Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
VInyesi Fc..Wachawi f.c
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
VInyesi Fc..Wachawi f.c
Ka kolo kakikeVInyesi Fc..
Swallow your ego, hua unajifanya genius kwamba articles zangu zako ni ngumu kuelewa! andiko lako la jezi nzito ni jepesi sana hata mtoto wa darasa la IV anaweza digest, uliongea blah blah kibao leo yako wapi mmebaki kuomba Mungu na risala za marehemu, nlikwambia kile kitendo cha kupeleka jeneza uwanjani kina ashiria anguko ukashupaza shingo kikowapi sasa?Hapa ndipo kiwango chako cha ufahamu kilipofikia, pole sana kumbe hata ile mada hukuielewa kabisa na ikakuumiza kwa namna ya ajabu mno ! Kwahiyo kwa akili yako unadhani yanga itabaki hapo ilipo siku zote? [emoji23] kuifunga Mazembe ndio umeona mko vizuri sana?
Kasome hiki kitabu kitakusaidia mengiView attachment 2525779
Na bado huu ni mwanzo tu walisema wanataka kwenda Burundi hapa wanaonewa mda umewadiaKutoa kwenye
kwa mkapa hatoki mtu.
Sisi ndo wataalamu wa mechi za kimataifa.
Mpaka kwenye yatapita asee mambo yamebadilika sana[emoji23][emoji23]
Kama ile article ilikuwa blah blah am sure 1000% ungeipotezea wala usingehangaika nayo mpaka sasa na kui retrieve kila yanga ilipofunga [emoji23]Swallow your ego, hua unajifanya genius kwamba articles zangu zako ni ngumu kuelewa! andiko lako la jezi nzito ni jepesi sana hata mtoto wa darasa la IV anaweza digest, uliongea blah blah kibao leo yako wapi mmebaki kuomba Mungu na risala za marehemu, nlikwambia kile kitendo cha kupeleka jeneza uwanjani kina ashiria anguko ukashupaza shingo kikowapi sasa?
hua unajifanya genius....! hapa ndio umejivua nguo na kuonesha uhalisia wako wa ndani.. Kwamba you are too weak to bear challenges.. Na huwezi kujenga hoja binafsi bali kutafuta visingizio kama hivi..Swallow your ego, hua unajifanya genius kwamba articles zangu zako ni ngumu kuelewa! andiko lako la jezi nzito ni jepesi sana hata mtoto wa darasa la IV anaweza digest, uliongea blah blah kibao leo yako wapi mmebaki kuomba Mungu na risala za marehemu, nlikwambia kile kitendo cha kupeleka jeneza uwanjani kina ashiria anguko ukashupaza shingo kikowapi sasa?
Kwani nini kimetokea kaka?Nilijitambua kuwa mimi ni SIMBA mwaka 1982, almost miaka 41 hivi iliyopita.. Ni shabiki kindakindaki wa SIMBA sports club .. Mimi si shabiki maandazi
SIMBA ni timu kubwa sana Tanzania, Afrika na duniani kote.. Simba imekuwa role model kwa timu nyingi kwa mengi mazuri iliyoyafanya.. Ina mafanikio mengi kitaifa na kimataifa. Inaheshimika na kutambulika sana kuliko hata mpinzani wetu.. Ni mojawapo ya timu maarufu popote uendapo
Kwa sifa zote hizo
Kwa mafanikio yote hayo
Kwa ukongwe wote huo
Kwa umaarufu wote huo.. Nitaanzaje kuichukia timu yangu hii kwa changamoto ndogo ndogo za kupita?
Kwenye maisha kuna kupata na kuna kukosa
Kuna nyakati za mafanikio na kuna nyakati za maanguko
Kuna nyakati za furaha na kuna nyakati za huzuni pia
SIMBA tunapitia kipindi kigumu lakini si kama maadui zetu wanavyoaminisha watu mitandaoni.. Ni changamoto za muda hazitakuwepo milele.. Ni nyakati za nzige.. Tunazitafakari...hatukati tamaa tunapambana tutazishinda na kuwa imara zaidi.. Washindi zaidi wakubwa zaidi na zaidi
Soka lina matokeo matatu
Kushinda
Kushindwa
Kutoa suluhu
Kwasasa sisi ni washindwa wa muda.. Tunaachia nafasi za furaha kwa wengine wanaokua.. Ni muhimu kufanya hivi pia.. Huwezi kuwa mshindi daima .. Maisha yana pande mbili nasi kwasasa tuko upande wa pili
Acha kwasasa adui afurahi lakini hili nalo litapita kama mengine yote yalivyopita
Viva SIMBA.... Viva Forever.[emoji173]View attachment 2525426
Lakini kaka kwa timu yako uliyonayo sasa binafsi sioni ajabu yoyote. Horoya na azam wana timu za kuchukua point kwako na wale raja wamekuzidi sana ubora labda kama ulikua na matarajio makubwa kushinda uhalisiaChangamoto za kukosa ushindi tu hakuna kubwa
Ni mtazamo pia hata kama naweza nisikubaliane nao lakini nauheshimu[emoji1545]Lakini kaka kwa timu yako uliyonayo sasa binafsi sioni ajabu yoyote. Horoya na azam wana timu za kuchukua point kwako na wale raja wamekuzidi sana ubora labda kama ulikua na matarajio makubwa kushinda uhalisia
Endelea kuombolezahua unajifanya genius....! hapa ndio umejivua nguo na kuonesha uhalisia wako wa ndani.. Kwamba you are too weak to bear challenges.. Na huwezi kujenga hoja binafsi bali kutafuta visingizio kama hivi..
Hiki ulichoandika huwa ni maneno ya washindwa[emoji1542][emoji1542][emoji1542] hua unajifanya genius..!
Kwa kweli mnapitia machungu mengi mnooo.Nilijitambua kuwa mimi ni SIMBA mwaka 1982, almost miaka 41 hivi iliyopita.. Ni shabiki kindakindaki wa SIMBA sports club .. Mimi si shabiki maandazi
SIMBA ni timu kubwa sana Tanzania, Afrika na duniani kote.. Simba imekuwa role model kwa timu nyingi kwa mengi mazuri iliyoyafanya.. Ina mafanikio mengi kitaifa na kimataifa. Inaheshimika na kutambulika sana kuliko hata mpinzani wetu.. Ni mojawapo ya timu maarufu popote uendapo
Kwa sifa zote hizo
Kwa mafanikio yote hayo
Kwa ukongwe wote huo
Kwa umaarufu wote huo.. Nitaanzaje kuichukia timu yangu hii kwa changamoto ndogo ndogo za kupita?
Kwenye maisha kuna kupata na kuna kukosa
Kuna nyakati za mafanikio na kuna nyakati za maanguko
Kuna nyakati za furaha na kuna nyakati za huzuni pia
SIMBA tunapitia kipindi kigumu lakini si kama maadui zetu wanavyoaminisha watu mitandaoni.. Ni changamoto za muda hazitakuwepo milele.. Ni nyakati za nzige.. Tunazitafakari...hatukati tamaa tunapambana tutazishinda na kuwa imara zaidi.. Washindi zaidi wakubwa zaidi na zaidi
Soka lina matokeo matatu
Kushinda
Kushindwa
Kutoa suluhu
Kwasasa sisi ni washindwa wa muda.. Tunaachia nafasi za furaha kwa wengine wanaokua.. Ni muhimu kufanya hivi pia.. Huwezi kuwa mshindi daima .. Maisha yana pande mbili nasi kwasasa tuko upande wa pili
Acha kwasasa adui afurahi lakini hili nalo litapita kama mengine yote yalivyopita
Viva SIMBA.... Viva Forever.[emoji173]View attachment 2525426
Ile Bil 20 iliwekwa ?Nilijitambua kuwa mimi ni SIMBA mwaka 1982, almost miaka 41 hivi iliyopita.. Ni shabiki kindakindaki wa SIMBA sports club .. Mimi si shabiki maandazi
SIMBA ni timu kubwa sana Tanzania, Afrika na duniani kote.. Simba imekuwa role model kwa timu nyingi kwa mengi mazuri iliyoyafanya.. Ina mafanikio mengi kitaifa na kimataifa. Inaheshimika na kutambulika sana kuliko hata mpinzani wetu.. Ni mojawapo ya timu maarufu popote uendapo
Kwa sifa zote hizo
Kwa mafanikio yote hayo
Kwa ukongwe wote huo
Kwa umaarufu wote huo.. Nitaanzaje kuichukia timu yangu hii kwa changamoto ndogo ndogo za kupita?
Kwenye maisha kuna kupata na kuna kukosa
Kuna nyakati za mafanikio na kuna nyakati za maanguko
Kuna nyakati za furaha na kuna nyakati za huzuni pia
SIMBA tunapitia kipindi kigumu lakini si kama maadui zetu wanavyoaminisha watu mitandaoni.. Ni changamoto za muda hazitakuwepo milele.. Ni nyakati za nzige.. Tunazitafakari...hatukati tamaa tunapambana tutazishinda na kuwa imara zaidi.. Washindi zaidi wakubwa zaidi na zaidi
Soka lina matokeo matatu
Kushinda
Kushindwa
Kutoa suluhu
Kwasasa sisi ni washindwa wa muda.. Tunaachia nafasi za furaha kwa wengine wanaokua.. Ni muhimu kufanya hivi pia.. Huwezi kuwa mshindi daima .. Maisha yana pande mbili nasi kwasasa tuko upande wa pili
Acha kwasasa adui afurahi lakini hili nalo litapita kama mengine yote yalivyopita
Viva SIMBA.... Viva Forever.[emoji173]View attachment 2525426