Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Itakua vema, hawa wazee waliosomeshwa bure kwa kodi za babu na bibi zetu leo wanajifanya hawayajua matatizo ya mtanzania masikini.sisi ACT tunafuta Kabisa mikopo ya Elimu ya Juu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua vema, hawa wazee waliosomeshwa bure kwa kodi za babu na bibi zetu leo wanajifanya hawayajua matatizo ya mtanzania masikini.sisi ACT tunafuta Kabisa mikopo ya Elimu ya Juu.
Kelele nyingi kumbe kapuku wa mwishoMimi nilikopa milioni 14 mara ya mwisho kucheki nilikuta deni limefika milioni 26 miaka kama miwili imepita.
Magufuli alipofuta madeni ya road licence nilikuwa na pickup yangu ambayo niliipaki kwa kuwa ilikuwa inadaiwa milioni 3.7 baada ya kufutwa tu niliirekebisha mpaka sasa naitumia nalipa kodi kwenye mafuta.
Hata walipofuta riba kwenye kodi za biashara watu walilipa. Kwanini hii ya mikopo ya bodi isifutiwe riba?
Tufutiwe riba ya hii mikopo ili tuweze kulipa. Na serikali itakusanya zaidi.
Magufuli anaweza sijui vyama vingine
Mimi nilikopa milioni 14 mara ya mwisho kucheki nilikuta deni limefika milioni 26 miaka kama miwili imepita.
Magufuli alipofuta madeni ya road licence nilikuwa na pickup yangu ambayo niliipaki kwa kuwa ilikuwa inadaiwa milioni 3.7 baada ya kufutwa tu niliirekebisha mpaka sasa naitumia nalipa kodi kwenye mafuta.
Hata walipofuta riba kwenye kodi za biashara watu walilipa. Kwanini hii ya mikopo ya bodi isifutiwe riba?
Tufutiwe riba ya hii mikopo ili tuweze kulipa. Na serikali itakusanya zaidi.
Magufuli anaweza sijui vyama vingine
Akili yako ya hovyo na uanfiki! Unisamehe. Unajua fika chanzo cha upuuzi wote huu, unajua nani kaleta balaa hili, unamshabikia kama huna akli timamu, leo unakuja hapa kuleta matope!
Makubaliano hufanyika pwani Mkuu baharini ni kuvua tu!
Naunga mkono hoja
Shida zote hizi zimeletwa na ccm hasa hii ya Jiwe! Akabadili sheria makato kuwa 15% badala ya 8% iliyokubaliwa wakati wa kusaini mikataba! Ccm ndiye adui wa wanyonge......
Kwakuwa hawana akili watakenua tuTangu Uhuru chini ya CCM tumeona ndoto za vijana zinavyotimia,Ajira nje nje,vijana wengi wanafanya Biashara baada ya kukopeshwa bila masharti. Kazi kweli kweli
Haya ndo mambo ya msingi kuletwa na watu wanaojielewa sio kila siku Mbowe utafikir anawagongea wake zenu...pumbaf zenu
Amejitahidi kutumia akili zake zoote lkn huo ndiyo ukomo wakeKwani waliopandisha hilo deni la mtoa mada ni ACT Wazalendo au CCM? Waliopandisha makato ya Loan's board kutoka 8% hadi 15% ni CHADEMA au CCM? unapopost uwe unatumia akili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lipa mtoto wa kiume
Acha kupenda kitonga
Magufuli anaweza wakati ndiye aliyekukazia kwenye sheria? Haya endelea kuabudu
Huna lolote ndugu. Naona unatapatapa sana.
Sote tunajua na wewe unajua wazi kabisa, ilani ya CHADEMA ya 2015, sera za CHADEMA na msimamo wa CHADEMA mpaka leo hii ni kuhakikisha hakuna tena kulipa hata senti tano mtanzania yoyote aliyesomeshwa kwa pesa za mkopo wa serikali. Na kila mtanzania atasomeshwa bure mpaka chuo kikuu. Sasa anzia hapo ndugu.
Wasaidie vijana mkuu hali sio nzuri watu watakufa na madeni yaosisi ACT tunafuta Kabisa mikopo ya Elimu ya Juu.
sisi ACT tunafuta Kabisa mikopo ya Elimu ya Juu.
Halafu inakuwaje?mkishafuta mikopo?hebu weka wazi ustaadh!!!sisi ACT tunafuta Kabisa mikopo ya Elimu ya Juu.
Chadema ilipokuwa chama dola ndo waliwekaa hiyo ribaMimi nilikopa milioni 14 mara ya mwisho kucheki nilikuta deni limefika milioni 26 miaka kama miwili imepita.
Magufuli alipofuta madeni ya road licence nilikuwa na pickup yangu ambayo niliipaki kwa kuwa ilikuwa inadaiwa milioni 3.7 baada ya kufutwa tu niliirekebisha mpaka sasa naitumia nalipa kodi kwenye mafuta.
Hata walipofuta riba kwenye kodi za biashara watu walilipa. Kwanini hii ya mikopo ya bodi isifutiwe riba?
Tufutiwe riba ya hii mikopo ili tuweze kulipa. Na serikali itakusanya zaidi.
Magufuli anaweza sijui vyama vingine
kimeshindwa nini kutimiza ndoto za vijana miaka yote?CCM ndio inaweza kuwasaidia vijana kufikia ndoto zao kwingine ni zero