Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Kamati ya ufundi ikiwakilishwa na bwana Steve wamesema game ya kwanza stars anashinda 2:1Ntatoa bil 1 kama watafunga ata goal 1 afcon
Hii itakushinda mzee baba. Goli moja tu? Sema mahala pa kukukabia ndio shida.Ntatoa bil 1 kama watafunga ata goal 1 afcon
Kila mchezaji nitamtafutia hii kitu...
HongeraKila mchezaji nitamtafutia hii kitu...
Hahah zile KIA pickup alizowaahidi alichikichia nazo.Aanze kuwapa zile Canter aliziwadhulumu mbumbumbu.
Ilikuwa ahadi hewa akijua hawafiki popote.Hahah zile KIA pickup alizowaahidi alichikichia nazo.
Mie nitatoa visheti na kalimati,wakirudi hawajafungwa LOL
Kama hamtaki hela zenu wapate wachezaji semeni tu tuelewe bhana
Naona watu wanajitoka Sana, sasa na Mimi nitatoa kiasi hicho.
Mr mkiki.