pasconyamwihura
Member
- Sep 2, 2021
- 36
- 9
Kitu nilichokiona kwa huyu be polepole anaongea utadhani kachanganyikiwa lkn yeye anajua watz ni wajinga kiwango kikubwa mno kiasi kwamba hawawezi tambua madudu waliyofanya.mpk nashangaa huyu polepole zimePolepole anazunguka tu wakati Political hooligans wanajulikana
Sasa kwanini tunashindwa kupindua meza? Tunashindwa nini kurudi nyuma kimya kimya kwenye huo ubao na kumwacha huyo mpayukaji, mwongo, laghai, mwizi atumbukie kwenye shimo na kupotelea mbali?Hawa politician watazidi kutufanya wajinga sisi wadanganyika sijui had lini!
View attachment 2032052
Mh Lema aliwahi kuwaambia "imarisheni mifumo na sio mtu". Huyu Magufuli sio Mungu, kuna siku hatakuwepo halafu mtakuja kulia lia hovyo kama vifaranga vilivyopotelewa na mama yao. Sasa ndio kina Polepole.Viongozi wote wa CCM tuna ma vieite[emoji28],unaijua viete wewe?? Ndio tunatemebelea sisi zile..Katibu tawala anatembelea Land Cruiser hardtop 1HZ yenye Full AC!..
Wanataka kujifananisha na sisi?~ Amfredi Konokono
Hahahahah mifumo sindio hio imeuawa mzee! Tarura by cash, Tanesco nayo walitaka kuichezea watu wakaropoka sana wakakausha. Sahizi usishangae hii GePG nayo ikafa au waka hack mchongo hela ilawa inavuja mahali kabla ya kuingia hazina😅Mh Lema aliwahi kuwaambia "imarisheni mifumo na sio mtu". Huyu Magufuli sio Mungu, kuna siku hatakuwepo halafu mtakuja kulia lia hovyo kama vifaranga vilivyopotelewa na mama yao. Sasa ndio kina Polepole.
Yeye anajiona anaongea pointi sana.😅😅😅Kitu nilichokiona kwa huyu be polepole anaongea utadhani kachanganyikiwa lkn yeye anajua watz ni wajinga kiwango kikubwa mno kiasi kwamba hawawezi tambua madudu waliyofanya.mpk nashangaa huyu polepole zime
mruka au akili yàke inaishia hapo
Nimekudharau unaposema hata ije katiba mpya haitasaidia. Katiba Mpya inaondoa wahuni. Kama Mahakama iko imara, polisi wako imara na Takukuru iko imara, tume ya uchaguzi imara hakuna atakayeleta uhuni. Uhuni unaendelea kwa sababu ya kulindana.Hahahahah mifumo sindio hio imeuawa mzee! Tarura by cash, Tanesco nayo walitaka kuichezea watu wakaropoka sana wakakausha. Sahizi usishangae hii GePG nayo ikafa au waka hack mchongo hela ilawa inavuja mahali kabla ya kuingia hazina😅
Tanzania hata ije katiba mpya wahuni wataendelea kufanya yao na kulindana tu😅 sababu ni mchezo wameuzoea!
Kuua chain ndio njia pekee. Katiba ianishe kabisa watoto wa viongozi wastaafu hamna kushika senior positions waishie kwenye level za ukuu wa Idara tu huko incase wataingia serikalini moja kwa moja.
Yani aidha uraisi, ukurugenzi,uwaziri,ded,rc ama position yeyote ambayo wanakuwa final say wasiruhusiwe kufika kuwe na ukomo! Kama watafanya kwenye kampuni binafsi ni sawa hata wakiwa ma CEO!
Hii ndio itasaidia kuleta sura mpya kwenye system ya nchi. Sio baba kwa vile alikuwa raisi anafosi mazingira na mwanae awe raisi. Miaka nenda rudi itakuwa raisi Ally Hassan Mwinyi, Mtoto nae raisi Hussien Hassan Mwinyi, Mjukuu nae raisi Hassan Hussein Mwinyi! Style inakwenda kama vile nchi ya kifalme!
Strong institutions, not strong people.Mh Lema aliwahi kuwaambia "imarisheni mifumo na sio mtu". Huyu Magufuli sio Mungu, kuna siku hatakuwepo halafu mtakuja kulia lia hovyo kama vifaranga vilivyopotelewa na mama yao. Sasa ndio kina Polepole.
Ni watu wa hovyo. Wameanza kumliza mamaWahuni sio watu wazuri hata kidogo.
Polepole ni mmoja kti ya hao wahuniMh Polepole naona anazunguka sana kuwataja majina na level zao wahuni ambao anadai Serikali ya Awamu ya Tano ilishindwa kumalizana nao.
Kwanza Polepole anakubali kuwa Wahuni hao ni wanachama wa ccm.
Pili Mh Polepole hakatai kuwa Wahuni hao( Hooligans) ni viongozi ndani ya chama na wengine wameshika nyazifa mbali mbali ndani ya serikali.
Mh Polepole anakubali kuwa hao wahuni ni watu walioaminiwa na wananchi wakapewa dhamana ya kuongoza.
Katika kipindi cha miaka 5-6 tumeshuhudia uhuni mwingi waliofanyiwa watanzania. Hasa chanzo kikiwa ni kutoka ndani na nje ya chama cha mapinduzi ambacho Polepole anakiri wahuni wako huko.
Sasa wahuni hawa Hapa. Polepole acha kuzunguka mbuyu. Hata wewe ni Mhuni. Hujamalizwa ile umekatwa mabega yalitaka kuzidi kichwa. Sasa ule uhuni umekutoka unaona wivu kwa wahuni waliobaki. Uhuni ni sifa ndani ya chama chenu kama ulivyofafanua.
1. Wahuni walidiriki kudanganya watanzania kuwa pesa za miradi ni za ndani kumbe walikuwa wakikopa kimya kimya na hatujui kama hizo pesa wahuni waliweka kwwnye miradi zote au zingine zilidondokea mifukoni mwa wahuni
2. 2019 Tanzania ilishuhudia vurugu( political hooligans) ikifanyika wakti wa uchaguzi wa serikali za mitaa. Ule ni uhuni wa karne.
3. Wahuni hawa walijaa kila kona ya nchi wakitembelea Noah Nyeusi na Nissani Nyeupe. Kiukweli yeyote aliyekutana nao hadi leo hajasahau kama hajfa basi kabaki na ulemavu wa kudumu. Wahuni wanatoka ccm kwa mujibu wa Polepole na wengine ni viongozi ngazi mbali mbali.
4. Wahuni wana tabia za kuharibu na kupora mali za waungwana. Kumbuka korosho za mtwara, Nyumba za kimara Dar es Salam na pesa za rambi rambi za Bukoba.
5. Polepole akiwa kiongozi wa wahuni anatuhumiwa kuendesha kampeni za kihuni za kununua na kuuza wabunge kutoka vyama mbali mbali vya siasa. Kama kawaida ya wahuni hawakununui kwa pesa tu bali kwa vitisho kutaka kukua, kukuharibia mali, kukuachia ulemavu na Kukufunga kwa kesi ngumu ngumu.
7. Wahuni sio watu wazuri. Wamebomoa mali za machinga.
8. Wahuni wanapenda politoical violence and intimidations. Mwaka 2020 oktoba ni mwaka wa shetani na mwaka wahuni. Wahuni hawa wanapenda kutumia nguvu za dola kuanzisha vurugu, unyama na utesaji. Kama tulivyoshuhudia uhuni wakti wa kampeni hadi uchaguzi watu waliunguziwa nyuma, kupigwa na kuuawa. Wahuni hawakumalizwa bali walitengenezwa na kuwa wengi zaidi.
9. Wahuni hawapendi kuleta huduma za jamii hutumia pesa nyingi kujilinda na kukandamiza wengine. Wakati tunakaribia uchaguzi huona wahuni wakiagiza magari mengi ya washa washa kuliko magari ya Kuhudumia wagonjwa Ambulamce. Mwaka 2014 pekee yaliagizwa magari 700.
10. Kwa mara ya kwnza ktk bara la afrika wahuni walizima internet tanzania nzima na twitter tar 27 October. Wahuni hawapendi ukweli na uwazi. Matendo yao hupenda yafichwe yawe siri yasiongelewe.
11. Polepole wahuni mliwatengeneza sasa wamewageuka. Wewe na Bashiru ni miongoni mwa waathirika kutokana na vitendo vya wahuni.
Mnavuna mlichopanda. Na bado!!
Hujamuweka Mhuni (Hooligan) na Jambazi Sabaya kwenye hii list yako ya Wahuni, Uzi wako umepingua Sana Nguvu.Mh Polepole naona anazunguka sana kuwataja majina na level zao wahuni ambao anadai Serikali ya Awamu ya Tano ilishindwa kumalizana nao.
Kwanza Polepole anakubali kuwa Wahuni hao ni wanachama wa ccm.
Pili Mh Polepole hakatai kuwa Wahuni hao( Hooligans) ni viongozi ndani ya chama na wengine wameshika nyazifa mbali mbali ndani ya serikali.
Mh Polepole anakubali kuwa hao wahuni ni watu walioaminiwa na wananchi wakapewa dhamana ya kuongoza.
Katika kipindi cha miaka 5-6 tumeshuhudia uhuni mwingi waliofanyiwa watanzania. Hasa chanzo kikiwa ni kutoka ndani na nje ya chama cha mapinduzi ambacho Polepole anakiri wahuni wako huko.
Sasa wahuni hawa Hapa. Polepole acha kuzunguka mbuyu. Hata wewe ni Mhuni. Hujamalizwa ile umekatwa mabega yalitaka kuzidi kichwa. Sasa ule uhuni umekutoka unaona wivu kwa wahuni waliobaki. Uhuni ni sifa ndani ya chama chenu kama ulivyofafanua.
1. Wahuni walidiriki kudanganya watanzania kuwa pesa za miradi ni za ndani kumbe walikuwa wakikopa kimya kimya na hatujui kama hizo pesa wahuni waliweka kwwnye miradi zote au zingine zilidondokea mifukoni mwa wahuni
2. 2019 Tanzania ilishuhudia vurugu( political hooligans) ikifanyika wakti wa uchaguzi wa serikali za mitaa. Ule ni uhuni wa karne.
3. Wahuni hawa walijaa kila kona ya nchi wakitembelea Noah Nyeusi na Nissani Nyeupe. Kiukweli yeyote aliyekutana nao hadi leo hajasahau kama hajfa basi kabaki na ulemavu wa kudumu. Wahuni wanatoka ccm kwa mujibu wa Polepole na wengine ni viongozi ngazi mbali mbali.
4. Wahuni wana tabia za kuharibu na kupora mali za waungwana. Kumbuka korosho za mtwara, Nyumba za kimara Dar es Salam na pesa za rambi rambi za Bukoba.
5. Polepole akiwa kiongozi wa wahuni anatuhumiwa kuendesha kampeni za kihuni za kununua na kuuza wabunge kutoka vyama mbali mbali vya siasa. Kama kawaida ya wahuni hawakununui kwa pesa tu bali kwa vitisho kutaka kukua, kukuharibia mali, kukuachia ulemavu na Kukufunga kwa kesi ngumu ngumu.
7. Wahuni sio watu wazuri. Wamebomoa mali za machinga.
8. Wahuni wanapenda politoical violence and intimidations. Mwaka 2020 oktoba ni mwaka wa shetani na mwaka wahuni. Wahuni hawa wanapenda kutumia nguvu za dola kuanzisha vurugu, unyama na utesaji. Kama tulivyoshuhudia uhuni wakti wa kampeni hadi uchaguzi watu waliunguziwa nyuma, kupigwa na kuuawa. Wahuni hawakumalizwa bali walitengenezwa na kuwa wengi zaidi.
9. Wahuni hawapendi kuleta huduma za jamii hutumia pesa nyingi kujilinda na kukandamiza wengine. Wakati tunakaribia uchaguzi huona wahuni wakiagiza magari mengi ya washa washa kuliko magari ya Kuhudumia wagonjwa Ambulamce. Mwaka 2014 pekee yaliagizwa magari 700.
10. Kwa mara ya kwnza ktk bara la afrika wahuni walizima internet tanzania nzima na twitter tar 27 October. Wahuni hawapendi ukweli na uwazi. Matendo yao hupenda yafichwe yawe siri yasiongelewe.
11. Polepole wahuni mliwatengeneza sasa wamewageuka. Wewe na Bashiru ni miongoni mwa waathirika kutokana na vitendo vya wahuni.
Mnavuna mlichopanda. Na bado!!
Viieitee kanunua mkulima mnayo habari🤔.
Mbona wengine niwageni masikioni kwangu wajameni?Hujamuweka Mhuni (Hooligan) na Jambazi Sabaya kwenye hii list yako ya Wahuni, Uzi wako umepingua Sana Nguvu.
Imagine Mhuni Kama Bashite hujam List, Mhuni Chalamila, Mhuni Kihongosi , Mhuni Jerry Muronetc
Ndio maana mods wanakushughulikiaTuweke kumbukumbu vizuri, Magufuli ndio muhuni namba moja Tanzania .
Mungu amuongezee adhabu ya kaburi Amen.
AmenTuweke kumbukumbu vizuri, Magufuli ndio muhuni namba moja Tanzania .
Mungu amuongezee adhabu ya kaburi Amen.
kama kuna mtu anatakiwa kurushiwa jiwe, polepole anatakiwa kuwa wa kwanza. na yeye mwenyewe anaelewa hilo akiwa na bashiru.Mh Polepole naona anazunguka sana kuwataja majina na level zao wahuni ambao anadai Serikali ya Awamu ya Tano ilishindwa kumalizana nao.
Kwanza Polepole anakubali kuwa Wahuni hao ni wanachama wa ccm.
Pili Mh Polepole hakatai kuwa Wahuni hao( Hooligans) ni viongozi ndani ya chama na wengine wameshika nyazifa mbali mbali ndani ya serikali.
Mh Polepole anakubali kuwa hao wahuni ni watu walioaminiwa na wananchi wakapewa dhamana ya kuongoza.
Katika kipindi cha miaka 5-6 tumeshuhudia uhuni mwingi waliofanyiwa watanzania. Hasa chanzo kikiwa ni kutoka ndani na nje ya chama cha mapinduzi ambacho Polepole anakiri wahuni wako huko.
Sasa wahuni hawa Hapa. Polepole acha kuzunguka mbuyu. Hata wewe ni Mhuni. Hujamalizwa ile umekatwa mabega yalitaka kuzidi kichwa. Sasa ule uhuni umekutoka unaona wivu kwa wahuni waliobaki. Uhuni ni sifa ndani ya chama chenu kama ulivyofafanua.
1. Wahuni walidiriki kudanganya watanzania kuwa pesa za miradi ni za ndani kumbe walikuwa wakikopa kimya kimya na hatujui kama hizo pesa wahuni waliweka kwwnye miradi zote au zingine zilidondokea mifukoni mwa wahuni
2. 2019 Tanzania ilishuhudia vurugu( political hooligans) ikifanyika wakti wa uchaguzi wa serikali za mitaa. Ule ni uhuni wa karne.
3. Wahuni hawa walijaa kila kona ya nchi wakitembelea Noah Nyeusi na Nissani Nyeupe. Kiukweli yeyote aliyekutana nao hadi leo hajasahau kama hajfa basi kabaki na ulemavu wa kudumu. Wahuni wanatoka ccm kwa mujibu wa Polepole na wengine ni viongozi ngazi mbali mbali.
4. Wahuni wana tabia za kuharibu na kupora mali za waungwana. Kumbuka korosho za mtwara, Nyumba za kimara Dar es Salam na pesa za rambi rambi za Bukoba.
5. Polepole akiwa kiongozi wa wahuni anatuhumiwa kuendesha kampeni za kihuni za kununua na kuuza wabunge kutoka vyama mbali mbali vya siasa. Kama kawaida ya wahuni hawakununui kwa pesa tu bali kwa vitisho kutaka kukua, kukuharibia mali, kukuachia ulemavu na Kukufunga kwa kesi ngumu ngumu.
7. Wahuni sio watu wazuri. Wamebomoa mali za machinga.
8. Wahuni wanapenda politoical violence and intimidations. Mwaka 2020 oktoba ni mwaka wa shetani na mwaka wahuni. Wahuni hawa wanapenda kutumia nguvu za dola kuanzisha vurugu, unyama na utesaji. Kama tulivyoshuhudia uhuni wakti wa kampeni hadi uchaguzi watu waliunguziwa nyuma, kupigwa na kuuawa. Wahuni hawakumalizwa bali walitengenezwa na kuwa wengi zaidi.
9. Wahuni hawapendi kuleta huduma za jamii hutumia pesa nyingi kujilinda na kukandamiza wengine. Wakati tunakaribia uchaguzi huona wahuni wakiagiza magari mengi ya washa washa kuliko magari ya Kuhudumia wagonjwa Ambulamce. Mwaka 2014 pekee yaliagizwa magari 700.
10. Kwa mara ya kwnza ktk bara la afrika wahuni walizima internet tanzania nzima na twitter tar 27 October. Wahuni hawapendi ukweli na uwazi. Matendo yao hupenda yafichwe yawe siri yasiongelewe.
11. Polepole wahuni mliwatengeneza sasa wamewageuka. Wewe na Bashiru ni miongoni mwa waathirika kutokana na vitendo vya wahuni.
Mnavuna mlichopanda. Na bado!!
Hivi cremia utakosekana kundi la hawa wahuni kweli, ukikosekana Mimi sio tuu nitashaangaa ila nitaandamana wewe kutotendewa haki🤔.Ndio maana mods wanakushughulikia
Hapo umemaliza Mkuu. Asante.Nimekudharau unaposema hata ije katiba mpya haitasaidia. Katiba Mpya inaondoa wahuni. Kama Mahakama iko imara, polisi wako imara na Takukuru iko imara, tume ya uchaguzi imara hakuna atakayeleta uhuni. Uhuni unaendelea kwa sababu ya kulindana.