Google uione hio timu
1998 kuwa makundi Caf ni mbali sana
 
Mtoa mada umetoa theory kama za wale jamaa wa aim global ukileta watu wawili inaongezeka hela.
Labda kama hukucheki game ya jana, kwanza hata al hilal walishaona kuzuia yanini na wananafasi ya kushambulia matokeo yake dk 20 za mwisho hata wewe ulitamani mpira uishe.
 
Nimeona baadhi ya mashabiki wa Yanga na wengine wa upande wa pili wakiwaponda Yanga kwamba tayari wametolewa kwenye mashindano na Al hilal. Mpira hauko hivyo waungwana, bado Yanga anayo nafasi ya kusonga mbele tena kubwa sana.

Katika mechi ya Jumamosi sikuona kitu cha ziada ambacho Al hilal aliizidi Yanga ndani ya uwanja. Tamaa ya yanga kutaka kufunga goli la 2, kuliwafanya wajisahau kuwa makini katika ulinzi. Wametengeneza nafasi 3 za wazi wakashindwa kuzitumia, hiyo tu ni ishara ya timu ambayo inaweza kufanya lolote kwa wakati wowote ndani ya dk. 90.

Yanga anakwenda Sudan akiwa na chaguo la kushambulia mwanzo mwisho, na sitegemei kwamba Al Hilal watakaa nyuma muda mwingi kufanya mashambulizi kama walivyofanya kwa Mkapa. Watafunguka wakiwa kwao na mianya itapatikana, na kwa namna ambavyo nimewaona wanacheza Yanga wanayo nafasi ya kufunga magoli.

Kumbuka ushindi kwa Yanga utawavusha, na sare yoyote ya kuanzia goli 2 unawavusha, kwaiyo Al Hilal ndiyo wenye kibarua aidha walinde goli lao la ugenini ama wafunguke kutafuta goli jingine. Na hapo ndipo ilipo faida kwa Yanga.

Na mechi ijayo nafikiri Nabi amrejeshe kwenye kikosi Mwamnyeto halafu Bangala arudi kucheza namba 6 yake, Aucho asogee 8 na Aziz Ki aanzie benchi. Aanze Fei Toto namba 10 maana ni mechi ya kutafuta matokeo na si vinginevyo.

Binafsi yangu bado naiona nafasi ya Yanga kutinga makundi, kwani bado naziona dk. 90 za moto pale Omdurman, Sudan.
Shida kubwa ya Yanga msimu huu ni kuruhusu goli. Binafsi naona hata Mshery angeanza kwenye mechi ya marudiano badala ya Diarra. Diarra amekuwa hana bahati ya kutoka na ckean sheet msimu huu.
Yanga wakiwa vizuri kwenye kiungo na beki basi kisha wakaweza kuzitumia nafasi vyema basi game itakuwa ngumu kwa al Hilal. Kuna faida kubwa sana ya Bangala kucheza nafasi ya kiungo kuliko beki ila Nabi kichwa chake sijui kinawaza nini. Unapanga kikosi bila ya mkata umeme unategemea nini kama mabeki kujichanganya tu

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Nimeona baadhi ya mashabiki wa Yanga na wengine wa upande wa pili wakiwaponda Yanga kwamba tayari wametolewa kwenye mashindano na Al hilal. Mpira hauko hivyo waungwana, bado Yanga anayo nafasi ya kusonga mbele tena kubwa sana.

Katika mechi ya Jumamosi sikuona kitu cha ziada ambacho Al hilal aliizidi Yanga ndani ya uwanja. Tamaa ya yanga kutaka kufunga goli la 2, kuliwafanya wajisahau kuwa makini katika ulinzi. Wametengeneza nafasi 3 za wazi wakashindwa kuzitumia, hiyo tu ni ishara ya timu ambayo inaweza kufanya lolote kwa wakati wowote ndani ya dk. 90.

Yanga anakwenda Sudan akiwa na chaguo la kushambulia mwanzo mwisho, na sitegemei kwamba Al Hilal watakaa nyuma muda mwingi kufanya mashambulizi kama walivyofanya kwa Mkapa. Watafunguka wakiwa kwao na mianya itapatikana, na kwa namna ambavyo nimewaona wanacheza Yanga wanayo nafasi ya kufunga magoli.

Kumbuka ushindi kwa Yanga utawavusha, na sare yoyote ya kuanzia goli 2 unawavusha, kwaiyo Al Hilal ndiyo wenye kibarua aidha walinde goli lao la ugenini ama wafunguke kutafuta goli jingine. Na hapo ndipo ilipo faida kwa Yanga.

Na mechi ijayo nafikiri Nabi amrejeshe kwenye kikosi Mwamnyeto halafu Bangala arudi kucheza namba 6 yake, Aucho asogee 8 na Aziz Ki aanzie benchi. Aanze Fei Toto namba 10 maana ni mechi ya kutafuta matokeo na si vinginevyo.

Binafsi yangu bado naiona nafasi ya Yanga kutinga makundi, kwani bado naziona dk. 90 za moto pale Omdurman, Sudan.
Baada ya kupata goli tulitakiwa tubadili aina ya uchezaji kwa kuongeza nguvu kwenye ulinzi.
Substitute ya Faridi na Tuisla haikuwa ya lazima bali angeingia Bakari na kutoka Moloko,kisha Yanick angepanda 6 na Aziz angeenda kulia na Feisal angepanda 10.
Kwa kufanya hivyo tungekuwa na faida ya kuanza kukabia juu.
 
Baada ya kupata goli tulitakiwa tubadili aina ya uchezaji kwa kuongeza nguvu kwenye ulinzi.
Substitute ya Faridi na Tuisla haikuwa ya lazima bali angeingia Bakari na kutoka Moloko,kisha Yanick angepanda 6 na Aziz angeenda kulia na Feisal angepanda 10.
Kwa kufanya hivyo tungekuwa na faida ya kuanza kukabia juu.
Goli moja Ukiwa kwako si kitu ligi ya mabingwa.....
Linarudi mda wowote, ligi hii iko so tricky.
 
Kwamba wasudan lile goli walipata kwa kubahatisha? Uto bwana! Yaani majamaa yamekukosakosa magoli mpaka ukawa unatamani mpira uishe! Na tena ulikua nyumban kwako! Aaf leo unasema wasudan ndo wanakazi ya kulinda goli walilopata ugenini? Haupo siriaz mzee! Mtapigwa kama ngoma kule hamtaamini!
Kwani wao waweze wana nini hata sisi tushindwe tuna nini?
 
2nd leg Yanga sc ikijipanga vizuri uwezekano wa kupata magoli upo. Ni kipuuza wachambuzi uchwara wa mitandaoni na kujipanga kiufundi zaidi. Mechi ijayo ioangwe hivi:
1. Diarra 2. Djuma 3. Lomalisa 4. Job 5. Mwamnyeto 6. Bangala 7. Aziz K 8. Sure Boy 9. Mayele 10. Feisal 11. Morrison. Nina Imani tunatoboa kazi iendelee Hadi kieleweke.
 
Ucdhan rahisi hivyo,kifupi utopolo wameshakalia mwiko
Nimeona baadhi ya mashabiki wa Yanga na wengine wa upande wa pili wakiwaponda Yanga kwamba tayari wametolewa kwenye mashindano na Al hilal. Mpira hauko hivyo waungwana, bado Yanga anayo nafasi ya kusonga mbele tena kubwa sana.

Katika mechi ya Jumamosi sikuona kitu cha ziada ambacho Al hilal aliizidi Yanga ndani ya uwanja. Tamaa ya yanga kutaka kufunga goli la 2, kuliwafanya wajisahau kuwa makini katika ulinzi. Wametengeneza nafasi 3 za wazi wakashindwa kuzitumia, hiyo tu ni ishara ya timu ambayo inaweza kufanya lolote kwa wakati wowote ndani ya dk. 90.

Yanga anakwenda Sudan akiwa na chaguo la kushambulia mwanzo mwisho, na sitegemei kwamba Al Hilal watakaa nyuma muda mwingi kufanya mashambulizi kama walivyofanya kwa Mkapa. Watafunguka wakiwa kwao na mianya itapatikana, na kwa namna ambavyo nimewaona wanacheza Yanga wanayo nafasi ya kufunga magoli.

Kumbuka ushindi kwa Yanga utawavusha, na sare yoyote ya kuanzia goli 2 unawavusha, kwaiyo Al Hilal ndiyo wenye kibarua aidha walinde goli lao la ugenini ama wafunguke kutafuta goli jingine. Na hapo ndipo ilipo faida kwa Yanga.

Na mechi ijayo nafikiri Nabi amrejeshe kwenye kikosi Mwamnyeto halafu Bangala arudi kucheza namba 6 yake, Aucho asogee 8 na Aziz Ki aanzie benchi. Aanze Fei Toto namba 10 maana ni mechi ya kutafuta matokeo na si vinginevyo.

Binafsi yangu bado naiona nafasi ya Yanga kutinga makundi, kwani bado naziona dk. 90 za moto pale Omdurman, Sudan.
 
Back
Top Bottom