Nitapinga Israel kuwekewa vikwazo na UN hapo baadae.

Hapa bongo hasa walokole hauwaambii kitu hawa kuhusu hawa jamaa hati ukiwaambia watoe Tigo wako tiari ili mredi anayepewa ni misreli na wanaamini wwtabarikiwa pia
Hahaha hilo ndio tatizo lao, kutanguliza dini hata pale ambapo hapahusiani kabisa na maswala ya dini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huyo mfia dini akikujibu nishtue πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…