jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,888
- 6,459
Namim nitaitafutaKuna shower gel yao moja ni matata Sana bafuni kunanukia tu full time
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namim nitaitafutaKuna shower gel yao moja ni matata Sana bafuni kunanukia tu full time
Picha tafadhaliInaitwa Soothing care
Niko mkoan nakosa uhakika wa mtu wa kumuagiza kwan sizijui bei , weken apa picha na bei na duka/siupermarket tupate pa kuanzia na sie kuwatuma hao watakaotuwakilisha hukoPicha tafadhali
Ziko S.H amon za kutosha na bei zake n hizi
Hiyo sabuni unatumia wapi tena?
Aende S.H Amon zipo kama zote ndio nilikojizolea zangu unyama sana hizi misheKuna duka lipo kariakoo la vipodozi nikibahatika kwenda nitawaomba namba ili uwe unawasiliana nao moja kwa moja.Sema leo kumeamka na mvua ila nikijaliwa uzima kesho nitakuunganisha nao wapo vizur sana.
S.H Amoni ndio wapi kaka, nielekezeAende S.H Amon zipo kama zote ndio nilikojizolea zangu unyama sana hizi mishe
Upo Mkoa au Dar? S. H Amon ana maduka maeneo mengi kuanzia Mliman City, Tabata, Njia ya Sinza Makaburini ukitokea Magufuli Hostel.. etcS.H Amoni ndio wapi kaka, nielekeze
Ni Dar mkuu, ana maduka pia Posta au Karikoo ? Muda mwingi nakuwa busy sana kama kuna ana maduka Posta au kariakoo itakuwa rahisi kwangu kwenda.Upo Mkoa au Dar? S. H Amon ana maduka maeneo mengi kuanzia Mliman City, Tabata, Njia ya Sinza Makaburini ukitokea Magufuli Hostel.. etc
0737955400 hio hapo sevu na nahisi mjini Kati delivery wanafanyaNi Dar mkuu, ana maduka pia Posta au Karikoo ? Muda mwingi nakuwa busy sana kama kuna ana maduka Posta au kariakoo itakuwa rahisi kwangu kwenda.
Ahsante sana mkuu0737955400 hio hapo sevu na nahisi mjini Kati delivery wanafanya
Wapo posta na kkoo pia.Ni Dar mkuu, ana maduka pia Posta au Karikoo ? Muda mwingi nakuwa busy sana kama kuna ana maduka Posta au kariakoo itakuwa rahisi kwangu kwenda.
Ahsante, nilifanikiwa kupata.. Dove wako mbali sana vitu vyao ni unique sanaWapo posta na kkoo pia.
Unamaanisha nini kua wako mbali kakaAhsante, nilifanikiwa kupata.. Dove wako mbali sana vitu vyao ni unique sana