Nitasimama na SIMBA yangu daima

Swallow your ego, hua unajifanya genius kwamba articles zangu zako ni ngumu kuelewa! andiko lako la jezi nzito ni jepesi sana hata mtoto wa darasa la IV anaweza digest, uliongea blah blah kibao leo yako wapi mmebaki kuomba Mungu na risala za marehemu, nlikwambia kile kitendo cha kupeleka jeneza uwanjani kina ashiria anguko ukashupaza shingo kikowapi sasa?
 
Kutoa kwenye
kwa mkapa hatoki mtu.
Sisi ndo wataalamu wa mechi za kimataifa.
Mpaka kwenye yatapita asee mambo yamebadilika sana[emoji23][emoji23]
Na bado huu ni mwanzo tu walisema wanataka kwenda Burundi hapa wanaonewa mda umewadia
 
Kama ile article ilikuwa blah blah am sure 1000% ungeipotezea wala usingehangaika nayo mpaka sasa na kui retrieve kila yanga ilipofunga [emoji23]
Ile article was the perfect one ndio maana hata baadhi ya viongozi wenu yanga walinipongeza kwa kuwafungua akili na kuamua kubadilika.. Am sure hili ulikuwa hulijui na hasa sasa hutalikubali...
Kitu kikimgusa sana mtu hataacha kukitajataja hiyo ndio saikolojia ilivyo.. Kitu kikiwa hakina maana hata kukumbukwa hakiwezi kukumbukwa
 
hua unajifanya genius....! hapa ndio umejivua nguo na kuonesha uhalisia wako wa ndani.. Kwamba you are too weak to bear challenges.. Na huwezi kujenga hoja binafsi bali kutafuta visingizio kama hivi..
Hiki ulichoandika huwa ni maneno ya washindwa[emoji1542][emoji1542][emoji1542] hua unajifanya genius..!
 
Kwani nini kimetokea kaka?
 
Changamoto za kukosa ushindi tu hakuna kubwa
Lakini kaka kwa timu yako uliyonayo sasa binafsi sioni ajabu yoyote. Horoya na azam wana timu za kuchukua point kwako na wale raja wamekuzidi sana ubora labda kama ulikua na matarajio makubwa kushinda uhalisia
 
Lakini kaka kwa timu yako uliyonayo sasa binafsi sioni ajabu yoyote. Horoya na azam wana timu za kuchukua point kwako na wale raja wamekuzidi sana ubora labda kama ulikua na matarajio makubwa kushinda uhalisia
Ni mtazamo pia hata kama naweza nisikubaliane nao lakini nauheshimu[emoji1545]
 
Endelea kuomboleza
 
Kwa kweli mnapitia machungu mengi mnooo.
Njoo huku juu kileleni Mkuu kuna kiupepo kizuri sana!
Lakini kumbuka huku ni Kwa wachache tu kama sisi hapa Wananchi.
Pole sana Mkuu
 
Naamini hakunaga furaha ya kudumu na huzuni ya kudumu.Nimeanza kuipenda na kuishabikia timu yangu ya simba tokea nikiwa na miaka minne 1985 leo hii niikache hapana na haitowezekana kamwe,mimi si shabiki andazi wala fata upepo
 
Kwa kweli mnapitia machungu mengi mnooo.
Njoo huku juu kileleni Mkuu kuna kiupepo kizuri sana!
Lakini kumbuka huku ni Kwa wachache tu kama sisi hapa Wananchi.
Pole sana Mkuu
Asante sana
 
Ile Bil 20 iliwekwa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…