Nitalindaje thamani ya akiba ya fedha zangu kipindi hiki cha mfumuko wa hatari?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Wakuu kwema?
Kama mnavyojua kipindi Hiki ni kipindi Cha mfumuko wa hatari duniani more kutokana na changamoto mbalimbali za kidunia

Sasa tulioweka akina zetu Benki thamani yake zinaporomoka huku tukiona

Mimi binafsi akina yangu niliweka kwenye fedha za kigeni, dollar nikitumaini nitakuwa salama

Lakini Hali ni mbaya kote dola nayo haipandi kivile dhidi ya Shilingi ukilinganisha na Kasi ya mfumuko

Sasa Kuna njia rahisi isiyokuwa na riski ya kulinda savings dhidi ya mfumuko?

Njia ambayo ukitaka kuzibadili kuwa cash haikuletei tabu

Nilikuwa nawaza kuingia. Kwenye forex ninunue gold au oil huko maana naona ndio zinapanda kila kukicha Ila Sina uhakika, nisije nikachezea na huko, unanunua unashangaa ndio zinaanza kushuka
 
UTT Amis kama lower risk. 11% interest kwa mwaka.

Crypto interest platform kama Anchor kwa 19% interest kwa mwaka higher risk.
 
Hata sielewi haya mambo nachojua cash TU ma machenji ndo yanayoninogea nipeni
 
Nunua gold mkuu haijawah kutetereka tangia enzi za Mansa Musa, nazungumzia gold Kama gold sio hizi za kutrade/kudownload a.k.a za kwenye picha nunua gold halisi
Kuna jamaa alinunuaga mikufu ya dhahabu mingi ilimsaidia kusurvive nchi yake ilipovamiwa akaenda ugenini ambapo hela yao haitambuliki gold ndio zilimsaidia,
Gold is not a currency it's a real money haina border
TAKE NOTE
 
Habari wadau,

Napita tu wadau, nasambaza upendo huu kwa wafanya biashara/makampuni tusiingie hasara;

31March ni deadline (siku ya mwisho) kufanya MAKADIRIO YA KODI. siku moja ya kuchelewa faini 225,000/=
KWA MSAADA ZAIDI NICHEKI 0788104228

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…