Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Habari!
Sasa ni awamu ya 6 kwa mujibu wa Rais mwenyewe na serikali yake. Rais Samia Suluhu nitakuunga mkono kama utaondoa dhuluma hii kwa vijana.
Kumnyima kijana asichukue fedha yake kwenye mfuko wa kijamii mara baada ya ajira yake kukoma ni dhulma isiyovumilika.
Hebu vuta picha kijana aliyeajiriwa kwenye mradi na mradi ukaisha baada ya miaka 4 anaambiwa asubiri umri wa kustaafu ndipo apewe chake.
Je, thamani ya fedha husika leo italingana na miaka ijayo?
Sometimes wengine hupewa nusususu. Mara 30%, mara % ngapi itamsaidiaje kuondokana na umaskini?
Vijana wanaogopa kuacha kazi kwa sheria hizi za kinyonyaji.
Kama hii ni njia bora ya kuboresha maisha ya Watanzania kwanini wabunge ambao wengi ni over 40 wasichukue marupurupu yao ya kustaafu watakapotimiza miaka 60?
Kama hili Ni gumu, kwanini msipitishe sheria itakayoruhusu wabunge walioshindwa kuingia bunge linalofuta tu ndio wachukue fedha zao?
Kama Rais hatasolve hili nitamwona hana upendo na uzalendo kwa vijana zaidi ya maigizo tu yakumjenga na kumuimarisha kisiasa.
Sasa ni awamu ya 6 kwa mujibu wa Rais mwenyewe na serikali yake. Rais Samia Suluhu nitakuunga mkono kama utaondoa dhuluma hii kwa vijana.
Kumnyima kijana asichukue fedha yake kwenye mfuko wa kijamii mara baada ya ajira yake kukoma ni dhulma isiyovumilika.
Hebu vuta picha kijana aliyeajiriwa kwenye mradi na mradi ukaisha baada ya miaka 4 anaambiwa asubiri umri wa kustaafu ndipo apewe chake.
Je, thamani ya fedha husika leo italingana na miaka ijayo?
Sometimes wengine hupewa nusususu. Mara 30%, mara % ngapi itamsaidiaje kuondokana na umaskini?
Vijana wanaogopa kuacha kazi kwa sheria hizi za kinyonyaji.
Kama hii ni njia bora ya kuboresha maisha ya Watanzania kwanini wabunge ambao wengi ni over 40 wasichukue marupurupu yao ya kustaafu watakapotimiza miaka 60?
Kama hili Ni gumu, kwanini msipitishe sheria itakayoruhusu wabunge walioshindwa kuingia bunge linalofuta tu ndio wachukue fedha zao?
Kama Rais hatasolve hili nitamwona hana upendo na uzalendo kwa vijana zaidi ya maigizo tu yakumjenga na kumuimarisha kisiasa.