Nitawaambia nini wanachama? Nitajiunga na CCM ya Mzee Wassira endapo kwa namna yoyote Wajumbe wenzangu Watakula rushwa na kumchagua Mbowe

Acheni ujinga wenu. Hama chama nenda kabisa. Kwani mmefungwa kamba?. Huyu Mbowe ndio amenza kuwa mbaya sasa? Chama hawawezi kabidhiwa vijana wahuni. Lissu asubirie atapewa chama baadae huko.
Baadae ipi hiyo, sasa hv mbowe hana mvuto kabisa anasubiri nn kukaa pembeni...kipi bora chama kififie zaidi (mbowe akishinda) au chama kifufuke (lissu akishinda).
Hv mmekula maharage ya wapi nyie, chadema ya mbowe inakwenda kuwa cuf ya lipumba!
 
Kazi unayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…