Nitashangaa TFF msipomchukulia hatua Manara

Upumbavu siyo tusi!
 
Huyo Zahera asipo wakaza nyuma huu mwaka ni bahati yenu vyura
 
Tujikumbushe kdg Rayon walipokuja kucheza na Yanga walitembelewa na kocha wa Simba kipindi hiko Masons Djuma pamoja na Haruna Niyonzima.
Wenzetu wanaangaika kuondoa ubaguzi michezoni sisi tunaanza kujaribu kuuleta!!
 

Attachments

  • 8aa2a616feecccb72e1a29eb92146fe5.jpg
    58.1 KB · Views: 17
Wewe ndiyo bure kabisa, eti TFF wamchukulie Haji hatua, hivi wewe kwa akili yako unawaza kwa kutumia nini, unapenda ubabe sana watu wa type yako mkipewa madaraka huwa mnawashwa kuwaperekesha watu sana, tafsiri ya haji ni hii simple tu maana akili yako bili kulainishiwa hutaelewa, mechi hii muhimu tunataka simba watutoe kimasomaso kitaifa sasa basi mtu asiiingilie kutuvuruga au kutafuta mashabiki wa yanga kuwaleta uwanjni kuzomea ni ujuha wa hali ya juu hatutamvumilia mtu wa hivi, keaho ukaaji ni kuanzia kule upande wa kusini watu tunakaa hatuachi gap yani kwa ufupi Tanzania itahamia uwanja wa taifa... Sasa mwenye kimdomo kama chako tusikuone uwanjani hatutaki vurugu kaa kushoto

Happiness is a lifestyle
 
Umalapa ni maradhi hatari kuliko mtindio wa ubongo.
 
Yanga kama wabinti.. kutwa lawama tu
chezeni soka
 
Manara alianza kumkashifu Zahera toka alipo anza kazi yanga....na sio zahera tu ilifika kipindi mpaka jina la zahera akaligeuza likawa la kike.....na fikra kabisa zahera amekasilika kwa kauli za manara....

Alafu manara ameshindwa kutambua Simba kucheza na Vital sio jambo la kitaifa kitaifa ni mechi yetu dhidi ya Uganda...

Huwezi ukasema mechi ya taifa zima wakati mashabiki wengi wa Yanga hawapo pamoja na simba.....HUU NI MPIRA yeye adeal na Timu yake tu.....

Mbona wenzetu nje unakuta mtu anaenda kwenye mechi kwa kumsapoti rafiki au ndugu yake na haileti shida...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpumbavu siyo tusi ni sifa ya manara mlemavu wa ngozi na taahira mwenye utindio wa ubongo! Masudi Djuma na niyonzima walipokwenda kuwasalimia Lyon ya Rwanda ulisikia msemaji wa Yanga kawashambulia? Timu yenu inatatizo la kukosa marinda ndiyo maana mnaongea kishoga, yule mwingine alivyotekwa marinda yote walitatua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani katukanwa MPUMBAVU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HAYO MASWALI KAMUULIZE BI MKUBWA WAKO NYUMBANI ATAKUJIBU LEO TUNA KAZI YA KUIWAKILISHA NCHI TU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…