Nitapunguzaje uzito?

Nitapunguzaje uzito?

1. angalia sana chakula unachokula - kiwe mchemsho - bila kuweka mafuta hata chembe
2. acha kula kuku wa kisasa na mayai yake - kula wa kienyeji tu -
3. acha kutumia bluebank/butter etc.
4. kula toasted bread au brown bread tu
5. kula matunda na mboga za majani kwa wingi kuliko vyakula vya starch e.g wali, ugali mweupe, chapati, tambi etc.
6. mafuta ya kupikia tumia "olive oil" tu - ni expensive ila ndiyo yanafaa
7. usile sukari kabisa
8. usinywe soda aina yoyote - labda soda waters tu
9. tumia juice (fresh isiyoongezwa sukari)
10. kunywa maji ya kutosha
After two weeks - utapendeza, ngozi laini, mafuta yameyeyuka yote.

All the best
......
11.Acha kunywa bia au alcohol yoyote.
 
kula konyagi,bange,vuta sana sigara,jinyime kula baaasi
 
hahahaaaaaaa binamu shemeji umeniacha hoi sana!.
all in all jamani madawa hayaaminiki, na kuna watu wanapesa mingi sana wanatamani kuwa wembamba wameshakula madawa hadi wamedata, njia rahisi ni MAZOEZI tu.
na wasiwasi na mtoa mada anaposema kwamba mguu mbovu!, huyu tayari ameshajua dawa ni kukimbia/kufanya mazoezi ila ni MVIVU tu anataka njia mbadala, CHEAP IS EXPENSIVE jamani.
Hapana wala mimi si mvivu na kabla sijaumia nilikuwa nakimbia kila asubuhi. Ila baada ya kuvunjika tu nikaanza kuongezeka uzito. Tangu nivunjike L-ankle nimeshindwa kabisa kukimbia. labda kama walivyoshauri wakuu wengine, nitajaribu kurekebisha makulaji. Bia situmii ila konyagi ndo inapanda. Nashukuru kwa ushauri.
 
pole sana mdau na ni rahisi sana kupunguza uzito kama kweli una nia ya kupunguza uzito.ingekuwa vizuri sana kama ungeandika jinsi unavyukula kwa siku na haina ya chakula unachukula sema kama hutopendelea hivyo nitakupa kaprogram kadogo hapa katakusaidia sana kwa sasa kama utafuatilia vizuri bila kufanya mazoezi japokuwa mazoezi yanasaidia zaidi kupungua kwa haraka.


asubuhi ukiamka tu kunywa vikombe vya maji ya kawaida viwili.alafu pata breakfast yako baadae kama nusu saa au dakika 45 baada ya kunywa maji.
nakupa mpangilio wa kula kwa siku kama utawezakufuatilia nakuakikishia utaona mabadirko.

breakfast nusu kikombe cereal (fiber one brand ni nzuri zaidi) na kikombe kimoja cha maziwa (1% maziwa ni bora zaidi kwa vile yana mafuta kidogo).baada masaa matatu kula tunda moja.


lunch inakuja masaa matatu baada ya kula tunda lile.wakati wa lunch kula kiwango kidogo (nusu kikombe mboga za majani aina mbili tofauti.nusu kikombe kwa kila aina ya mboga ya majani uakayo chagua na kipande cha nyama sio kikubwa sana kuku au samaki achana na ngo'ombe,mbuzi.)usitumie chumvi labda kidogo sana kama huwezi na baada nusu saa unaweza kunywa maji,usinwye maji wakati unakula labda kidogo sana kama utahitaji.


masaa matatu baada kula lunch tengeneza salad ndogo tu ya majani au matunda.


masaa matatu baada ya kula salad unapata dinner (kipande cha kiazi kitamu,mboga ya majani kikombe kimoja na kipande cha nyama kuku au samaki.


hapo utakuwa umemaliza siku yako na nakuakikishia kama utafatisha utapunguza uzito sana na ongeza vikombe vitano vya green tea kwa siku unaweza kuvipangilia utakovyo weza mwenye kama vitatu asubuhi viwili jioni powa tu hio.bila kusahau kunywa maji baada nusu saa ya kila mlo.

achana na mambo ua upasuaji sio nzuri kwa afya na pia vidonge sio vizuri kwa afya.kila la kheri mdau na mguu ukipona usuisahau kufanya mazoezi atleast nusu saa kwa siku kama huto weza lisaa limoja kukimbia au unaweza kutembea.nunua vidonge vya multivitamin (centrum brand sio mbaya unakunywa kimoja tu kwa siku) na ni vizuri unkianza kupata breakfast saa moja asubuhi hili mpaka saa kumi na mbili jioni ushamaliza mlo wako wote wa siku.mwanzo ni mgumu sema utazoea tu.
 
wala usijinyime kula mimi mama yangu ameweza kupunguza uzito kwa kutumia vyakula naomba unipe contact zako na utashangaa yatakayotokea!!
 
Wakuu,

Naomba nisaidiwe. Mimi kimaumbile ni mnene na mzito. Siwezi kufanya mazoezi kwa sababu bado naugulia maumivu yaliyotokana na kuvunjika mguu. Siwezi kabisa kukimbia. Nitumie njia gani ili niweze kupungua uzito na unene huu?
Kama kuna anayefahamu siri ya kupungua kwa uzito kwa mwanamitindo Mustafa Hassanali tafadhali aniambie.

Natanguliza shukrani zangu kwa wale watakaokuwa serious kunisaidia.
- kunywa maji ya moto (sio sana ya kawaida) Nusu lita au lita moja kila siku asubuhi kabla hujaswaka.

-usiwe unapenda kula hovyo hovyo I mean kila mara. au kila uonacho mdomo wataka.

- pendelea kula matunda totautiti kwa wingi kama unaweza tena kabla ya kula chakula (mlo mkuu)

- ifuate ratiba yako ya kula chakula vizuri kama chai ni saa mbili, ugali saa saba, chakula cha usiku saa moja au mbili inakuwa bien.

- usipende kula milo ya usiku usiku saana kama saa nne, tano ... inasababisha chakula kisisagwe vizuri tumboni ukiwa umelala.

-Kila umalizapo kuwa angalau saa moja baada ya mlo kunywa maji ukipata maji ya moto ni mazuri yanasaidia kuyeyusha mafuta.


- punguza sukari, chocolate, nyama nyekundu, pombe, na mafuta mengi. pendelea matunda, mboga za majani, jamii ya mikunde, kabeji, samaki, na vifananavyo na hivyo itasaidiwa.

- pia relax, kuwa na imani na kuomba Mungu.
 
punguza kula, kama huwezi kufanya mazoezi kaa sehem za joto utoke jasho (usisahau kuoga baada ya jasho), kunywa maji mengi asubuhi baada kupiga mswaki, kula tembe moja ya kitunguu saumu kila siku (tembe moja tu sio kitunguu kizima), kama una cheo serikalini jiuzulu, acha tabia ya kulala lala sana na kucheka cheka bila sababu.
pia kuna njia nyengine ya mkato lakini hii sikushauri, ukiowa mwanamke kicheche, ndani ya wiki mbili utakuwa mwembamba kama simu ya motorola L6 (saidi ifekti ni marazi ya moyo lakini rezalti garantii)


hiyo kiboko
 
punguza kula, kama huwezi kufanya mazoezi kaa sehem za joto utoke jasho (usisahau kuoga baada ya jasho), kunywa maji mengi asubuhi baada kupiga mswaki, kula tembe moja ya kitunguu saumu kila siku (tembe moja tu sio kitunguu kizima), kama una cheo serikalini jiuzulu, acha tabia ya kulala lala sana na kucheka cheka bila sababu.
pia kuna njia nyengine ya mkato lakini hii sikushauri, ukiowa mwanamke kicheche, ndani ya wiki mbili utakuwa mwembamba kama simu ya motorola L6 (saidi ifekti ni marazi ya moyo lakini rezalti garantii)


hiyo kiboko mkulu
 
Cut the carbs too, if possible have them once in a while.
 
.Pamoja na kupunguza kiwango cha chakula unachokula,jaribu kufanya hivi:

1. Ukiamka asubuhi kabla hujasafisha kinywa (kupiga mswaki) kunywa maji ya uvuguvugu angalau lita moja.
2. Kifungua kinywa chako tafuta green tea (zinapatikana sana kwenye super markets)unywe na kipande cha mkate kisichokuwa na siagi.
3. Lunch mchana jitahidi upate angalau ndizi moja ya kuchemsha na mboga nyingi za majani
4. Chakula cha usiku (dinner) jaribu kuwa na matunda mengi na pia epuka sana vyakula vya wanga, mafuta na kwa kuwa unadai kwa sasa una maumivu ya mguu ukipona jitahidi asubuhi na jioni uwe unafanya mazoezi ya kutembea angalau 2km.

Haya yote yanahitaji kuwa serious na uvumilivu kwani kwa kuwa mwili wako ni mnene its obviuos unahitaji chakula kingi na wewe uko katika mkakati wa kupunguza uzito na mwili lazima uvumilie. Sikushauri kutumia vidonge au kwenda kufanyiwa operation kama Mustafa Hassanali itakusababishia udhaifu..Good luck!!
 
USILE CHAKULA.
KAMA wale watu wa Ethiopia na Somalia wangekuwa wanakula wasingekonda vile.

The only way kupunguwa USILE KUNYWA MAJI TU MPAKA UPUNGUWE

Kazi kwako.
 
USILE CHAKULA.
KAMA wale watu wa Ethiopia na Somalia wangekuwa wanakula wasingekonda vile.

The only way kupunguwa USILE KUNYWA MAJI TU MPAKA UPUNGUWE

Kazi kwako.

Jamani kwa mtu mnene kabisa si rahisi kuacha kula ghafla, cha msingi punguza kiasi, unaweza kuanza kula NUSU ya kiasi unachokula sasa, taratibu kisha unaanza kula kidogo kidogo hadi utumbo unazoea. Zingatia aina ya vyakula ulivyoshauriwa, mboga-mboga na matunda kwa wingi, punguza au acha vyakula vya mafuta, sukari na wanga.
 
Tatizo liko wapi? kama umenenepa na unataka kupungua haraka , fanya ile wanaita Everi Wait Chik's triks -
Kila unapopata mlo, haraka nenda bafuni, chukua mswaki , ugeuze kwa nyuma
halafu uingize kooni na kugusa kimeo , utatapia chakula chote huku ukijisikia kama
umeshiba ,
kumbe tumboni hakuna kitu , hapo utakosa chakula huku husikii njaa halfu utapungua
with in a week.

Nyingine jaribu kushindia kula chungwa moja na biskuti , huku ukiweka picha ya
then fat Mustafa Khassanali or then fat Star Jones ,kwenye firji yako ikikukumbusha
kua uta look like them usipo jishindisha na njaa.


Pia una weza tumia njia ya wa mama zetu walio ifanya enzi za miaka ya 60's and 70's
ili watoshe kwenye vigauni vyao nayo ni kunywa dawa ya kuharisha , utaharisha
utashanga umepungua ghafla .

Kumbuka Bulimia and Annorexia rocks so join the club of the seksies skinny pipo !


Just kidding bwana
Sikia punguza uvivu , tembea tembea huku ukibadilisha mlo jaribu kua vegeterian , kama ukishindwa , kula ballanced diet meal tena iwe milo minne kwa siku , hukua ukiaza na na wingi kwa isku ina vyo anza na huku ukipinguza punguza mbaka jioni
Kunywa maji mengi na pia acha kupakia msosi wakati huna njaa, maan ina wezekana ndio getaway yako labda uko na stress so chakula ndio ur very best friend anaye ku comfort.
Jaribu pia kubeba chuma vya usito mdogo mikononi ita saidia ku choma mafuta na uondoe vyakula vya mafuta.
 
Kama una ka uwezo na huna vidonda vya tumbo tumia dozi hii hapa. kila asubuhi pata juice ya carrot + green pepper + tango + spinach = 1glass. Then juice ya malimao katika mtiririko ufuatao. Siku ya kwanza 8, siku ya pili 16, siku ya tatu 24, siku ya nne 32, siku ya tano 40, siku ya sita 40, siku ya saba 32, siku ya nane 24, siku ya tisa 16 na siku ya kumi 8. baada ya siku kumi utupe matokeo. Mimi nimetumia siku ya kwanza nilikuwa na kilo100 siku ya kumi nikawa na kilo70. be blessed.
 
Back
Top Bottom