nitapata???!!?

nitapata???!!?

gracious86

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2011
Posts
437
Reaction score
54
hellow jf memberz, wazima? Am just looking for a man who knows how to love! Any man pls?! Am 25...
 
Sio wewe kila siku unaongelea mume na mtoto kule kwa daktari wa JF?
 
hellow jf memberz, wazima? Am just looking for a man who knows how to love! Any man pls?! Am 25...

hellow everybody! Jamani hii ni mara yangu ya kwanza kuwa humu, so naombeni mnipokee,! Mimi ni msichana wa miaka 25,nimemaliza chuo kikuu mwaka jana. Tatizo nililonalo ni kwamba,nilipata boyfriend,ambaye tulipendana sana kufikia hatua ya mimi kubeba ujauzito nashkuru mungu nimejifungua salama mwez wa2, issue kubwa ni kwamba,jamaa kanisusia mtoto kisa,hajapenda jina nililompa mtoto! And so far, hatujaoana! Ila tulikua na plans hizo. Mimi nipo kwe2 dar na yeye anaishi nje ya mkoa akiendelea na mambo yake. Bynow,hatak mawasiliano yoyote na mimi,haulizi hata mtoto wake anaendeleaje! Amekua akintolea maneno ya kashfa and all that stuffs!jamani,au mimi ndiye mkosaji? And its nt that i ddnt tel him b4,nilimwambia! Lkn ni kigeugeu sana! Jamani nifanyeje?should i leave hm alone and live my own life?trully ameniharibu psychologically! Sidhani kama ntakuja kupenda tena maishani! Plz help me...

Ungeongeza na hii ungeeleweka kabisa...........................
 
Sidhani kama ntakuja kupenda tena maishani! Plz help me...

Mwezi wa 2 kujifungua huu mwezi wa 4...............
je umefikia wapi na baba wa mtoto?
hapo kwenye red inakuwaje?
 
Sidhani kama ntakuja kupenda tena maishani! Plz help me...

Mwezi wa 2 kujifungua huu mwezi wa 4...............
je umefikia wapi na baba wa mtoto?
hapo kwenye red inakuwaje?
Hayo huwa ni maneno tu hata kwenye khanga yapo
 
Mtoto wa miezi mitatu muda wa kuanzisha na kujenga mahusiano unao?Nwyy kila la kheri!

Lizzy umeona habari
labda ndio sababu jamaa amekula raba
ni muda mfupi sana kujipanga na kuanza mawasiliano
na mtu mwingine hujapata muda wa kuweza kutambua labda
wewe ndio mwenye makosa ujirekebishe vipi
unaweza pata mwingine akakukimbia next month ukaja
hapa tena kutaka ushauri. please jipange upya bado mapema
hujachelewa kuwa na muda wa kumlea mtoto kwanza
mambo mengine yatakuja baadae ni ushauri wangu.
 
TF umenichekesha kweli
ndani ya miezi miwili umeshau
Huwa tunasahau sawa lakini hii ndani ya miezi miwili tu halafu mtu una mtoto wa miezi mitatu ambaye inapaswa uwekeze akili na nguvu zako kumlea halafu leo mtu unaanza mchakato wa kupata mtu hata Katiba yenyewe mchakato wake unapelekwa spidi lakini si kama ya huyu.
 
Huwa tunasahau sawa lakini hii ndani ya miezi miwili tu halafu mtu una mtoto wa miezi mitatu ambaye inapaswa uwekeze akili na nguvu zako kumlea halafu leo mtu unaanza mchakato wa kupata mtu hata Katiba yenyewe mchakato wake unapelekwa spidi lakini si kama ya huyu.

anahitaji kuliwazwa lakini jama,na huwezi jua mda wa ujauzito labda alikua hapati mambo flani so ni mda mrefu sana
 
Back
Top Bottom