GP
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 2,049
- 161
na unapoinama uangalie kwanza nyuma, sio unajiinamia ovyo ovyo, Ohoooo u noo wat ai miiiin?sisitaaa unadhani ni rahisi kiivyo ..[/QUOTE
Mtaka cha uvunguni,sharti ainame.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na unapoinama uangalie kwanza nyuma, sio unajiinamia ovyo ovyo, Ohoooo u noo wat ai miiiin?sisitaaa unadhani ni rahisi kiivyo ..[/QUOTE
Mtaka cha uvunguni,sharti ainame.....
Mkuu nashukuru, nimerudi ndani ya jahazi Mpwa wangu.vipi sipo pole sana na msiba nakuona umerudi kwa kasi.
Shem bana unanifurahisha,hebu fikiria kule uvunguni kuna gunia la dhahabu,halafu kwa nyuma kuna watu,kwa kweli sitawajali,mimi nitakosentreti kwenye dhahabu,kwa sababu najua nikizipata nitawagawia na heshima itarudi palepale.na unapoinama uangalie kwanza nyuma, sio unajiinamia ovyo ovyo, Ohoooo u noo wat ai miiiin?
Shemeji ebu acha masihara bwana!!Shem bana unanifurahisha,hebu fikiria kule uvunguni kuna gunia la dhahabu,halafu kwa nyuma kuna watu,kwa kweli sitawajali,mimi nitakosentreti kwenye dhahabu,kwa sababu najua nikizipata nitawagawia na heshima itarudi palepale.
Yaani watu wakae nyuma na mitarimbo yao halafu uwe comfortable kwa sababu ya money money!!
Back to point, kuna dawa moja ya Kimaasai nimeisaahau jina,, ebu jaribu kuwacheki Wamaasai mtaani kwako. ONYO wawe Wamasai wa kweli wasije wakauingiza mkenge
Mtarimbo kitu gani shemeji,mimi ni mjasiriamali.Na-take RISKS, kwa hiyo hata kama kuna shotgan siogopi.Shemeji ebu acha masihara bwana!!
Yaani watu wakae nyuma na mitarimbo yao halafu uwe comfortable kwa sababu ya money money!!
Back to point, kuna dawa moja ya Kimaasai nimeisaahau jina,, ebu jaribu kuwacheki Wamaasai mtaani kwako. ONYO wawe Wamasai wa kweli wasije wakauingiza mkenge
kwenye point,mie naona ungemsaidia kuwapata hao wamasai,nahis una uzoefu wa kuwpata wamasai original.
HakyaMama huu ujasiriamali wako kiboko shemeji. Mwe! Manake pesa imezua jamboMtarimbo kitu gani shemeji,mimi ni mjasiriamali.Na-take RISKS, kwa hiyo hata kama kuna shotgan siogopi.
kwenye point,mie naona ungemsaidia kuwapata hao wamasai,nahis una uzoefu wa kuwpata wamasai original.
Mie nitampa direction mtoa mada awapate pure Maasai
Dah!!
eeeeenhh, Ok well noted!.Shem bana unanifurahisha,hebu fikiria kule uvunguni kuna gunia la dhahabu,halafu kwa nyuma kuna watu,kwa kweli sitawajali,mimi nitakosentreti kwenye dhahabu,kwa sababu najua nikizipata nitawagawia na heshima itarudi palepale.
Na mie naomba hizo dawa. Wanasema ati NO PAIN NO GAIN,mie nataka kufanya vircecersa yake,Nitatumia zikibaki nafungua famasiHakyaMama huu ujasiriamali wako kiboko shemeji. Mwe! Manake pesa imezua jambo
Mie nitampa direction mtoa mada awapate pure Maasai
Dah!!
hahahaaaaaaa binamu shemeji umeniacha hoi sana!.Mtarimbo kitu gani shemeji,mimi ni mjasiriamali.Na-take RISKS, kwa hiyo hata kama kuna shotgan siogopi.
kwenye point,mie naona ungemsaidia kuwapata hao wamasai,nahis una uzoefu wa kuwpata wamasai original.
all in all jamani madawa hayaaminiki, na kuna watu wanapesa mingi sana wanatamani kuwa wembamba wameshakula madawa hadi wamedata, njia rahisi ni MAZOEZI tu.
na wasiwasi na mtoa mada anaposema kwamba mguu mbovu!, huyu tayari ameshajua dawa ni kukimbia/kufanya mazoezi ila ni MVIVU tu anataka njia mbadala, CHEAP IS EXPENSIVE jamani.
Ukipona its my pleasureNa mie naomba hizo dawa. Wanasema ati NO PAIN NO GAIN,mie nataka kufanya vircecersa yake,Nitatumia zikibaki nafungua famasi
bold== si ndio ujasiriamali wenyewe huo--fungua tu shemejiiii, hakuna tatizo akili kumkichwa
I concur with you Mpwahahahaaaaaaa binamu shemeji umeniacha hoi sana!.
all in all jamani madawa hayaaminiki, na kuna watu wanapesa mingi sana wanatamani kuwa wembamba wameshakula madawa hadi wamedata, njia rahisi ni MAZOEZI tu.
na wasiwasi na mtoa mada anaposema kwamba mguu mbovu!, huyu tayari ameshajua dawa ni kukimbia/kufanya mazoezi ila ni MVIVU tu anataka njia mbadala, CHEAP IS EXPENSIVE jamani.
Vipi jamaa anaweza kutumia yale mazoezi ya bedroom kupunguza uzito?
hahahaaaaaaa binamu shemeji umeniacha hoi sana!.
all in all jamani madawa hayaaminiki, na kuna watu wanapesa mingi sana wanatamani kuwa wembamba wameshakula madawa hadi wamedata, njia rahisi ni MAZOEZI tu.
na wasiwasi na mtoa mada anaposema kwamba mguu mbovu!,
huyu tayari ameshajua dawa ni kukimbia/kufanya mazoezi ila ni MVIVU tu anataka njia mbadala, CHEAP IS EXPENSIVE jamani.
hazina side effects unless ukutane na zile feki za Wamasai wa Kariakoo waliozaliwa Bunju na kukulia Tabata. Otherwise i recommend Maasai medicines as the bestShem,kula senkis kwanza.Yani umegonga ikulu kabisa.Narudia tena NO PAIN NO GAIN.Hata mafisadi au waua albino huwa wanatumia nguvu nyingi sana mpka kufanikiwa.Labda Sipo atuhakikishie kama hiz dawa za kima mama/baba YOYOOO hazina side ifekt.
Aka mie sijasema hivyo shem, you know am apolitical sijui hata wabunge ndia akina naniLabda mtoa mada ni mbunge wa huko kusini.
hahahaaaaaaaaa, wewe binamu shemeji una vijaimambo!!.Labda mtoa mada ni mbunge wa huko kusini.