Nitashangaa mno kama Mdude Nyangali atafika wikiedi hii bado hajaangukia mikononi mwa Polisi

Nitashangaa mno kama Mdude Nyangali atafika wikiedi hii bado hajaangukia mikononi mwa Polisi

Desprospero

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
1,015
Reaction score
2,493
Salaam wanaJF.

Kauli ya Kada wa Chadema, Mdude Nyangali kuwa Rais Samia Suluhu Hassan anatafuta roho yake ni kauli nzito mno isiyotakiwa kupuuzwa hata kidogo na vyombo vya ulinzi na usalama.

Mdude amesema straight bila kumung'unya maneno kwamba Samia anataka atekwe, ateswe, auawe na kutupwa kama ilivyokuwa kwa Mzee Ally Kibao huko Ununio jijini Dar es salaam.

Kwamba Mdude ameuambia dunia kwamba Rais Samia Suluhu Hassan anaua raia wake. Inafikirisha sana. Ni vizuri Jeshi la Polisi limkamate Mdude na kumfikisha kortini athibitishie dunia ile ile kwamba Rais Samia Suluhu Hassan ni muuaji. Tuhuma hii ni nzito mno.

Ikumbukwe kwamba endapo kutakuwepo na ukweli katika tuhuma hii basi Samia anaweza kufikishwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ICC ya nchini Uholanzi kujibu mashtaka ya kuua raia wake aliyoapa kuwalinda.

Polisi kazi kwenu. Simamieni sheria. Hii haiwezi kuwa kesi ya kubumba. Ameandika barua ya wazi kwa umma. Kila mtu amesoma dunia nzima.
 
Sativa ameandika bado anatishiwa maisha, kwako sio jambo zito. Mohammed Kibao ameuwawa kwako sio jambo zito.

Leo mtu anaweka tahadhari kuhusu maisha yake na anataja anayemuwinda ndio unaona jambo zito anatakiwa akamatwe? Au hadi yamkute ya Mohammed Kibao ili uje utoe salamu za rambirambi?
 
Kwenye vyombo vya sheria ndiyo sehemu muafaka kwa wahalifu wote na si kutekwa au kuuliwa hata Mungu hapendi kwa kweli. Kama unasali na unapenda watu kutekwa au kuawa Mungu anakuona na atakupatia hukumu unayostahili.
 
Salaam wanaJF.

Kauli ya Kada wa Chadema, Mdude Nyangali kuwa Rais Samia Suluhu Hassan anatafuta roho yake ni kauli nzito mno isiyotakiwa kupuuzwa hata kidogo na vyombo vya ulinzi na usalama.

Mdude amesema straight bila kumung'unya maneno kwamba Samia anataka atekwe, ateswe, auawe na kutupwa kama ilivyokuwa kwa Mzee Ally Kibao huko Ununio jijini Dar es salaam.

Kwamba Mdude ameuambia dunia kwamba Rais Samia Suluhu Hassan anaua raia wake. Inafikirisha sana. Ni vizuri Jeshi la Polisi limkamate Mdude na kumfikisha kortini athibitishie dunia ile ile kwamba Rais Samia Suluhu Hassan ni muuaji. Tuhuma hii ni nzito mno.

Ikumbukwe kwamba endapo kutakuwepo na ukweli katika tuhuma hii basi Samia anaweza kufikishwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ICC ya nchini Uholanzi kujibu mashtaka ya kuua raia wake aliyoapa kuwalinda.

Polisi kazi kwenu. Simamieni sheria. Hii haiwezi kuwa kesi ya kubumba. Ameandika barua ya wazi kwa umma. Kila mtu amesoma dunia nzima.
weka maandishi hayo au clip
 
Salaam wanaJF.

Kauli ya Kada wa Chadema, Mdude Nyangali kuwa Rais Samia Suluhu Hassan anatafuta roho yake ni kauli nzito mno isiyotakiwa kupuuzwa hata kidogo na vyombo vya ulinzi na usalama.

Mdude amesema straight bila kumung'unya maneno kwamba Samia anataka atekwe, ateswe, auawe na kutupwa kama ilivyokuwa kwa Mzee Ally Kibao huko Ununio jijini Dar es salaam.

Kwamba Mdude ameuambia dunia kwamba Rais Samia Suluhu Hassan anaua raia wake. Inafikirisha sana. Ni vizuri Jeshi la Polisi limkamate Mdude na kumfikisha kortini athibitishie dunia ile ile kwamba Rais Samia Suluhu Hassan ni muuaji. Tuhuma hii ni nzito mno.

Ikumbukwe kwamba endapo kutakuwepo na ukweli katika tuhuma hii basi Samia anaweza kufikishwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ICC ya nchini Uholanzi kujibu mashtaka ya kuua raia wake aliyoapa kuwalinda.

Polisi kazi kwenu. Simamieni sheria. Hii haiwezi kuwa kesi ya kubumba. Ameandika barua ya wazi kwa umma. Kila mtu amesoma dunia nzima.
Utakufa kama jiwe usiku ukiwa umelala usingizi. Mungu atakulipa hayo unayomtakia Mdude
 
Salaam wanaJF.

Kauli ya Kada wa Chadema, Mdude Nyangali kuwa Rais Samia Suluhu Hassan anatafuta roho yake ni kauli nzito mno isiyotakiwa kupuuzwa hata kidogo na vyombo vya ulinzi na usalama.

Mdude amesema straight bila kumung'unya maneno kwamba Samia anataka atekwe, ateswe, auawe na kutupwa kama ilivyokuwa kwa Mzee Ally Kibao huko Ununio jijini Dar es salaam.

Kwamba Mdude ameuambia dunia kwamba Rais Samia Suluhu Hassan anaua raia wake. Inafikirisha sana. Ni vizuri Jeshi la Polisi limkamate Mdude na kumfikisha kortini athibitishie dunia ile ile kwamba Rais Samia Suluhu Hassan ni muuaji. Tuhuma hii ni nzito mno.

Ikumbukwe kwamba endapo kutakuwepo na ukweli katika tuhuma hii basi Samia anaweza kufikishwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ICC ya nchini Uholanzi kujibu mashtaka ya kuua raia wake aliyoapa kuwalinda.

Polisi kazi kwenu. Simamieni sheria. Hii haiwezi kuwa kesi ya kubumba. Ameandika barua ya wazi kwa umma. Kila mtu amesoma dunia nzima.
Wewe ni msemaji wa rais?
 
Tusimchukulie rais kama vile mtu anayefanya mambo bila kufikiria ,wewe unamlazimisha amkamate Mdude
 
Ivi mfano Mungu angeumba watu au watanzania wote tuwe mazuzu kama wale waliokuwa wanapigwa hela na kiboko ya wachawi, Nchi ingekuwaje?!


Sometimes hawa majasiri ndio wanaifanya dunia iende nadhani+ japo cha moto huwa wanakiona
 
Polisi kazi kwenu. Simamieni sheria. Hii haiwezi kuwa kesi ya kubumba. Ameandika barua ya wazi kwa umma. Kila mtu amesoma dunia nzima.
Lakini bado sijaona mahali popote ukishauri vyombo hivyo vya usalama vihakikishe usalama wake unalindwa; au hili kwako siyo jambo muhimu?
 
Mimi siwakubali watu wa chama flani, ila hili la kuwateka, kuwatesa, kuwapiga na kuwakamata ni la kifala. This is definitely uncouthed and barbaric way of dealing with our people. Kuna akili ndogo awamu hii.
 
Back
Top Bottom