Uchaguzi 2020 Nitaunga mkono ilani itakayoondoa riba kwenye mikopo ya elimu ya juu!

Benson Mramba

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2013
Posts
648
Reaction score
1,485
Mimi nilikopa milioni 14 mara ya mwisho kucheki nilikuta deni limefika milioni 26 miaka kama miwili imepita.

Magufuli alipofuta madeni ya road licence nilikuwa na pickup yangu ambayo niliipaki kwa kuwa ilikuwa inadaiwa milioni 3.7 baada ya kufutwa tu niliirekebisha mpaka sasa naitumia nalipa kodi kwenye mafuta.

Hata walipofuta riba kwenye kodi za biashara watu walilipa. Kwanini hii ya mikopo ya bodi isifutiwe riba?

Tufutiwe riba ya hii mikopo ili tuweze kulipa. Na serikali itakusanya zaidi.

Magufuli anaweza sijui vyama vingine
 
Akili yako ya hovyo na uanfiki! Unisamehe. Unajua fika chanzo cha upuuzi wote huu, unajua nani kaleta balaa hili, unamshabikia kama huna akli timamu, leo unakuja hapa kuleta matope!
Maskini chadema kila anayetoka anakuwa adui yenu mtapigana na kushindwa kila siku
 
Makubaliano hufanyika pwani Mkuu baharini ni kuvua tu!
 
Haya ndo mambo ya msingi kuletwa na watu wanaojielewa sio kila siku Mbowe utafikir anawagongea wake zenu...pumbaf zenu
 
Sasa kama anaweza si afute,anasubiri nini sasa.
 
Magufuli anaweza wakati ndiye aliyekukazia kwenye sheria? Haya endelea kuabudu
 
WANATUTESA SANA
 
Huna lolote ndugu. Naona unatapatapa sana.
Sote tunajua na wewe unajua wazi kabisa, ilani ya CHADEMA ya 2015, sera za CHADEMA na msimamo wa CHADEMA mpaka leo hii ni kuhakikisha hakuna tena kulipa hata senti tano mtanzania yoyote aliyesomeshwa kwa pesa za mkopo wa serikali. Na kila mtanzania atasomeshwa bure mpaka chuo kikuu. Sasa anzia hapo ndugu.
 
Naunga mkono hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app by My phone

[/url] Eti nabakia Africa. [/url]
 

sisi ACT tunafuta Kabisa mikopo ya Elimu ya Juu.
 
Wakati mnafoji dokumenti ili muonekane ni watoto yatima ili mpate asilimia mia hamkujua kuwa kuna kulipa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…