residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Polepole sio muhuni tu, bali ni moja ya yale mahuni to top kabisa.Polepole naye ni kati ya hao wahuni
Trust me katiba ni hatua moja ila bila kuweka sheria ya watu waliowahi kuhudumu wakashutumiwa kwa matumizi mabaya ya ofisi kuhamishiwa vitengo tu na kubana tabia ya kuwekana watoto wa viongozi wastaafu kwenye nafasi nyeti! Ujinga utaendelea tu!Nimekudharau unaposema hata ije katiba mpya haitasaidia. Katiba Mpya inaondoa wahuni. Kama Mahakama iko imara, polisi wako imara na Takukuru iko imara, tume ya uchaguzi imara hakuna atakayeleta uhuni. Uhuni unaendelea kwa sababu ya kulindana.
Ni sawa kunidharau ila hebu tuliza akili utaiona logic yanguπ !Nimekudharau unaposema hata ije katiba mpya haitasaidia. Katiba Mpya inaondoa wahuni. Kama Mahakama iko imara, polisi wako imara na Takukuru iko imara, tume ya uchaguzi imara hakuna atakayeleta uhuni. Uhuni unaendelea kwa sababu ya kulindana.
Hicho ndio tunakataa.Ni sawa kunidharau ila hebu tuliza akili utaiona logic yanguπ !
Katiba tutapewa ila familia za elites zikiruhusiwa kuendelea kupeana madaraka kwa fadhila haitakaa itusaidie!
Jamaa bado ana uelewa mdogo kuhusu Katiba tuitakayoHapo umemaliza Mkuu. Asante.
Mhuni mwandamiziπ πHivi cremia utakosekana kundi la hawa wahuni kweli, ukikosekana Mimi sio tuu nitashaangaa ila nitaandamana wewe kutotendewa hakiπ€.
Polepole sijui anawaonaje wana ccmπ π πkama kuna mtu anatakiwa kurushiwa jiwe, polepole anatakiwa kuwa wa kwanza. na yeye mwenyewe anaelewa hilo akiwa na bashiru.
Mhuni mwingine huyu Hapaπ π πWanachama na wafuasi wengi wa upinzani hawana akili. We ni mpumbavu.
Huyu Mataga alichoka na kuchokwaKomredi mataga aliyechoka, cry more.
πMhuni mwingine huyu Hapaπ π π
Non senseHuyu Mataga alichoka na kuchokwa
Kamanda aliyechoka π π πNon sense
Alizibiti mafisadi, wala rushwa hakuruhusu mabeberu wachukue rasmali zetu amejenga miradi mingi ya kimkakati na aliwatumbua vyeti feki
Akil huna wwWanachama na wafuasi wengi wa upinzani hawana akili. We ni mpumbavu.
Haa, umenikumbusha wale wahuni waliokuwa wamebeba mabegi yaliyo jaa kwenye vituo vya kupigia kura 2020, Swali fikirikishi hawo wahuni waliowatuma ni wakina naniMh Polepole naona anazunguka sana kuwataja majina na level zao wahuni ambao anadai Serikali ya Awamu ya Tano ilishindwa kumalizana nao.
Kwanza Polepole anakubali kuwa Wahuni hao ni wanachama wa ccm.
π π π π polepole anataka kusema kuna wahuni wanaozidi wale.Haa, umenikumbusha wale wahuni waliokuwa wamebeba mabegi yaliyo jaa kwenye vituo vya kupigia kura 2020, Swali fikirikishi hawo wahuni waliowatuma ni wakina nani
Wahuni wengine wanaondelea kuua nchi HII ni hawa hapaMh Polepole naona anazunguka sana kuwataja majina na level zao wahuni ambao anadai Serikali ya Awamu ya Tano ilishindwa kumalizana nao.
Kwanza Polepole anakubali kuwa Wahuni hao ni wanachama wa ccm.
π π πWahuni wengine wanaondelea kuua nchi HII ni hawa hapa
View attachment 2035807 View attachment 2035810