Nitawamiss nyote

Ooh darlin, I will mic u big.... Plz dont go, your honey still needs u here.. How can I live without u darlin!
 
Hahaha[emoji23][emoji23][emoji23]kwann ,nambie
Usijitoe tafadhali bahati yako ipo, sema ni suala la muda tu na subira yako ndo mafanikio yako.
Naomba sasa nitumie nafasi hii kukutaka usitishi mpango wako.
Na kuanzia sasa naomba niwe rafiki yako namba moja.
 
ungeondoka kimyakimya aisee unazingua kwani ulivyokuja si ulikuja mwenyewe?
Nmeamua kuaga,kwa tuliozeana nao lazma wajue kama najitoa jf,ntajiskia vibaya nkiondoka kimyakimya.nlipokuja sikumjua mtu jf ninkwel,lkn Sasa nmewajua na kuwazoea wengi tu kwaio Sion ubaya wowote kuwaaga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…