Uchaguzi 2020 Nitashangaa Wafanyabiashara kumnyima Magufuli kura

Uchaguzi 2020 Nitashangaa Wafanyabiashara kumnyima Magufuli kura

Kila nikikumbuka maamuzi magumu ya Rais Magufuli kuhusu Corona, sina shaka na utimamu wake na ujasiri.

Kwa kipindi kama kile ambacho nchi nyingi ziliamua kufunga biashara na shughuli nyingi za kiuchumi, mtu huyu aliamua kwamba wafanyabiashara waendelee na biashara zao na shughuli nyingine ziendelee.

Hakuna biashara iliyofungwa, lakini watanzania hawana shukrani wanasahau yote kisa mtu ambaye kwa ninavyomtazama mlengo wake si wa kimisimamo binafsi bali ya kuongozwa na anaowaamini.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Magufuli anastaili kukamilisha kipindi cha miaka 10, uongozi si wa kubadilisha kama nguo. Tukipata kiongozi mzuri basi tumuache amalize awamu zote mbili.
Hawa hawa ambao waliambiwa wanatakiwa kuishi kama mashetani au kuna wengine?
 
👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽
Yenye heri kweli kweli 💃🏽💃🏽💃🏽
Tena huyo wa mwanzo kumunukuu.. hapatii tena rushwa shift za usiku basi tangu ni hasira hasira.. hata malavi davi yake humu.. yamepungua kwa anayesema ni mpenzi wake.. na anapokea msharaha na marupurupu ya Serikali ya Magufuli.. huyo miaka ya nyumaaaa.. alikuwa akiwa jobu ni kuwemo humu hadi ananaliza shift.. siku hizi kazi ni kazi... na wenzake wengi nchini wamejifunza kuheshimu kazi zao... Magufuli ni habari ingine....💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽
Magufuli babalao kwa kweli
Wahenga walisema yenye uchungu ndio tiba.
 
Utakuwa kiongozi mjinga kama utang'ang'ania kuwa unasimamia sheria za kodi halafu kila siku biashara zinafungwa na uwekezaji unaanguka.

Kama unayoyasema ni kweli, basi alitakiwa ufanye detailed study ya kujua kodi inayolipika, halatu ndiyo hiyo usimamie kikamilifu.

Ghana VAT 5%, Tanzania 18%! Marekani VAT 0%. Sasa utakaposimamia kikamilifu VAT ya 18% tena kwa sasa katika utekelezaji wameingiza kila kitu wakati sheria haisemi hivyo, ni lazima utaua biashara.

Kitakachoongeza pato la serikali na ajira ni kuongezeka kwa biashara na uwekezaji. Biashara zinasinyaa, ukuaji wa uwekezaji unaanguka, wewe unafurahia na kusema, mimi nasimamia sheria ya kodi, wewe utakuwa ni kiongozi mwenye akili?

Biashara na uwekezaji vikiisha, hiyo sheria utaenda kusimamia majumbani kwa watu? Kiongozi mzuri ni yule mwenye kuona athari kabla ya kutokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na kibaya zaidi watekekelezaji Sheria huingiza tamaa zao humo ikiwemo kusaka Rushwa uonevu kuwakomoa watu na mambo mengineyo mengi ya hovyo
 
Hawa hawa ambao waliambiwa wanatakiwa kuishi kama mashetani au kuna wengine?
Ni kweli sasa wanaishi kama mashetani ndiyo maana wafanyabiashara wakubwa wamehamia Uganda Zambia kenya baada ya BOT nayo kuwa inawapora pesa zao wanazotumiwa toka nje kisha kuwatishia kuwabambikia kesi za utakatishaji fedha na uhujumu uchumi
 
Siyo kweli kwamba awamu hii wanasimamia sheria bali wanatumia sheria kutenda uovu dhidi ya raia. Ni serikali ovu dhidi ya raia wema. Wanatumia vibaya sheria ya uhujumu uchumi, utakatishaji fedha, madawa ya kulevya na uchochezi dhidi ya raia wasio na makosa. Huu ni ujambazi wa dola dhidi ya raia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wenye mamlaka wanatumia fursa hii chini ya udikiteta kuwapora wafanyabiashara mali zao kwa visingizio vya kudaiwa kodi zisizo na Maelezo ya kueleweka, hakuna mfanyabiashara anaipenda CCM tokea moyoni bali wengi huzuga Usomi tu ili kulinda mali zao wasije kubambikiwa kesi
 
Aiseee Sijui niseme Nini, You nailed it Madam. [emoji122][emoji122][emoji122]

Nimependa hii Conclusion
" Wote tunapata maumivu ya mabadiliko lakini ni mabadiliko yenye heri "

Nimewahi kusema humu mchakato wa Maendeleo hauwagi rahisi Siku zote kuanzia individual mpaka National level Lazima Kuna Mambo tujicommit, Lazima Serikali isimamie sheria za kodi, Na ni lazima kila Mtu atimize wajibu ili sote tuende mbele


Wahenga walisema - Yenye uchungu ndio tiba
Tuvumilie tuu
 
Sababu pekee ni mapato/kodi yake yasiathirike na sio kuwajali wafanyabiashara,wafanyabiashara wameteseka kwenye awamu hii kwa kubambikizwa makesi ili mali zao zichukulie, kubambikizwa makodi,na wengi walifilisika na kufunga biashara zao,labda kama unaongelea nchi nyingine sio tanzania
 
sababu pekee ni mapato/kodi yake yasiathirike na sio kuwajali wafanyabiashara,wafanyabiashara wameteseka kwenye awamu hii kwa kubambikizwa makesi ili mali zao zichukulie, kubambikizwa makodi,na wengi walifilisika na kufunga biashara zao,labda kama unaongelea nchi nyingine sio tanzania
Wafanyabiashara wakubwa na wadogo wametaabika wameteseka mno kwenye utawala huu hata BOT imewatesa mno kwa kuwapora pesa zao pindi wakitumiwa tokea nje ya Nchi na ikitokea mfanyabiashara akapiga kelele humtishia kumbambikia kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji fedha
 
Wafanyabiashara wakubwa na wadogo wametaabika wameteseka mno kwenye utawala huu hata BOT imewatesa mno kwa kuwapora pesa zao pindi wakitumiwa tokea nje ya Nchi na ikitokea mfanyabiashara akapiga kelele humtishia kumbambikia kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji fedha
Kabisa, huyu mtoa mada atakuwa anaongelea tanzania ya ulaya labda,au katumwa kuja kuandika huu upuuzi
 
Utakuwa kiongozi mjinga kama utang'ang'ania kuwa unasimamia sheria za kodi halafu kila siku biashara zinafungwa na uwekezaji unaanguka.

Kama unayoyasema ni kweli, basi alitakiwa ufanye detailed study ya kujua kodi inayolipika, halatu ndiyo hiyo usimamie kikamilifu.

Ghana VAT 5%, Tanzania 18%! Marekani VAT 0%. Sasa utakaposimamia kikamilifu VAT ya 18% tena kwa sasa katika utekelezaji wameingiza kila kitu wakati sheria haisemi hivyo, ni lazima utaua biashara.

Kitakachoongeza pato la serikali na ajira ni kuongezeka kwa biashara na uwekezaji. Biashara zinasinyaa, ukuaji wa uwekezaji unaanguka, wewe unafurahia na kusema, mimi nasimamia sheria ya kodi, wewe utakuwa ni kiongozi mwenye akili?

Biashara na uwekezaji vikiisha, hiyo sheria utaenda kusimamia majumbani kwa watu? Kiongozi mzuri ni yule mwenye kuona athari kabla ya kutokea.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukiniambia Mbona USA wana VAT 0%
Na Mimi ntakuuliza
Mbona Russia wana VAT 18% japo kwenye Children goods,Medication na medicines imepunguzwa
Mbona UK wana VAT 20% as Standard VAT with other VAT rates 10% na 5% kwenye baadhi ya bidhaa na huduma nyingine
Na China wanayo 16%

Na Hayo yote ni mataifa makubwa yanayo jitosheleza Kwenye kila kitu

Kwanini ushangae Sisi Tanzania kuwa na VAT ya 18% Kwenye bidhaa na huduma isipokua 0% VAT rates Kwenye exportation
ikiwa Sisi ni Nchi changa Sana (imagine Jiwe ni Raisi wa 5)
Serikali itapata Wapi pesa za kujenga Miundombinu afya, barabara, shule nk kwa wananchi wake ?
Hatuwezi kujifananisha na Marekani mkuu
Huko Kwenye VAT ndogo hatujafika bado

Ni biashara gani hizo zinazokufa Mbona unaziona wewe tuu ni Tathmini yako Binafsi siwez kukuzuia kusema
Lakini ukumbuke biashara kufa ina factors nyingi sana Ushindani, Eneo baya, mtaji mdogo, kufirisika na nk hizi zote zina ua biashara

Hivyo Sio kila biashara inayokufa ni Magufuli kaua ,HAPANA
 
Wafanyabiashara wadogo(machinga,mamantilie) walipigwa elfu 20,kama rushwa, ili wasisumbuliwe na mgambo!
 
Ukiniambia Mbona USA wana VAT 0%
Na Mimi ntakuuliza
Mbona Russia wana VAT 18% japo kwenye Children goods,Medication na medicines imepunguzwa
Mbona UK wana VAT 20% as Standard VAT with other VAT rates 10% na 5% kwenye baadhi ya bidhaa na huduma nyingine
Na China wanayo 16%

Na Hayo yote ni mataifa makubwa yanayo jitosheleza Kwenye kila kitu

Kwanini ushangae Sisi Tanzania kuwa na VAT ya 18% Kwenye bidhaa na huduma isipokua 0% VAT rates Kwenye exportation
ikiwa Sisi ni Nchi changa Sana (imagine Jiwe ni Raisi wa 5)
Serikali itapata Wapi pesa za kujenga Miundombinu afya, barabara, shule nk kwa wananchi wake ?
Hatuwezi kujifananisha na Marekani mkuu
Huko Kwenye VAT ndogo hatujafika bado



Ni biashara gani hizo zinazokufa Mbona unaziona wewe tuu ni Tathmini yako Binafsi siwez kukuzuia kusema
Lakini ukumbuke biashara kufa ina factors nyingi sana Ushindani, Eneo baya, mtaji mdogo, kufirisika na nk hizi zote zina ua biashara

Hivyo Sio kila biashara inayokufa ni Magufuli kaua ,HAPANA
Tatizo la Tanzania wala sio hizo kodi,sijui VAT n.k. Tatizo ni mfumo wetu wa kufikia kiasi na namna ya kulipa.

Kwanza, hujaanza hata biashara unalipa kodi. Yaani kodi inabidi uiweke kabla hata hujapata hiyo faida. Ukisajili kampuni tayari unalipa kodi.

Pili,kodi zetu bado zipo kwenye makadirio. Sasa hii unaweza ukasusa mzigo pale bandarini.Unaagiza watu wanaanza kukupa makadirio makubwa kuliko uhalisia.

Mfumo ungekuwa mzuri, kodi watu wangelipa fasta tu.
 
Kibaya kuliko vyote ni BOT kutumia fursa hizo hizo kuwapora wafanyabiashara wakubwa na wadogo pesa zao wanazotumiwa toka nje ya Nchi, na endapo mfanyabiashara anapiga kelele humtishia kumbambikia kesi za utakatishaji fedha na uhujumu uchumi, kuna uonevu manyanyaso mateso makubwa kwa wafanyabiashara chini ya utawala wa kidikteta wa kaburu Mkoloni mweusi, kwa kifupi hakuna mfanyabiashara atampigia mtukufu magufuli kura
Huyo alieandika mada hii ana utimamu wa akili au ndio kuamua kutumika ??, mfanyabiashara/mkulima/mfanyakazi/ atakayempigia kura magufuri atathibitisha mwenyewe kuwa na mtindio wa ubongo, watu wamefilisiwa mali walizokuwa wamechuma kwa jasho kwa kubambikwa makesi eti uhujumu wa uchumi
 
Ukiniambia Mbona USA wana VAT 0%
Na Mimi ntakuuliza
Mbona Russia wana VAT 18% japo kwenye Children goods,Medication na medicines imepunguzwa
Mbona UK wana VAT 20% as Standard VAT with other VAT rates 10% na 5% kwenye baadhi ya bidhaa na huduma nyingine
Na China wanayo 16%

Na Hayo yote ni mataifa makubwa yanayo jitosheleza Kwenye kila kitu

Kwanini ushangae Sisi Tanzania kuwa na VAT ya 18% Kwenye bidhaa na huduma isipokua 0% VAT rates Kwenye exportation
ikiwa Sisi ni Nchi changa Sana (imagine Jiwe ni Raisi wa 5)
Serikali itapata Wapi pesa za kujenga Miundombinu afya, barabara, shule nk kwa wananchi wake ?
Hatuwezi kujifananisha na Marekani mkuu
Huko Kwenye VAT ndogo hatujafika bado

Ni biashara gani hizo zinazokufa Mbona unaziona wewe tuu ni Tathmini yako Binafsi siwez kukuzuia kusema
Lakini ukumbuke biashara kufa ina factors nyingi sana Ushindani, Eneo baya, mtaji mdogo, kufirisika na nk hizi zote zina ua biashara

Hivyo Sio kila biashara inayokufa ni Magufuli kaua ,HAPANA

Hii ni kweli kabisa
 
Back
Top Bottom