Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,233
- 8,022
KWANI HIYO KESHO MWANANCHI MWENZANGU ITAKUA MARA YA KWANZA YANGA WANAZOMEWA ? YANGA INAWAKILISHA NCHI ,TANZANIA NA WATANZANIA WANAJULIKANA MPAKA AKHERA KWAMBA UWANJANI SIMBA NA YANGA HATUPENDANI NDIO MAANA TIMU ZETU MPAKA TIMU YA TAIFA HAZIFANYI VIZURI. TUBADILIKE.
!
!
kufanya vibaya kunatokana na kuingiza siasa katika soka.......magufuli kwa lipi alilolifanya katika soka la tanzania mpaka kuwa mgeni rasmi....blalifaken