Zanzibar 2020 Nitamchagua Dkt. Mwinyi si Maalim Seif

Zanzibar 2020 Nitamchagua Dkt. Mwinyi si Maalim Seif

Wazanzbar tumechoka kutawaliwa mutuache, zanzbar ni nchi huru, hatutaaki muumgano , tutamchagua seif ili atufikieshe tunapotaka na la mwanzo kabisa ni kuvunja muungano na kujua hatma ya masheikh zetu wa uhamisho munaowashikiria kidhulma
 
Sasa we mkazi wa kibamba ukamchague aliyekua mbunge wa bara mkuranga kule zanzibar sasa utapiga ukiwa dar kura yko ikaesabie kule au utavuka maji
 
wewe kijana kama huvuti bangi basi unabugiya cocaine ama ni taahira ebu nipe jambo moja tu ambalo CCM wamefanya laamana kwa kipindi hichi cha miaka 60
 
Mnachekesha sana, mshaanza kuvushwa kwani tayari? naona mapema ata kampeni bado hazijafika tayari mmeshavushwa 😀

Wazanzibari wanamtaka Sultan Maalim Seif Sharif ili aiuze Zanzibar kwa Dubai, Oman, Qatar, Saudi Arabia. Hawamtaki Mwinyi ambae ataiuza kwa Mkoloni mweusi, wametawaliwa na mkoloni mweusi kwa miaka mingi sana, sasa wazanzibar wanataka kumrudisha Jamshid kupitia Sultan Maalim Seif Shariff Hamad. Wewe kinachokuuma nini kwani? Tukutafutie mtumbwi urudi kwenu?

Wanamtibu buree Dubai Sultan Maalim Seif Sharif Hamad, huyu Mtumwa Hussein Mwinyi yeye anatibiwa na nani bure? au hakuna alokuwa na hamu naye? hana ata maswahiba kumbe nje ya mipaka ya Tanzania wakamtibu bure anapoumwa? Au mtumwa akiumwa ndio atatibiwa bure na master wake? 😀 😀 😀
 
Dah Msuya umeamua kubadili ID baada ya kujistukia zenj hakuna msuya
 
Leo kipenzi cha Wazanzibar Dkt. Hussein Mwinyi ameingia kwenye Historia mpya ya kwenda kuwatumikia Wazanzibar wenzake kwa kuchukua fomu ndani ya Makao Makuu ya Tume ya Taifa NEC.

Dkt Mwinyi anasababu zaiidi ya Milioni za kuchaguliwa na Wazanzibar, Mwinyi ni kijana mwenye nguvu na ari ya kuitumikia Zanzibar lakini si Sultan Maalim Seif ambaye amekata kauli Dubai.

Dkt Mwinyi si King'ang'anizi ndiyo maana aliacha Ubunge wa Mkuranga na kwenda kugombea Kwahani Zanzibar na akashinda, lakini Maalim Seif ni kibabu king'ang'anzi kinachogombea nafasi moja tu tangu sijazaliwa na hajawahi kushinda.

Dkt. Mwinyi ni mzalendo wa Zanzibar, ukimsikiliza tangu alioopomba kuteuliwa kugombea nafasi ya Urais, Dkt. Mwinyi sera yake ni moja ni kuhusu maendeleo ya Zanzibar na namna atakavyoshirikiana na Rais wa Tanzania kupeleka maendeleo Zanzibar, lakini Kibabu Maalim Seif sera yake kubwa ni kuiuza Zanzibar kwa maswahiba wake wa Dubai ambao sasa wanamtibia bure.
Who the hell are you anywayz??? Kama hata jina lako huwezi kuliandika vizuri basi Maalim hahitaji hiyo kura yako! Tafuta mme tu uolewe may be utakufundisha kua majina ya watu siku zote yanaanza kwa herufi kubwa!
 
Atachaguliwa Maalim Self lakni tume itamtangaza Mwinyi. Ndivyo ilivyotokea tangu 1995.
Leo kipenzi cha Wazanzibar Dkt. Hussein Mwinyi ameingia kwenye Historia mpya ya kwenda kuwatumikia Wazanzibar wenzake kwa kuchukua fomu ndani ya Makao Makuu ya Tume ya Taifa NEC.

Dkt Mwinyi anasababu zaiidi ya Milioni za kuchaguliwa na Wazanzibar, Mwinyi ni kijana mwenye nguvu na ari ya kuitumikia Zanzibar lakini si Sultan Maalim Seif ambaye amekata kauli Dubai.

Dkt Mwinyi si King'ang'anizi ndiyo maana aliacha Ubunge wa Mkuranga na kwenda kugombea Kwahani Zanzibar na akashinda, lakini Maalim Seif ni kibabu king'ang'anzi kinachogombea nafasi moja tu tangu sijazaliwa na hajawahi kushinda.

Dkt. Mwinyi ni mzalendo wa Zanzibar, ukimsikiliza tangu alioopomba kuteuliwa kugombea nafasi ya Urais, Dkt. Mwinyi sera yake ni moja ni kuhusu maendeleo ya Zanzibar na namna atakavyoshirikiana na Rais wa Tanzania kupeleka maendeleo Zanzibar, lakini Kibabu Maalim Seif sera yake kubwa ni kuiuza Zanzibar kwa maswahiba wake wa Dubai ambao sasa wanamtibia bure.
 
Leo kipenzi cha Wazanzibar Dkt. Hussein Mwinyi ameingia kwenye Historia mpya ya kwenda kuwatumikia Wazanzibar wenzake kwa kuchukua fomu ndani ya Makao Makuu ya Tume ya Taifa NEC.

Dkt Mwinyi anasababu zaiidi ya Milioni za kuchaguliwa na Wazanzibar, Mwinyi ni kijana mwenye nguvu na ari ya kuitumikia Zanzibar lakini si Sultan Maalim Seif ambaye amekata kauli Dubai.

Dkt Mwinyi si King'ang'anizi ndiyo maana aliacha Ubunge wa Mkuranga na kwenda kugombea Kwahani Zanzibar na akashinda, lakini Maalim Seif ni kibabu king'ang'anzi kinachogombea nafasi moja tu tangu sijazaliwa na hajawahi kushinda.

Dkt. Mwinyi ni mzalendo wa Zanzibar, ukimsikiliza tangu alioopomba kuteuliwa kugombea nafasi ya Urais, Dkt. Mwinyi sera yake ni moja ni kuhusu maendeleo ya Zanzibar na namna atakavyoshirikiana na Rais wa Tanzania kupeleka maendeleo Zanzibar, lakini Kibabu Maalim Seif sera yake kubwa ni kuiuza Zanzibar kwa maswahiba wake wa Dubai ambao sasa wanamtibia bure.

Hebu tupe video yake japo moja tu aloitetea Zanzíbar kabla ya kuteuliwa kugombea uraisi, Zanzíbar raisi wa Kizenji hasa ni wachache tu !! Sio jambo geni hili akipita yeye hata baba yake sio mzenji Ila alikuwa raisi kule !!!
 
Maalim Seif atakosa kura yako, atapata ya kwangu.

So, hakuna alichopoteza
Rose ni mpotoshaji tu huyu hata Zanzibar yenyewe haijui.
Muulize maana ya maneno haya ili tujue kweli anatokea Zanzibar.
*Polo
*Mfereji
*Dagaa tonge
 
Back
Top Bottom