Nitawadharau sana wananchi wakijiona giant kwa kuifunga timu iliyoshuka daraja

Nitawadharau sana wananchi wakijiona giant kwa kuifunga timu iliyoshuka daraja

je parle

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2018
Posts
2,022
Reaction score
3,919
Marumo gallants ni pombe ya ngomani Kila mtu mlevi anajipigia ,

Nitawashangaa na kuwadharau wananchi kwa kujisifia kwa kumpiga marumo goli za kutosha

Marumo kufungwa ni asili Yao .Yan huwezi kuwatenganisha wao na kufungwa.

Kufungwa kwao kupo damuni,

Kila timu ya south Africa kamfunga marumo kwenye ligi

Imekuwa sio stories kwa wao kufungwa labda wangeshinda ndio ningeshangaaa

Hao marumo wangekufa hata mbili kavu na coastal union au mbeya city

Kiufupi hawa mabwana walishajifia siku nyingi Wala tusikaze mishipa ya shingo na kuwasifia yanga Kila comments

I bet yanga anachukua hili kombe Wala Haina ubishi katika Hilo

Ongereni wananchi kwa ubingwa WA kombe la QT.

Ila kujiona miamba kwa kuwafunga marumo hapana kabisa


Mtu Wa Mpira hapa !
Mtu Wa ball
Mfungaji WA muda wote !
 
Mbona mlisema marumo anashinda 3 -0
20230517_205850.jpg
 
Ngoja watoke kwenye ule uzi wao kule
Watakuja wakurukie 🤣🤣🤣
 
Marumo gallants ni pombe ya ngomani Kila mtu mlevi anajipigia ,

Nitawashangaa na kuwadharau wananchi kwa kujisifia kwa kumpiga marumo goli za kutosha

Marumo kufungwa ni asili Yao .Yan huwezi kuwatenganisha wao na kufungwa.

Kufungwa kwao kupo damuni,

Kila timu ya south Africa kamfunga marumo kwenye ligi

Imekuwa sio stories kwa wao kufungwa labda wangeshinda ndio ningeshangaaa

Hao marumo wangekufa hata mbili kavu na coastal union au mbeya city

Kiufupi hawa mabwana walishajifia siku nyingi Wala tusikaze mishipa ya shingo na kuwasifia yanga Kila comments

I bet yanga anachukua hili kombe Wala Haina ubishi katika Hilo

Ongereni wananchi kwa ubingwa WA kombe la QT.

Ila kujiona miamba kwa kuwafunga marumo hapana kabisa


Mtu Wa Mpira hapa !
Mtu Wa ball
Mfungaji WA muda wote !
Hee yamekua haya... tena si ndo mlisema watafungwa sauzi
 
Utopolo hawana dogo, hata wakimfunga manchester kingolowira ya pale morogoro watatamba mji mzima.
 
Marumo gallants ni pombe ya ngomani Kila mtu mlevi anajipigia ,

Nitawashangaa na kuwadharau wananchi kwa kujisifia kwa kumpiga marumo goli za kutosha

Marumo kufungwa ni asili Yao .Yan huwezi kuwatenganisha wao na kufungwa.

Kufungwa kwao kupo damuni,

Kila timu ya south Africa kamfunga marumo kwenye ligi

Imekuwa sio stories kwa wao kufungwa labda wangeshinda ndio ningeshangaaa

Hao marumo wangekufa hata mbili kavu na coastal union au mbeya city

Kiufupi hawa mabwana walishajifia siku nyingi Wala tusikaze mishipa ya shingo na kuwasifia yanga Kila comments

I bet yanga anachukua hili kombe Wala Haina ubishi katika Hilo

Ongereni wananchi kwa ubingwa WA kombe la QT.

Ila kujiona miamba kwa kuwafunga marumo hapana kabisa


Mtu Wa Mpira hapa !
Mtu Wa ball
Mfungaji WA muda wote !
Maumivu yakizidi, muone daktari
 
Back
Top Bottom