Mnaomchukia lissu ni wachache tofauti na mbowe, mbowe akishinda utaona matokeo yake uchaguzi mkuu...uikumbuke hii kauli!.Lisu akishinda kura yangu kwa CCM.Lisu hana karama ya uongozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnaomchukia lissu ni wachache tofauti na mbowe, mbowe akishinda utaona matokeo yake uchaguzi mkuu...uikumbuke hii kauli!.Lisu akishinda kura yangu kwa CCM.Lisu hana karama ya uongozi
Baadae ipi hiyo, sasa hv mbowe hana mvuto kabisa anasubiri nn kukaa pembeni...kipi bora chama kififie zaidi (mbowe akishinda) au chama kifufuke (lissu akishinda).Acheni ujinga wenu. Hama chama nenda kabisa. Kwani mmefungwa kamba?. Huyu Mbowe ndio amenza kuwa mbaya sasa? Chama hawawezi kabidhiwa vijana wahuni. Lissu asubirie atapewa chama baadae huko.
Kazi unayoWananchi na Wanachama wote huku kwangu wanamuunga mkono sana Tundu Lissu,
Wameniambia kama sitamchagua Lissu basi wao hawatakuwa tayari kuendelea na Ujenzi wa Chama,
Lakini kwenye huu Uchaguzi Mimi sipigi kura peke yangu nafanyaje?
Basi kama Mbowe atashinda Mimi nitajiunga tu na CCM Kwa sababu Sina Cha kuwaeleza hawa wajumbe.
Hata nikiwaambia Mimi sijala rushwa wataniambia kura ni Siri kwanini nilipiga kwa Mbowe?
ROHO INAUMIA SANA.