Nitawamiss nyote

Natamani ungekuwa umeweka baadhi ya sababu zinazokufanya ujitoe ili mods wachukue kama changamato za kufanyia kazi kama wanaweza kufanya hayo
Wala Hamna kikubwa kilichonifnya nijitoe,ni uamuz wangu binafs tu,kutokana na majukumu yang mengn na sabbu zngn binafs pia
 
Haya bwna ukawasalimu huko uendako kwenye social media zingine
Mm si mtu wa mitandao,natumia insta tu,na nmeeka private n kuwafollow wtu wachche tu,kama waandishi wa stry tu bas.
 
Pole mwaya, wivu wa mapenzi ndio hivyo inabidi u sacrifice mengine ili kutafuta amani
 
Sasa hayo mapishi ya Ramadhani utafubdishia wapi we mama! Hapa ndio pa kukazia kazia saumu wangu muda ukiyoyoma
Nina account yang ya insta nimeeka mapishi 500+ ukijiskia nikuadd utanifata kwa mda wako,mapishi utajifunzia kule,huo ndio mtandao wangu wa kipekee nmeufungua kwa maslahi tu ya kujiekea posts zang kama izo za mapishi na kuwafollow baadh ya watu tu.
Alaf mie sio mama[emoji23][emoji23]ndo kwanza kigori
 
Nina account yang ya insta nimeeka mapishi 500+ ukijiskia nikuadd utanifata kwa mda wako,mapishi utajifunzia kule,huo ndio mtandao wangu wa kipekee nmeufungua kwa maslahi tu ya kujiekea posts zang kama izo za mapishi na kuwafollow baadh ya watu tu.
Nipe jina unalotumia
 
Ramadhan njema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…