Uchaguzi 2020 Nitamchagua tena Dkt. Magufuli kwa sababu hizi...

Uchaguzi 2020 Nitamchagua tena Dkt. Magufuli kwa sababu hizi...

Ninaomba Wananchi tuwe makini sana tarehe 28.10.2020 wakati wa kupigia kura viongozi wajao ili tusije tukadumbukia kwenye mtego wa kuchagua kwa ushabiki na kuacha wenye sifa na waliokwisha fanya kazi inayoonekana. Kwangu heri shetani ninayemjua kuliko shetani mpya nisiyemjua. Sipigi kampeni hayo ni maoni yangu tu.
 
Kila mtu na shetani wake. Mie hakuna shetani nimjuaye aliyenifaa,namtafuta.
 
Mimi bado namtafuta shetani wangu, Tusipangiane

pambana na shetani wako unayemjua
 
Familia yko ukiwaeleza hayo hawasikii mbaka uje huku!? Ukichukua kitambulisho chako, baba yko na mama, bibi na babu na cha ukoo mbona tayari MNA kula nyingi tu.
 
Ninaomba Wananchi tuwe makini sana tarehe 28.10.2020 wakati wa kupigia kura viongozi wajao ili tusije tukadumbukia kwenye mtego wa kuchagua kwa ushabiki na kuacha wenye sifa na waliokwisha fanya kazi inayoonekana. Kwangu heri shetani ninayemjua kuliko shetani mpya nisiyemjua. Sipigi kampeni hayo ni maoni yangu tu
Lile shetani tunalolijua lilisema litawapiga Mama zetu na shangazi zetu.
Hatulitaki tena.
Lile shetani tunalolijua lilikula michango yetu tuliyowachangia wenzetu walioathirika na tetemeko Kagera, Kisha likaja na maneno ya dharau na kashfa nyingi.
Mwaka huu ni sisi na Tundu Lissu wetu
 
Back
Top Bottom