johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Upumbavu siyo tusi!Lakini Haji kamtuhumu Zahera, na Zahera kasema kweli yuko nao As Vita na siyo kosa lakini Zahera kamtukana Haji kwamba ni Mpumbavu sasa Kama wewe ungekuwa hakimu kesi imekuja kwako usuluhishe au uhukumu unaanza na nani hapo?? Na pia nani anatugawa wana mpira Zahera au Haji,??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo na mm nikikwambia kiutani tu kwamba umenijibu "upumbavu "si fresh??Upumbavu siyo tusi!
Wewe ndiyo bure kabisa, eti TFF wamchukulie Haji hatua, hivi wewe kwa akili yako unawaza kwa kutumia nini, unapenda ubabe sana watu wa type yako mkipewa madaraka huwa mnawashwa kuwaperekesha watu sana, tafsiri ya haji ni hii simple tu maana akili yako bili kulainishiwa hutaelewa, mechi hii muhimu tunataka simba watutoe kimasomaso kitaifa sasa basi mtu asiiingilie kutuvuruga au kutafuta mashabiki wa yanga kuwaleta uwanjni kuzomea ni ujuha wa hali ya juu hatutamvumilia mtu wa hivi, keaho ukaaji ni kuanzia kule upande wa kusini watu tunakaa hatuachi gap yani kwa ufupi Tanzania itahamia uwanja wa taifa... Sasa mwenye kimdomo kama chako tusikuone uwanjani hatutaki vurugu kaa kushotoManara amepost maneno na kumuonya Zahera eti ameonekana na timu ya AS Vita Club swali 1.Zahera amevunja sheria ipi ya mpira 2.Mamlaka yapi yanampa Manara kutoa kauli hizo 3. Anawahadaa na kuwaandaa mashabiki WA Simba kuwa wakifungwa tatizo ni Zahera
Kwa kauli hizi zinaweza kuleta ghasia kwenye soka na kuhatarisha maisha ya makocha wa kigeni
Umalapa ni maradhi hatari kuliko mtindio wa ubongo.Manara amepost maneno na kumuonya Zahera eti ameonekana na timu ya AS Vita Club swali 1.Zahera amevunja sheria ipi ya mpira 2.Mamlaka yapi yanampa Manara kutoa kauli hizo 3. Anawahadaa na kuwaandaa mashabiki WA Simba kuwa wakifungwa tatizo ni Zahera
Kwa kauli hizi zinaweza kuleta ghasia kwenye soka na kuhatarisha maisha ya makocha wa kigeni
Vita sasa hivi wanajipaka Mundende kwenye madushe yao ili ifikapo saa1 kamili mpaka tatu kasoro waanze shughuli ya kuwakojolesha mpaka mmwage maji kama Wahaya.Hizi ni hasira za kutiwa na Kagere bao la kimgongo-mgongo
Anaelelamika ni Mikia au Yanga?Yanga kama wabinti.. kutwa lawama tu
chezeni soka
Soma post af urudi.
Manara alianza kumkashifu Zahera toka alipo anza kazi yanga....na sio zahera tu ilifika kipindi mpaka jina la zahera akaligeuza likawa la kike.....na fikra kabisa zahera amekasilika kwa kauli za manara....Lakini Haji kamtuhumu Zahera, na Zahera kasema kweli yuko nao As Vita na siyo kosa lakini Zahera kamtukana Haji kwamba ni Mpumbavu sasa Kama wewe ungekuwa hakimu kesi imekuja kwako usuluhishe au uhukumu unaanza na nani hapo?? Na pia nani anatugawa wana mpira Zahera au Haji,??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpumbavu siyo tusi ni sifa ya manara mlemavu wa ngozi na taahira mwenye utindio wa ubongo! Masudi Djuma na niyonzima walipokwenda kuwasalimia Lyon ya Rwanda ulisikia msemaji wa Yanga kawashambulia? Timu yenu inatatizo la kukosa marinda ndiyo maana mnaongea kishoga, yule mwingine alivyotekwa marinda yote walitatuaLakini Haji kamtuhumu Zahera, na Zahera kasema kweli yuko nao As Vita na siyo kosa lakini Zahera kamtukana Haji kwamba ni Mpumbavu sasa Kama wewe ungekuwa hakimu kesi imekuja kwako usuluhishe au uhukumu unaanza na nani hapo?? Na pia nani anatugawa wana mpira Zahera au Haji,??
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani katukanwa MPUMBAVU.Lakini Haji kamtuhumu Zahera, na Zahera kasema kweli yuko nao As Vita na siyo kosa lakini Zahera kamtukana Haji kwamba ni Mpumbavu sasa Kama wewe ungekuwa hakimu kesi imekuja kwako usuluhishe au uhukumu unaanza na nani hapo?? Na pia nani anatugawa wana mpira Zahera au Haji,??
Sent using Jamii Forums mobile app
HAYO MASWALI KAMUULIZE BI MKUBWA WAKO NYUMBANI ATAKUJIBU LEO TUNA KAZI YA KUIWAKILISHA NCHI TUManara amepost maneno na kumuonya Zahera eti ameonekana na timu ya AS Vita Club swali 1.Zahera amevunja sheria ipi ya mpira 2.Mamlaka yapi yanampa Manara kutoa kauli hizo 3. Anawahadaa na kuwaandaa mashabiki WA Simba kuwa wakifungwa tatizo ni Zahera
Kwa kauli hizi zinaweza kuleta ghasia kwenye soka na kuhatarisha maisha ya makocha wa kigeni