Nitamwamini na kumuunga mkono Rais Samia atakapotatua suala la fao la kujitoa

Huyu jamaa ni bogaz kbs.
 
Naunga mkono hoja
 
Kuna tatizo mtu akidai stahiki zake, aijailishi nitadai mara ngapi hiyo hela ni yake anatakiwa kupewa ni yake.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mama ukimaliza huko tunakuomba utupie jicho NSSF, kuna vijana walimaliza mikataba yao huko na wakarudi mitaani. Ukienda kudai mafao yako angalao upambane mtaani unapewa mafao yako 33% then hiyo nyingine hawakupi. Ni utaisotea mpaka ukate tamaa. Hiyo 33% kwanza kuipata ni mtihani. Tunakuomba mama!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…