Do you know that you have wasted her time? yawezekana kapata wachumvba wengi tu wa maana kawamwaga kwa ajili yako kumbe wewe ushaoa. **************
Ni kweli kabisa usemayo na huwa hawajali maumivu ya watu wengine wao wanaona sawa tu,kuna jamaa mmoja namfahamu aliwahi kumtenda binti wa watu,kam-engage na wako kwenye maandalizi ya harusi kumbe jamaa ana mtu mwingine na wanafanya mapenzi bila mchumba wake kujua,kilichotokea baada ya yule msichana mwingine kujulikana kwamba ana mimba na wazazi wake walipopata tetesi kuwa aliempa mimba binti yao yuko kwenye maandalizi ya harusi wakamng'ang'ania ikabidi avunje kule aoe yule mjamzito,baada ya kuoana na kupata mtoto,yule jamaa mbona alikoma mke akaanza vituko ndani ya nyumba hakuna maelewano wala nini,hivi sasa wala hawaishi pamoja kila mtu kivyake.
My point is haya maumivu ambayo huwa hawa jamaa wanatuletea iko siku watayalipia,haijalishi kwamba itachukua muda gani hata kama ni miaka ming
api lakini ipo siku.
Hapo kwenye red carmel nimejaribisha kuweka maneno ili nipata dongo ulilomrushia yote yamegoma. Itabidi uni PM ili nami niongeze msamiati mpya! π
aaaaaaaaaaaah B mi mwenyewe nimeuliza ili nione mashiko jamaa naona ananipotezea mwishowe natumia emotion zaidi hapa....
laaziz.......
Hapo kwenye red maana yake nini? Au lugha ya JF ambayo mimi imenipita kushoto. Nimeona huo msamiati unatumika mara kwa mara hapa and I have failed to connect the dots!
Yes laaziz how have you been? Sijakuona siku nyingi!
Nilishadokeza sam-wea kuwa ktk kuwa playaz men huwa tunajidanganya kuwa we are the winners when actually we arethe loosers!π‘
laaziz.......
I reserve my comment, maana pressure imepanda...nadhani bht na Ama wamerepresent vilivyo.
Question - Have you also told the one you have married kwamba ulikuwa na mchumba? In reality you have deceived 2 women... Na usisingizia sijui eti ishu ya nchi tofauti.
Payback time...veeeeeeeeeeery soon...life is like that
ngoja....nikueleze kwa kidhungu au kispaniola???
mmh mapenzi ya mashaka hyo hamuonani??? ( afu barbie binamu yangu Kaizer anajua?
na ww pia ni laaaa?!!!!!!!!!
Dada wewe ni mgeni hapa JF? π Hujui kama nina laaziz humu?
mmmmh wantisha
Jamani ni kweli niko serious sijui maana yake!
Kaizer wa kwake haitwi Babra, unalijua jina lake. Haya mapenzi yetu we acha tu, waarabu wa Pemba tunajuana kwa vilemba! Yaani mpaka nataka kujiandikisha kwenye lile kundi la ''singles'' siku ya Valentines Day kule kwenye topic ya vivian!
hapa umechanganya habari nyingi kwa pamoja kama umeshaoa ina maana automatically atakuwa anafahamu kama hafahamu ina maana wewe unaficha kuwa una mke na utakuwa unakmosea sana mkeo.Habari zenu wana jamii!
Unamwambiaje mchumba wako wa zamani kuwa hutofunganae ndoa tena? kwasbb umeshaoa naombeni mchango wenu!
Babra laaziz hebu baelezee bandugu baelewe...............!!!
Yes laaziz how have you been? Sijakuona siku nyingi!
...Kama hujashare nae mapenzi wala hukumuahidi kuwa utamuoa hakuna ugumu wowote hapo..We endelea kula maisha na mai-wife wako tu...Hakuna cha kulipa wala nini...things do change na maisha lazima yaendelee...Ni mchumba ambae sijadate nae hata once ila alikuwa mchumba tu kwa kuwa namuona binti na nampenda, lakini sijashare nae mapenzi naomba nieleweke! zaidi ni sms na kupigiananae simu tu
Kumbeeeeeeeeeeee!!! Simple like that??????...Kama hujashare nae mapenzi wala hukumuahidi kuwa utamuoa hakuna ugumu wowote hapo..We endelea kula maisha na mai-wife wako tu...Hakuna cha kulipa wala nini...things do change na maisha lazima yaendelee...
kitu chenye mashiko/sababu yenye mashiko its the one which holds water, si unaelewa........ukishindwa ntasema kisukuma pia (kama wewe ni wa kunyumba)
mmh huyu Barbie najua hadi jina lake la kinyumbani na ndo huyo huyo wa binamu yangu K!!!