Nitapinga Israel kuwekewa vikwazo na UN hapo baadae.

Nitapinga Israel kuwekewa vikwazo na UN hapo baadae.

Hapa bongo hasa walokole hauwaambii kitu hawa kuhusu hawa jamaa hati ukiwaambia watoe Tigo wako tiari ili mredi anayepewa ni misreli na wanaamini wwtabarikiwa pia
Hahaha hilo ndio tatizo lao, kutanguliza dini hata pale ambapo hapahusiani kabisa na maswala ya dini 😂😂😂
 
Msikie Myahudi hapo anavyo wafundisheni anasema; Judaism do not believe that Jesus of Nazareth was the Messiah nor do they believe he was the Son of God. Kwa hio Yesu si Mungu na pia anawambia sio Messiah si bora hata Waislam wanamkubali Yesu ni Massiah.


View: https://youtu.be/Ey3-Eo9ZfLs?si=lkn0HhMx6dobXgNy

Yani nyie wakristo hamna thamani kabisa kwa Wayahudi bora hata Waislam wanathamani kwa Wayahudi unapo kuja kwenye swali la imani.

Huyo mfia dini akikujibu nishtue 😂😂
 
Back
Top Bottom