sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
wafanyabiashara wa Dar badala ya kwenda china kufuata bidhaa sasaiv wanaenda Kampala, yaan baada ya kuyumba kimtajiNa kila ukikumbuka biashara zilivyodorora, Mafrem yalivyofungwa kila mahali, TRA wanavyotupia kodi za ajabu na umati wa raia waliokuwa wanunuzi wa biashara hizo kukosa hela (uwezo) wa kununua tena biashara unajisikiaje kuhusu shaka na utimamu wake mkuu?