Uchaguzi 2020 Nitamwaga Sukari ziwa Victoria

Uchaguzi 2020 Nitamwaga Sukari ziwa Victoria

Yule mama kasema watashinda hata tusipowapigia kura.

Wale ccm msipoteze nguvu kuwapigia ccm. Hawahitaji kura ili kushinda.

Hivyo kuliko kupoteza kwa kuwapigia wao, bora tuwapigie CHADEMA wanao zihitaji kura zetu.
Kuna mbunge mmoja kutoka huko huko alisema hata msiponipigia kura nitapigiwa na mijusi kenge.
 
Pamoja na kuwa

1. Wamefanya siasa miaka mitano peke yao.

2. Wanajisifia kufanya makubwa kila siku

3. Wamejenga Flyovers.

4. Wamenunua ndege, uwanja wa ndege Chato.

5. Wanatupigia magoti kwenye kampeni.

6. Wanatupa Fiesta bure kila mkutano

Ila bado sijasahau

1. Sakata la vyeti feki, dhuluma

2. Utekaji nyara Roma na wenzake nautekaji mwingine

3. Kupotea kwa Ben Saanane, Azroy Gwanda

4. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu

5. Kupigwa risasi kwa Akwilina

6. Kura hela za rambirambi Bukoba kisha kusutwa kuwa hajaleta tetemeko, hapangiwi.

7. Kunyang'anywa korosho kisha kutishia kupiga mashangazi.

8. Dhuluma uchaguzi wa serikali za mitaa 2019.

9. Kutishiwa kuwa tusipochagua CCM hatuletewi umeme wala maji.

10. Kuenguliwa kwa wagombea wa upinzani.

11. Ubabe wa polisi kila siku.

12. Kufungiwa kufanya kampeni kwa Lissu, Mdee, Maalim Seif, Mayor Jacob na wengine.

13. Kufungiwa kwa magazeti.

Kwa hayo machache tu, halafu wanajitamba wataunda serikali iwe isiwe maana kupiga kura kwingine ni sawa na KUMWAGA SUKARI ZIWA VICTORIA.

Basi hata kama jina la Lissu wataweka mwisho, ukurasa wa 2 au wa 100, nitalifata hukohuko NIKAMWAGE SUKARI ZIWA VICTORIA [emoji41].
Uchaguzi 2020 - Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania

View attachment 1602148
Naomba kuuliza Kati ya
Antpas m lisu
John p magufuli
Kialfabeti yaani kwakufata herufi tangulizi ipiilitakiwa itangulie?
 
Naomba kuuliza Kati ya
Antpas m lisu
John p magufuli
Kialfabeti yaani kwakufata herufi tangulizi ipiilitakiwa itangulie?
Jina la Chama ndio linawekwa kulingana na Alphabet.
Kilichofannyika mwaka huu ni uoga na aibu kwa CCM
Screenshot_20201017-074227.jpg
images%20(15).jpg
images%20(16).jpg
 
Me nafikiri inakupasa ukumbuke kuwa kura yako ni moja, hivyo ningekushauri ujikite katika swala zima la kuhakikisha haiharibiki, maana si kwa akili hizi.
CCM wanajivunia kuiba kura wazi wazi, acha sangara na sato wa Victoria wafaidi a wao
 
Siku ya kupiga kura wahi kituoni. Ukiingia ndani ya chumba cha kupigia kura, utapewa karatasi za kupigia kura. Chukua ile jaratasi ya wagombea uraisi. Angalia lile jina la mwisho. Utakuta alama ya vidole viwili yaani nembo ya Chadema. Mbele yake utaona picha ya Salum Mwalim na Mbele yake picha ya Tundu Antipas Lissu. Mwishoni pale kuna sehemu ya kuweka alama. Chukua kalamu weka alama ya V. Usieeke alama nyingine kwenye fomu yako isije ikaharibika. Wakati mwingine wanatumia mhuri wa V. Ikiwa hivyo gonga mhuri kwenye hiyo sehemu mbele ya picha ya Lissu. Usifanye kingine. Kunja fomu yako kaitumbukize kwenye sanduku la kura za uraisi. Mshukuru Mungu kimyakimya kwa imani yako huku ukiomba kuwa kura yako wasiibe. Mbunge halikadhalika Chagua wa Chadema. Diwani wa chadema.
KUMBUKA KANUNI HII: WAKWANZA ATAKUWA WA MWISHO NA WA MWISHO ATAKUWA WA KWANZA,!!! Maana yake weka alama kwa yule wa mwisho kwenye krodha kwa sababu huyo ndiye wa kwanza kwenye matokeo.
Kwenye nafasi ya Mbunge na ya Diwani kama hayupo wa CHADEMA weka V yako kwenye nafasi ya Mgombea yeyote wa Upinzani aliyopo. Waliengua wagombea wetu wa Upinzanl tuwaengue wa kwao hivyo!
 
Pamoja na kuwa

1. Wamefanya siasa miaka mitano peke yao.

2. Wanajisifia kufanya makubwa kila siku

3. Wamejenga Flyovers.

4. Wamenunua ndege, uwanja wa ndege Chato.

5. Wanatupigia magoti kwenye kampeni.

6. Wanatupa Fiesta bure kila mkutano

Ila bado sijasahau

1. Sakata la vyeti feki, dhuluma

2. Utekaji nyara Roma na wenzake nautekaji mwingine

3. Kupotea kwa Ben Saanane, Azroy Gwanda

4. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu

5. Kupigwa risasi kwa Akwilina

6. Kura hela za rambirambi Bukoba kisha kusutwa kuwa hajaleta tetemeko, hapangiwi.

7. Kunyang'anywa korosho kisha kutishia kupiga mashangazi.

8. Dhuluma uchaguzi wa serikali za mitaa 2019.

9. Kutishiwa kuwa tusipochagua CCM hatuletewi umeme wala maji.

10. Kuenguliwa kwa wagombea wa upinzani.

11. Ubabe wa polisi kila siku.

12. Kufungiwa kufanya kampeni kwa Lissu, Mdee, Maalim Seif, Mayor Jacob na wengine.

13. Kufungiwa kwa magazeti.

Kwa hayo machache tu, halafu wanajitamba wataunda serikali iwe isiwe maana kupiga kura kwingine ni sawa na KUMWAGA SUKARI ZIWA VICTORIA.

Basi hata kama jina la Lissu wataweka mwisho, ukurasa wa 2 au wa 100, nitalifata hukohuko NIKAMWAGE SUKARI ZIWA VICTORIA [emoji41].
Uchaguzi 2020 - Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania

View attachment 1602148

hahaha wamamweka mwisho wa karatasi hahahaa
 
Mtanzania mwenzangu usijivue utu wako kwa kumpa kura kibaraka wa wazungu.

Kuwa mzalendo chagua JPM.
 
Pamoja na kuwa

1. Wamefanya siasa miaka mitano peke yao.

2. Wanajisifia kufanya makubwa kila siku

3. Wamejenga Flyovers.

4. Wamenunua ndege, uwanja wa ndege Chato.

5. Wanatupigia magoti kwenye kampeni.

6. Wanatupa Fiesta bure kila mkutano

Ila bado sijasahau

1. Sakata la vyeti feki, dhuluma

2. Utekaji nyara Roma na wenzake nautekaji mwingine

3. Kupotea kwa Ben Saanane, Azroy Gwanda

4. Kupigwa Risasi kwa Tundu Lissu

5. Kupigwa risasi kwa Akwilina

6. Kura hela za rambirambi Bukoba kisha kusutwa kuwa hajaleta tetemeko, hapangiwi.

7. Kunyang'anywa korosho kisha kutishia kupiga mashangazi.

8. Dhuluma uchaguzi wa serikali za mitaa 2019.

9. Kutishiwa kuwa tusipochagua CCM hatuletewi umeme wala maji.

10. Kuenguliwa kwa wagombea wa upinzani.

11. Ubabe wa polisi kila siku.

12. Kufungiwa kufanya kampeni kwa Lissu, Mdee, Maalim Seif, Mayor Jacob na wengine.

13. Kufungiwa kwa magazeti.

Kwa hayo machache tu, halafu wanajitamba wataunda serikali iwe isiwe maana kupiga kura kwingine ni sawa na KUMWAGA SUKARI ZIWA VICTORIA.

Basi hata kama jina la Lissu wataweka mwisho, ukurasa wa 2 au wa 100, nitalifata hukohuko NIKAMWAGE SUKARI ZIWA VICTORIA [emoji41].
Uchaguzi 2020 - Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania

View attachment 1602148

-bado hatujsahau kuchoma ofisi za chama moto na kusingizia serikali
-kutukana baba wa mataifa pamoja na mapolisi kwamba ni majinga
-kufukuza wabunge kisa wameenda kusemea wananchi kipindi kigumu cha corona
- kutoa tamka bado corona ipo ingawa wanafanya kampeni
- kufanya utekaji na kusingizia serikali
- kufukuza wanachama kisa wamesema uozo uliopo kwenye chama ambao hatukua tunajua ikiwemo kuchangisha wanachama na kupiga B8

-kupinga maendeleo na kusema haakuna kilichofanyika
 
Ngoja kwanza, mpangilio wa majina kwenye karatasi umefata nini, alphabet, ...........????
 
Back
Top Bottom