Nitawahadithia watoto wangu na wajukuu kuwa Yanga ilifika hatua ya nusu fainali baada ya kuitoa Mamelod Sundowns lakini ikafanyiwa hila

Nitawahadithia watoto wangu na wajukuu kuwa Yanga ilifika hatua ya nusu fainali baada ya kuitoa Mamelod Sundowns lakini ikafanyiwa hila

Revolution

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2008
Posts
960
Reaction score
927
Hivi ndivyo ninavyojua na ndivyo itakavyobaki katika Halmashauri ya Kichwa changu. Kwamba Young Africans mwaka 2023-2024 walishiriki CAF CC na kufika hatua ya nusu fainali kwa kuifunga timu ya Mamelod Sundowns Goli 1 -0. Timu hiyo ilinyimwa ushindi huo kwa maksudi ya VAR officials kwa kushirikiana na Refa kutoka Mauritania.

Technically, Yanga imefika nusu fainali CAF CC kwa ushindi wa goli 1 lakini ilinyimwa ushindi huo kwa kutumia maamuzi yasiyo sahihi.
 
Uko sahihi, mi ni uto na wala haikuuma tuliposhindwa penati maana mi nilitoka uwanjani kifua mbele japo matokeo yalionesha Yanga 0 - Motsepe 1
 
Hivi ndivyo ninavyojua na ndivyo itakavyobaki katika Halmashauri ya Kichwa changu. Kwamba Young Africans mwaka 2023-2024 walishiriki CAF CC na kufika hatua ya nusu fainali kwa kuifunga timu ya Mamelod Sundowns Goli 1 -0. Timu hiyo ilinyimwa ushindi huo kwa maksudi ya VAR officials kwa kushirikiana na Refa kutoka Mauritania.

Technically, Yanga imefika nusu fainali CAF CC kwa ushindi wa goli 1 lakini ilinyimwa ushindi huo kwa kutumia maamuzi yasiyo sahihi.
usisahau pia kuwaambia baada ya Yanga kudhulumiwa kolo fc walishangilia mpk wakasahau kwamba mashujaa fc kampaka vumbi saidi kichwa akimsubiri kolo...
 
Walichofanya Yanga ni mfano tu. Yanga ilipofikia inaweza kucheza na timu yoyote ile Afrika. Ukiangalia uchezaji wa Yanga utagundua hawakuwa na malengo walikua na malengo na Kombe lenyewe.

Timu zote za Tanzania zikiwa na mentality ya kibingwa kama Yanga hakuna wa kutuzuia hapa Afrika.
 
Hivi ndivyo ninavyojua na ndivyo itakavyobaki katika Halmashauri ya Kichwa changu. Kwamba Young Africans mwaka 2023-2024 walishiriki CAF CC na kufika hatua ya nusu fainali kwa kuifunga timu ya Mamelod Sundowns Goli 1 -0. Timu hiyo ilinyimwa ushindi huo kwa maksudi ya VAR officials kwa kushirikiana na Refa kutoka Mauritania.

Technically, Yanga imefika nusu fainali CAF CC kwa ushindi wa goli 1 lakini ilinyimwa ushindi huo kwa kutumia maamuzi yasiyo sahihi.
Nakuunga mkono
 
Uko sahihi, ni mara ya pili kufika nusu fainali, mara ya kwanza walifika mwaka 1969 pale walipotoka sare na Asante Kotoko na matokeo kuamuliwa kwa kurusha shilingi, baada ys shilingi kurushwa nahodha wa Asante Kotoko aliwahi kwenda kangalia na kukimbia huku akishangilia, nahodha wa Yanga wala hakusumbuka kwenda kuangalia shilingi akiamini wameshayolewa
 
Kumbe manara hakukosea utopolo wenye akili ni wawili tu
 
Hivi ndivyo ninavyojua na ndivyo itakavyobaki katika Halmashauri ya Kichwa changu. Kwamba Young Africans mwaka 2023-2024 walishiriki CAF CC na kufika hatua ya nusu fainali kwa kuifunga timu ya Mamelod Sundowns Goli 1 -0. Timu hiyo ilinyimwa ushindi huo kwa maksudi ya VAR officials kwa kushirikiana na Refa kutoka Mauritania.

Technically, Yanga imefika nusu fainali CAF CC kwa ushindi wa goli 1 lakini ilinyimwa ushindi huo kwa kutumia maamuzi yasiyo sahihi.
Mental disorder.....ila Milembe haijajaa,wana-uto msaidieni ndugu yenu!!!!
 
Back
Top Bottom