Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,233
- 8,022
KWANI HIYO KESHO MWANANCHI MWENZANGU ITAKUA MARA YA KWANZA YANGA WANAZOMEWA ? YANGA INAWAKILISHA NCHI ,TANZANIA NA WATANZANIA WANAJULIKANA MPAKA AKHERA KWAMBA UWANJANI SIMBA NA YANGA HATUPENDANI NDIO MAANA TIMU ZETU MPAKA TIMU YA TAIFA HAZIFANYI VIZURI. TUBADILIKE.
!
!
kufanya vibaya kunatokana na kuingiza siasa katika soka.......magufuli kwa lipi alilolifanya katika soka la tanzania mpaka kuwa mgeni rasmi....blalifaken
Kesho Yanga ya Tanzania inacheza na Gol Mahia ya Kenya katika ufunguzi wa kombe la Kagame.Kimsingi nilitakiwa kuwa upande wa Yanga kizalendo.Kwa kuwa TFF ya Malizi imeendelea kuleta siasa na kumualika mgombea urais wa CCM kuwa mgeni rasmi,nitaongoza zomea zomea dhidi ya Yanga
niliamini yanga ni ccm ila umenishawishi kwa point yako mremboYanga sio CCM, bali CCM ndio Yanga maana sisi tulianza na wao wakafuatia baada ya kufurahishwa na Club ya Taifa, chama kubwa Young Africans S.C
niliamini yanga ni ccm ila umenishawishi kwa point yako mrembo