Nitamsaidia Humphrey Polepole kutaja wahuni(Hooligans) ambao sio tu hawakumalizwa bali waliongezeka awamu ya tano mara 100 zaidi

Wahuni wengine huko Bandarini Beseni limepinduka.
 
Ndani ya Nissan nyeupe na Noah nyeusi walikuwa Kingai, Mahita, Goodluck na Jumanne.

Sabaya na mwenzake wa Dar hawakucheza mbali.

Ninaunga mkono hoja, Polepole:

"Mnavuna mlichopanda. Na bado!!"
Ndio Kamanda Mhina kawataja
 
Hao wahuni sana Polepole kawaweka wazi.
 
Wahuni ni wengi na muda ni mchache!Treni iko wapi sasa?😁😁😁
Your browser is not able to display this video.
 
Wahuni leo watalala na viatu. Jumba bovu la Bandari mama katupia jiwe fatuma.
 

wewe uliyea andika hii hoja wewe ndio muhuni namba moja yoote uliyoogea ni uongo mtupu mnajua sana propoganda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…