minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
BOT imewapora pesa zao nyingi walizotumiwa toka nje ndiyo maana wengi wamehamishia pesa zao Uganda Zambia kenya ambapo Benk kuu za huko hazina mambo ya hovyo kama BOT, wengi wamebambikiwa kodi TRA wakapewa kesi za uhujumu uchumi na wengine wamefirisiwa hakuna mfanyabiashara mkubwa hata wa kawaida anataka kuisikia CCM, wanaichukia mnoWafanyabiashara wanahasira na mgombea kutoka ubeligiji ambaye anataka kuwaribia mfumo wao wa kufanya biashara