Nitasimama na SIMBA yangu daima


Kwa kweli!
 
Makolo kwisha habari yenu, we si unajifanya mganga humu haya yaroge matokeo yabadilike, kolo wahedi wewe
 
Shirikisho la Soka Ulimwenguni FIFA leo limetaja timu ambazo zipo katika nafasi ya kuweza kuwania kucheza fainali za kombe la Dunia kwa vilabu 2025.

Tanzania na Afrika Mashariki ni Simba SC pekee ndio imekidhi vigezo vya kuwa katika timu 12 zenye nafasi ya kupambana kwenye mchujo huo.

Mfumo mpya wa Kombe la Dunia la Vilabu utahusisha jumla ya timu 32 kutoka mabara yote kwa Afrika ni timu nne pekee ndio zitafuzu kati ya 12 zilizotajwa na FIFA.
#MillardAyoUPDATES

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…