vposterior
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 732
- 1,233
Mwinyi ni mzanzibar vile ...mkuranga iyo vipi na wa Zanzibar?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atavyoshirikiana au atavyoihonga Zanzibar kwa wakaloni weusi ?Mwinyi sera yake ni moja ni kuhusu maendeleo ya Zanzibar na namna atakavyoshirikiana na Rais wa Tanzania
Umebalance mizani-Maalim Seif atakosa kura yako, atapata ya kwangu.
So, hakuna alichopoteza
Huku hatuna watu wapuuzi kama huyo, labda wa MkurangaSasa we mkazi wa kibamba ukamchague aliyekua mbunge wa bara mkuranga kule zanzibar sasa utapiga ukiwa dar kura yko ikaesabie kule au utavuka maji
Pia atashindaMaalim Seif atakosa kura yako, atapata ya kwangu.
So, hakuna alichopoteza
Mwinyi ni MTU wa ukerewa hana uhusiano na visiwa hivi hatumtakiSEIF NI SNITCH WA WA OMAN HAFAI KUONGOZA HATA MTAA
Sent from my SM-N920P using JamiiForums mobile app
Who the hell are you anywayz??? Kama hata jina lako huwezi kuliandika vizuri basi Maalim hahitaji hiyo kura yako! Tafuta mme tu uolewe may be utakufundisha kua majina ya watu siku zote yanaanza kwa herufi kubwa!Leo kipenzi cha Wazanzibar Dkt. Hussein Mwinyi ameingia kwenye Historia mpya ya kwenda kuwatumikia Wazanzibar wenzake kwa kuchukua fomu ndani ya Makao Makuu ya Tume ya Taifa NEC.
Dkt Mwinyi anasababu zaiidi ya Milioni za kuchaguliwa na Wazanzibar, Mwinyi ni kijana mwenye nguvu na ari ya kuitumikia Zanzibar lakini si Sultan Maalim Seif ambaye amekata kauli Dubai.
Dkt Mwinyi si King'ang'anizi ndiyo maana aliacha Ubunge wa Mkuranga na kwenda kugombea Kwahani Zanzibar na akashinda, lakini Maalim Seif ni kibabu king'ang'anzi kinachogombea nafasi moja tu tangu sijazaliwa na hajawahi kushinda.
Dkt. Mwinyi ni mzalendo wa Zanzibar, ukimsikiliza tangu alioopomba kuteuliwa kugombea nafasi ya Urais, Dkt. Mwinyi sera yake ni moja ni kuhusu maendeleo ya Zanzibar na namna atakavyoshirikiana na Rais wa Tanzania kupeleka maendeleo Zanzibar, lakini Kibabu Maalim Seif sera yake kubwa ni kuiuza Zanzibar kwa maswahiba wake wa Dubai ambao sasa wanamtibia bure.
Leo kipenzi cha Wazanzibar Dkt. Hussein Mwinyi ameingia kwenye Historia mpya ya kwenda kuwatumikia Wazanzibar wenzake kwa kuchukua fomu ndani ya Makao Makuu ya Tume ya Taifa NEC.
Dkt Mwinyi anasababu zaiidi ya Milioni za kuchaguliwa na Wazanzibar, Mwinyi ni kijana mwenye nguvu na ari ya kuitumikia Zanzibar lakini si Sultan Maalim Seif ambaye amekata kauli Dubai.
Dkt Mwinyi si King'ang'anizi ndiyo maana aliacha Ubunge wa Mkuranga na kwenda kugombea Kwahani Zanzibar na akashinda, lakini Maalim Seif ni kibabu king'ang'anzi kinachogombea nafasi moja tu tangu sijazaliwa na hajawahi kushinda.
Dkt. Mwinyi ni mzalendo wa Zanzibar, ukimsikiliza tangu alioopomba kuteuliwa kugombea nafasi ya Urais, Dkt. Mwinyi sera yake ni moja ni kuhusu maendeleo ya Zanzibar na namna atakavyoshirikiana na Rais wa Tanzania kupeleka maendeleo Zanzibar, lakini Kibabu Maalim Seif sera yake kubwa ni kuiuza Zanzibar kwa maswahiba wake wa Dubai ambao sasa wanamtibia bure.
Leo kipenzi cha Wazanzibar Dkt. Hussein Mwinyi ameingia kwenye Historia mpya ya kwenda kuwatumikia Wazanzibar wenzake kwa kuchukua fomu ndani ya Makao Makuu ya Tume ya Taifa NEC.
Dkt Mwinyi anasababu zaiidi ya Milioni za kuchaguliwa na Wazanzibar, Mwinyi ni kijana mwenye nguvu na ari ya kuitumikia Zanzibar lakini si Sultan Maalim Seif ambaye amekata kauli Dubai.
Dkt Mwinyi si King'ang'anizi ndiyo maana aliacha Ubunge wa Mkuranga na kwenda kugombea Kwahani Zanzibar na akashinda, lakini Maalim Seif ni kibabu king'ang'anzi kinachogombea nafasi moja tu tangu sijazaliwa na hajawahi kushinda.
Dkt. Mwinyi ni mzalendo wa Zanzibar, ukimsikiliza tangu alioopomba kuteuliwa kugombea nafasi ya Urais, Dkt. Mwinyi sera yake ni moja ni kuhusu maendeleo ya Zanzibar na namna atakavyoshirikiana na Rais wa Tanzania kupeleka maendeleo Zanzibar, lakini Kibabu Maalim Seif sera yake kubwa ni kuiuza Zanzibar kwa maswahiba wake wa Dubai ambao sasa wanamtibia bure.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23] Wewe na Uzanzibari wapi na wapi! Muhutu wa Chato umekua Mzanzibari lini?Hakika, Mwinyi ndiye chaguo la wazanzibari walio wengi.
Mkulanga ipo ZanzibarMwinyi ni mzanzibar vile ...mkuranga iyo vipi na wa Zanzibar?
Rose ni mpotoshaji tu huyu hata Zanzibar yenyewe haijui.Maalim Seif atakosa kura yako, atapata ya kwangu.
So, hakuna alichopoteza