Nitamwambia asante

1. Mwanaume akipata K mpya na nzuri huwa hakumbuki maumivu ya zamani, niwachache sna.

2. Mwanamke anaepanua mapaja kwa hiali mapema bila usumbufu, jua mahusiano anayajua vzur na pia anajua utamu ya mashine.

3. Mwanamke kutoa pesa yake kukupa ni wazi kuwa unamfanyia mambo mazuri, Lakini inapaswa kukumbuka pia mwanamke pia anapenda kupokea na kuona akioneshwa kua yeye anajaliwa zaidi.

Just why hata aliamua kwenda kuhudumiwa vyote na njemba nyingine.
Mkuu, ebu angalia vigezo nilivyo tumia kufikia hitimisho la uchambuzi wangu. Kisha nawe naomba unipe vigezo ulivyo tumia kuhitimisha kuhusu distance
 
Sikuwahi kuyachukulia mapenzi serious so far, ndo maana hata niliyenaye sasa sijui kama ni rafiki, mke, mchuma ama nampenda tu...kikubwa nilicho experience kwa miaka yangu michache niliyoishi duniani kabla ya kifo cha penzi kunifika ni kwamba kuna kupenda na kupendwa ila ni wachache sana wanaokutana wakiwa wanapendana!
Ukiacha mapenzi ya kwenye vitabu vya dini pamoja ya yale ya kwenye filamu za kikorea ni mara chache sana kwa kizazi cha sasa kukuta watu wamependana bila kuwepo na external factor.
Aina ya penzi alilopitia ndugu yetu mwenye chapisho ingekuwa tamthiliya pale mwanzoni kabisa kwa namna walivyokutana na mapito waliyopita kwa maana ya binti kuwa mfadhili haaihitaji akili kubwa kujua kwamba binti hakua amepata exposure period na alipoipata macho ya rohoni yakafunguka na kugundua kwamba moyo wake aliusahau usukumani huko ilihali kiuhalisia ulistahili kuwepo Posta mpya!
 
Mkuu, ebu angalia vigezo nilivyo tumia kufikia hitimisho la uchambuzi wangu. Kisha nawe naomba unipe vigezo ulivyo tumia kuhitimisha kuhusu distance
Sijui nimebakiwa na dhahania tu LABDA kapata mwingine
LABDA hakunipenda ni huruma tu alinioneà
Labda labda labda
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nipo na zawadi zake hapa tulikuwa tunatoana
 
Jamani kwa nini kunivunja mbavu hivi
 
Mimi naomba niulize swali
Hivi ni bora
1. mtu aendelee kufake kuwa anakupenda huku hisia zake juu yako zimebadilika, yaani hakupendi kama mwanzo kakutana na anayempenda zaidi
2. mtu aseme ukweli wake mapema ili kila mmoja aendelee mbele ( na kila siku tunausiana ukweli humweka mtu huru)
Ni kwa nini tukiachwa tu naona ni mwisho wa dunia??
 
Bora aseme ukweli maana mazuri nilyopanga kumfanyia Allah anajua
 
Hivi kwa nini huwa kuna nyuzi za hivi...

Suck it up...nigga!
Ili watu wajue wakati wakati huyu analalamika kuachwa na aliyetoka nae chini kuna mwingine anacha alichokipandisha juu
 

Kashapata dume la mbegu huko chuoni, au lecturer anakula mzigo. Wee tulia amua kama utajirisk msubiri amalize chuo ila ujue unamegewa vya kutosha. Au delete, sepa anza maisha mapya
 
Wanawake wapo wengi sana duniani, na yumkini wengine hutakuja kutana nao kwa jinsi walivyo wengi...

Huyo mmoja tu asikuzuzue, kaamua kuondoka mwache aende zake
Ili watu wajue wakati wakati huyu analalamika kuachwa na aliyetoka nae chini kuna mwingine anacha alichokipandisha juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…