Nitasimama na SIMBA yangu daima

Wakati naanza kushabikia mpira kulikuwa na timu tatu kubwa
, Simba, yanga na Pan. Pan nayozungumzia ni ile ya kina Pondamali, Tenga, Mtagwa, Adolph Rishard, Peter Tino ambayo nusu ya wachezaji wake walikuwa Taifa stars. Ila nilichagua Simba na siwezi kuondoka. It
 
Kumshindanisha CHAMA na PACIME ni kumjengea presha PACOME bila sababu. Chama ni kama KAMBARAGE aliyeishi Ikulu miaka 23 halafu unamshindanisha na Rais aliyeko madarakani kwa miaka 2. Kushindanishwa na CHAMA inabidi uwe na muendelezo wa mambo mazuri walau misimu 3, sio miezi 6.
 
i am proud of you
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…